Serengeti: Catherine Ruge wa BAWACHA akamatwa na polisi

Serengeti: Catherine Ruge wa BAWACHA akamatwa na polisi

Wamezoea kukiwasha halafu wanategemea nguvu ya umma kuwakomboa. Raia walivyo na stress saivi sijui kama watahangaika nae.

Amechuma janga..
 
Siasa za chadema na CCM haziwezi kutufikisha popote.wananchii tusipoungana kupinga dhuruma wanazofanya polisi tutakuwa tunapalilia laana ya ujinga.
 
Yaani viongozi na wanachama wa upinzani hasa chadema sijuwi akili zao huwa zipoje? Sijuwi wanatumia Nini kinachoathiri upeo wao wa kufikiri? Sasa anazani hii amani iliyopo na iliyotamalaki hapa nchini Ni kwa bahati? Hajuwi wakati yeye amelala kitandani pake Askari wetu wanakuwa wanazunguka huku na huko kulinda na kupiga Doria? Hajuwi wakati yeye yupo ndotoni Askari wetu wanakuwa wapo katika mapambano ya kuzuia ujambazi mahali fulani? Hawa viongozi wa upinzani waliokosa adabu hekima na busara wanapaswa kufundishwa Nidhamu ya kuheshimu serikali yetu pamoja na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, wasiachwe wakaendelea kutukana askari wetu wanaojitoa mhanga wa kulinda na kupigania Taifa letu kila siku

Hakuna askari yoyote anayelinda kwa kujitolea bali wanalipwa mshahara, na kuwa polisi sio ticketi ya kuua wafu bila kuwafikisha mahakamani. Polisi ni baadhi ya taasisi zilizokosa maadili maana wanakula rushwa waziwazi na kubambikia watu makosa ili watoe rushwa.

Usiseme watu wafushwe kuheshimu jeshi la polisi, sema wapigwe ili waliogope jeshi la polisi. Taasisi inayofanya kazi kwa mujibu wa sheria ndio inayoheshimika. Ila haya yanayofanywa na hilo jeshi lililooza la polisi yatafika mwisho tu.
 
Hakuna askari yoyote anayelinda kwa kujitolea bali wanalipwa mshahara, na kuwa polisi sio ticketi ya kuua wafu bila kuwafikisha mahakamani. Polisi ni baadhi ya taasisi zilizokosa maadili maana wanakula rushwa waziwazi na kubambikia watu makosa ili watoe rushwa.

Usiseme watu wafushwe kuheshimu jeshi la polisi, sema wapigwe ili waliogope jeshi la polisi. Taasisi inayofanya kazi kwa mujibu wa sheria ndio inayoheshimika. Ila haya yanayofanywa na hilo jeshi lililooza la polisi yatafika mwisho tu.
Lazima mfundishwe kuheshimu vyombo vya dola siyo mkilewa huko mnaanza kuja kutukana askari wetu, Chadema Ni kikundi chenye uhaba wa viongozi maana hao ndio viongozi wenu wasio na adabu Wala hekima, Sasa watamuongoza nana zaidi yenu nyinyi mnaofanana
 
Lazima mfundishwe kuheshimu vyombo vya dola siyo mkilewa huko mnaanza kuja kutukana askari wetu, Chadema Ni kikundi chenye uhaba wa viongozi maana hao ndio viongozi wenu wasio na adabu Wala hekima, Sasa watamuongoza nana zaidi yenu nyinyi mnaofanana

Uzuri wa CDM wanazungumza ukweli bila hofu yoyote. Kufundisha kuheshimu ni kwa kutenda haki sio vitisho vya kishamba, au kuwapiga wasema kweli dhidi ya polisi mumiani.
 
Kweli mahakama ikathibitishiwe namna polisi inafanya kazi wakili kibatala ujuavyo IGP wasasa Kama vile oparesheni za kibiti alihusika Sana

Kwenye cross examination tukasikia mengi
 
Hawa bana sasa ukosoaji gani huo
Mtu anatumia lugha za ajabu ajabu
Ndomana wanaonekana hamnazo

Ova
Ma taahira kama hao eti ndio wanataka wawe viongozi,labda watakuwa viongozi kwa Machadomo huko vinginevyo ni majitu yasiyo na adabu Wala staha.
 
Kwa hiyo kwa mtazamo wako hayo maneno ni matusi! Bora hata ungesema maneno ya kuudhi, kidogo ningekuelewa!

Ingawa ukija kwenye uhalisia, hilo jeshi lina sifa zote za kuitwa majambazi na vibaka! Kutokana na baadhi ya matendo yao ambayo kimsingi yako kinyume kabisa na shughuli zao za kika siku za kuwalinda raia na mali zao.
Hao ni majambazi wanaovaa uniform.
 
Akae hata wiki mbili
Hata kama mtamuweka kibabe huko korokoroni kwa mwaka mzima! Bado haiwezi kuondoa ukweli kuhusu ukibaka na ujambazi wa hao policcm wenu.

Alichokisema huyo Kamanda shupavu wa Chadema, kina ukweli kwa namna fulani. Jeshi la polisi lina madudu mengi, kuliko mazuri.

Ni wakati muafaka sasa wa kulijenga upya hili jeshi, ili liwatumikie wananchi wote! Badala ya kutumika kulinda maslahi ya ccm.
 
Back
Top Bottom