Serengeti: Tabitha Mwise asimulia jinsi Polisi walivyo Vamia nyumbani na kuvuliwa nguo mbele ya baba yake na kulazimisha afanye naye Mapenzi

Serengeti: Tabitha Mwise asimulia jinsi Polisi walivyo Vamia nyumbani na kuvuliwa nguo mbele ya baba yake na kulazimisha afanye naye Mapenzi

Huu utamaduni WA kujichukulia Sheria mkononi tunaotengeneza ni WA kishenzi na utatucost Sana , no one is safe .Unaweza dhani uko Salama Ila kuna siku litakukuta jambo ,mtu anaweza hata akasungizia wewe ni jambazi au mhalifu na watu wakaishia kukupiga kukutesa na hata kukuua , pia hata hao wapuuz polisi wanaweza kukutesa na kukuua wakikutuhumu Kwa kosa flani ,bila uchunguzi WA kina .

Polisi wanatakiwa kufanya kazi Kwa weredi ,Kwanza hao kenge hata police general order na penal code ya Tz hawajui kwamba wanaenda kinyume nayo , wapumbav hawana skills za kucarry out investigation na kupata information bila torture , torture ni forbidden in any way .
Siyo police tu hata mahakama
Maana hawa wakikamatwa hutokea mahakamani kwa michezo yao

Ova
 
Majambazi mkiwakamata muwahoji siku 3 watoe washirika wao, kicha muwapge chuma wafe.

Pale runzewe na katoro mkoa wa geita ni makazi ya majambazi wa kanda ya ziwa.

Kapgeni risasi na umma muutangazie.

Jambazi. Mwizi, kibaka na panyaroad ni kuwapoteza tu. Wauliwe popote, walawitiwe laiv kisha wasokomezwe nondo mkundun.
Watu humu wanawachukulia poa majambaz
Utumie uweledi kwa jambaz

Ova
 
Kweli lakini wasivuke mpaka. Polisi wana kawaida pia ya kuua wasio majambazi, kule mtwara walifanya hiki kitu. Mtu sio jambazi wakampa tuhuma za ujambazi wakamuua, kumbe lengo wachukue pesa zake za madini.

Nashauri waangaliwe kwa jicho Kali, huwa Wana tabia ya kupitiliza.
Kweli wapo polisi ambao ni corrupt
Nahsi duniani kote polisi aina hii wapo
Ila ku deal na jambaz ambaye ni sugu
Ashakanywa hasiki,anaendelea na uhalifu...dawa ni kumngoa tu

Ova
 
Kweli wapo polisi ambao ni corrupt
Nahsi duniani kote polisi aina hii wapo
Ila ku deal na jambaz ambaye ni sugu
Ashakanywa hasiki,anaendelea na uhalifu...dawa ni kumngoa tu

Ova
Nakubaliana na wewe kwenye hili Ila ndio nashauri wahakikiwe maana Kuna makosa wamewahi kufanya yakagharimu maishaa ya wasio na hatia(concern nyangu ipo hapa)
 
Kuna wakati unapodeal na jambazi
Una deal naye totally
Na siyo tanzania tu hata kenya tu hapo,kuna wakati wahalifu sugu wakifatwa ni kazi moja tu
Kuna watu washashindikana na hawasikiii,na wakiendelea waleaaa
Wataendelea kufanya uhalifu
Dawa ni moja tu kuwa eliminate

Ova
Kwa hiyo wote wawili baba na binti ni majambazi?
Kuwalazimisha mtu kujamiiana na mtoto wake ndiyo njia nzuri ya kudeal na ujambazi?
 
Tulia we kiuno nchi yoyote ile duniani watu kama hao hupitia mateso makali ili waseme wanashirikiana na kina nani na bunduki ziko wapi

Jambazi habembelezwi ili aseme ukweli
Pia ajiulize yeye mwenyewe sio jambazi polisi hawajawahi Kuja kwake kumkamata wakamtesa wanamuuliza kuwa silaha iko wapi.


Yaani ishu ya jambazi na askari sio ishu ya kitoto is matter of life or death thing. You've to live or die so wao wanajua Ni Kama wanaongea na beibi zao. Ingawa wapo Askari wenye tamaa kubwa mno anatumia mgongo wa lile vazi kufanya uporaji,wapo asilaha. Jiulize bila ya wahalifu kazi ya polisi haipo unadhani atafanya nini
 
Mtu akishakuwa jambazi ameshatoka kwenye ubinanadamu so inatakiwa atenganishwe kwa bunduki mbali kabisa na binadamu.
 
Kiwango chako cha ujinga ni kikubwa.jaribu kukipunguza.Kilichofanywa na polisi nimakosa makubwa haijalishi huyo bwana alikua na tuhuma kubwa kiasi gani.Hiyo mbinu inaonyesha jinsi ambavyo jeshi la polisi limeishiwa mbinu.wewe unaona sawa kwasababu unajiona uko salama ila hii ni fedhea kubwa na tukifumbia macho vitendo vyakutweza utu wa mtu kama hivyo iko siku vinaweza kukukuta ata wewe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Pumbavu zako ,nasema hivi kama wewe ni jambazi embu salimisha iyo siraha mara moja mda ni mchache sana jinga
 
Sawa ila kuna mengine yanahuzunisha so nisawa ukamwambia mtu alalae na baba ake saivi au mtu akuambie ulalane mama ako au baba ako wakikuona ndio akili za mwisho zakutumia wapate wanachotaka?? Au unachotaka kama ni akili hamna basi acheni kusumbua wananchi namiwafedheesha mnahuzunisha mfunguliwe mashitaka .

Mnaacha watu waliowaalifu mtu anakabunduki tu kamoja kasahau kuisajili ndio umlete ujinga huu this is not good inatia aibu huruma ikiwekwa instagram hii inshu hatupati tena wageni wakuja kuona magofu ya mbuga za wanyama
Ona simbilisi hii ,ety mtu anakabunduki kimoja kasahau kukasajili ivi wewe punguani unataka mtu awe na armoury yote ya bunduki ndio adhalilishwe Jaman kama hujui kazi ya kudeal na majamazi ni ngumu Kaa kimyaaa
 
View attachment 2367550
Binti asimulia polisi alivyomvua nguo mbele ya baba yake Serengeti
Sunday September 25 2022
Tabitha Mwise (22), binti wa Mwise Simon (54), mmoja wa watu watatu waliouwawa kwa kupigwa risasi na polisi wilayani Serengeti kwa tuhuma za ujambazi amesimulia tukio la polisi kuvamia nyumbani kwao kumtia mbaroni baba yake ambaye sasa ni marehemu.

Binti asimulia polisi alivyomvua nguo mbele ya baba yake Serengeti
By Beldina Nyakeke

IN SUMMARY
Tabitha Mwise (22), binti wa Mwise Simon (54), mmoja wa watu watatu waliouwawa kwa kupigwa risasi na polisi wilayani Serengeti kwa tuhuma za ujambazi amesimulia tukio la polisi kuvamia nyumbani kwao kumtia mbaroni baba yake ambaye sasa ni marehemu.

Musoma. Tabitha Mwise (22), binti wa Mwise Simon (54), mmoja wa watu watatu waliouwawa kwa kupigwa risasi na polisi wilayani Serengeti kwa tuhuma za ujambazi amesimulia tukio la polisi kuvamia nyumbani kwao kumtia mbaroni baba yake ambaye sasa ni marehemu.

“Kwanza walifika kwa kishindo alfajiri ya Septemba 21, mwaka huu wakiwa na magari mawili; wakavunja milango na kuwatoa nje wote waliokuwemo ndani huku wakimtembezea kipigo kila aliyekuwa mbele yao,” amesema binti huyo

Amesema mlango wake ulipovunjwa na yeye kutolewa nje kwa vipigo, alimkuta baba yake na ndugu wengine wakiwa tayari wametolewa nje huku wakipigwa kulazimishwa kuonyesa silaha zilipofichwa.

“Baada ya kuwajibu kwamba sifahamu bunduki ilipo na wala sijawahi kumwona baba yangu akiwa na bunduki, askari wale waliendelea kunishambulia sehemu mbalimbali za mwili huku watuamuru mimi na baba kuvua nguo zote,” amesema Tabitha akionyesha huzuni usoni kabla ya kushindwa kuendelea kusimulia tukio hilo

Binti huyo ametoa simulizi hiyo mjini Musoma leo Septemba 25, 2022 wakati familia mbili kati ya tatu zilizopoteza wapendwa wao katika tukio hilo walipokutana na waandishi wa habari kusisitiza msimamo wa kutozika hadi uchunguzi huru na wa kina ufanyike kujua sababu na jinsi ndugu zao walivyopigwa risasi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Longinus Tibishiwanu hakupatikana kuzungumzia tuhuma za askari wake kudaiwa kuwavua nguo baba na binti yake mbele ya wanafamilia wengine baada ya msaidizi wake aliyepokea simu yake ya kiganjani kueleza kuwa kiongozi huyo alikuwa kwenye ibada.

Msimamo wa familia

Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma, familia ya Mwise Simon na Mgare Mokiri wamesisitiza kutozika hadi uchunguzi wa kina utakapofanyika kubaini sababu na mazingira ya vifo vya ndugu zao.

"Tume huru tunayoomba iundwe ichunguze siyo tu mauaji ya Serengeti, bali pia ya watu wengine waliofia katika mikono ya polisi katika matukio mbalimbali wakiwemo wale waliodaiwa kuwa ni Panya Road," alisema Catherine Ruge, ambaye ni mpwa wa marehemu Mwise Simon

Catherine ambaye pia ni Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bavicha) amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati suala hilo kama alivyofanya kwa kifo cha mfanyabiashara wa madini Mussa Hamisi wa Mtwara aliyefia mikononi mwa polisi.

Watu hao waliouwawa na askari polisi kutoka mikoa ya Mwanza, Mara, Simiyu na Tarime/Rorya ambao walikuwa wanafanya operesheni ya kusaka watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi.

Mwingine aliyepigwa risasi katika tukio hilo lililotokea usiku wa kumakia Septemba 22, mwaka huu ni Mairo Togoro (56) ambaye familia yake haikuwepo kwenye mkutano wa waandishi wa habari mjini Musoma.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Longinus Tibishiwanu alisema watu hao walipigwa risasi walipojaribu kutoroka walipoenda na askari polisi kuonyesha maficha yao na eneo wanakohifadhi silaha walizodaiwa kuzitumia kwenye uhalifu.

Taarifa hiyo inadai watu hao ambao sasa ni marehemu walikuwa wanatuhumiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi na waliwaongoza askari kwenda kuonyesha walipojificha wenzao watatu lakini walipofika kitongoji cha Gentamome, ghafla askari polisi walishambuliwa ndipo walipolazimika kujibu mapigo.

More From Mwananchi
Huyu binti anasema uongo dhambi kubwa. CHADEMA wanaomfundisha aseme hivyo wana dhambi kubwa zaidi. Hii ni sawa na ile hadeeth ya Mtume kuamua amchane mtoto katikati wagawane mama halisi akakataa. Na huyu binti kumhusisha baba yako na uchi angekubali angekataa. Kutetea majambazi ni hulka yao.
 
Izo ni mbinu tu ili mtuhumiwa afunguke, msidhani ni kazi rahisi kudeal na jambazi

Tuseme sawa ni kweli baba ana bunduki, je kama binti hajawahi kuiona na wala hajui kama baba ana bunduki? Au wewe unadhani kila muhalifu anaiambia familia yake kua mimi ni muhalifu?
 
Tunachangia kwa miemko, Siku jambazi akikuvamia na kukushughulikia ndo utajua polisi walikuwa sawa.

Majambazi siyo wa kuchekewa jamani nyie..
Yote kwa yote..tuendelee kutafta nauli za kwenda Burundi!
 
IMG_0834.jpg

ukisoma huu uzi utagundua jinsi nchi ilivyojaa wapuuzi hii.

maelezo ya thabita anawezatoa mtu yeyote tu akiamua.
 
View attachment 2367550
Binti asimulia polisi alivyomvua nguo mbele ya baba yake Serengeti
Sunday September 25 2022
Tabitha Mwise (22), binti wa Mwise Simon (54), mmoja wa watu watatu waliouwawa kwa kupigwa risasi na polisi wilayani Serengeti kwa tuhuma za ujambazi amesimulia tukio la polisi kuvamia nyumbani kwao kumtia mbaroni baba yake ambaye sasa ni marehemu.

Binti asimulia polisi alivyomvua nguo mbele ya baba yake Serengeti
By Beldina Nyakeke

IN SUMMARY
Tabitha Mwise (22), binti wa Mwise Simon (54), mmoja wa watu watatu waliouwawa kwa kupigwa risasi na polisi wilayani Serengeti kwa tuhuma za ujambazi amesimulia tukio la polisi kuvamia nyumbani kwao kumtia mbaroni baba yake ambaye sasa ni marehemu.

Musoma. Tabitha Mwise (22), binti wa Mwise Simon (54), mmoja wa watu watatu waliouwawa kwa kupigwa risasi na polisi wilayani Serengeti kwa tuhuma za ujambazi amesimulia tukio la polisi kuvamia nyumbani kwao kumtia mbaroni baba yake ambaye sasa ni marehemu.

“Kwanza walifika kwa kishindo alfajiri ya Septemba 21, mwaka huu wakiwa na magari mawili; wakavunja milango na kuwatoa nje wote waliokuwemo ndani huku wakimtembezea kipigo kila aliyekuwa mbele yao,” amesema binti huyo

Amesema mlango wake ulipovunjwa na yeye kutolewa nje kwa vipigo, alimkuta baba yake na ndugu wengine wakiwa tayari wametolewa nje huku wakipigwa kulazimishwa kuonyesa silaha zilipofichwa.

“Baada ya kuwajibu kwamba sifahamu bunduki ilipo na wala sijawahi kumwona baba yangu akiwa na bunduki, askari wale waliendelea kunishambulia sehemu mbalimbali za mwili huku watuamuru mimi na baba kuvua nguo zote,” amesema Tabitha akionyesha huzuni usoni kabla ya kushindwa kuendelea kusimulia tukio hilo

Binti huyo ametoa simulizi hiyo mjini Musoma leo Septemba 25, 2022 wakati familia mbili kati ya tatu zilizopoteza wapendwa wao katika tukio hilo walipokutana na waandishi wa habari kusisitiza msimamo wa kutozika hadi uchunguzi huru na wa kina ufanyike kujua sababu na jinsi ndugu zao walivyopigwa risasi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Longinus Tibishiwanu hakupatikana kuzungumzia tuhuma za askari wake kudaiwa kuwavua nguo baba na binti yake mbele ya wanafamilia wengine baada ya msaidizi wake aliyepokea simu yake ya kiganjani kueleza kuwa kiongozi huyo alikuwa kwenye ibada.

Msimamo wa familia

Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma, familia ya Mwise Simon na Mgare Mokiri wamesisitiza kutozika hadi uchunguzi wa kina utakapofanyika kubaini sababu na mazingira ya vifo vya ndugu zao.

"Tume huru tunayoomba iundwe ichunguze siyo tu mauaji ya Serengeti, bali pia ya watu wengine waliofia katika mikono ya polisi katika matukio mbalimbali wakiwemo wale waliodaiwa kuwa ni Panya Road," alisema Catherine Ruge, ambaye ni mpwa wa marehemu Mwise Simon

Catherine ambaye pia ni Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bavicha) amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati suala hilo kama alivyofanya kwa kifo cha mfanyabiashara wa madini Mussa Hamisi wa Mtwara aliyefia mikononi mwa polisi.

Watu hao waliouwawa na askari polisi kutoka mikoa ya Mwanza, Mara, Simiyu na Tarime/Rorya ambao walikuwa wanafanya operesheni ya kusaka watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi.

Mwingine aliyepigwa risasi katika tukio hilo lililotokea usiku wa kumakia Septemba 22, mwaka huu ni Mairo Togoro (56) ambaye familia yake haikuwepo kwenye mkutano wa waandishi wa habari mjini Musoma.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Longinus Tibishiwanu alisema watu hao walipigwa risasi walipojaribu kutoroka walipoenda na askari polisi kuonyesha maficha yao na eneo wanakohifadhi silaha walizodaiwa kuzitumia kwenye uhalifu.

Taarifa hiyo inadai watu hao ambao sasa ni marehemu walikuwa wanatuhumiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi na waliwaongoza askari kwenda kuonyesha walipojificha wenzao watatu lakini walipofika kitongoji cha Gentamome, ghafla askari polisi walishambuliwa ndipo walipolazimika kujibu mapigo.

More From Mwananchi
Samia aliwahi kusema yeye na mwendazake ni kiti ki 1 hivyo yanayotokea hayashangazi
 
Back
Top Bottom