Serengeti beer, sticker label yenu mpya ni ya hovyo!

Serengeti beer, sticker label yenu mpya ni ya hovyo!

Hawajifunzi kwa maji. Kuna maji yaani chupa tu inaanza kumvutia mteja halafu kinafuata kilichomo ndani.
Kweli kabisa Mkuu, si ndio nashangaa kuna mtu anatetea hapa... wakiboronga kwa nje mzuka wa kuonja au kunywa cha ndani unakata... watakosa hata wateja wapya, wameboronga kichizi
 
Kweli Mkuu, warudishe stika ya zamani, na ladha isichakachuliwe
Dawa nikuacha kuinywa mkuu wakiona mauzo yamepungua mbona watairudisha chap na kuomba msamaha juu, msticker gani huo sasa ukipigwa na zile taa za bar unalewa mara mbili.
 
Nyie sio walevi. Walevi huwa hatudeal na contena/tunadeal na kilichomo ndani malevi


Broiler wa 2000 hao, Hakuna kitu wanajua! kuhusiana na vitu vyetu!
Sasa sijui walitaka hiyo Bia ivalishwe shera!? Suti!? Au Dera!!!?

Vifaranga vilivyototolewa kuanzia 2000 kuja juu...visikuumizie kichwa!
 
Nlivyoona mwanzoni nlidhani hii kampuni imeanza zalisha banana.Branding manager wao mpya atakuwa shabik wa yebo that ....stupid ma faka
 
Back
Top Bottom