Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Naona unajisema.Nimegundua huna hoja.
Swali fupi umeshindwa kujibu mpka umesaidiwa na jamaa pale.
Nani ambae hana hoja sasa
Kwaherii😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unajisema.Nimegundua huna hoja.
Ofcoz wana hatimiliki ya huo msemo.unaijua film ya THE LION KING? Huo msemo kautoa humo.
Nikionaga kijana anajiita sijui Nani Nani boy aseee sijui imekaajeJamii forum nowdays imejaa vibaka wa panya road ndio hao kutwa kushinda kwenye page Aston villa huko na Genk kurusha matusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui tangu lini wagonjwa wa milembe mmeanza kupewa smartphone.. ona madhara yake Sasa.Braza nimechoka kubishana na vichaa hapa.
Vitu vidogo wanavikuza mnoo dah [emoji3][emoji3][emoji3]
Kama wewe na yeye mlivyonitukana ni sawa sio??Ona unavyotukukana. Huna hoja na umejaa vioja.
Haahahahahhah,you made my day mate.Nikionaga kijana anajiita sijui Nani Nani boy aseee sijui imekaaje
It's OK to have an AKA but those boy boy
Are too Childish
It's for Sec school and primary
Kweli kabisa hivyo ndio vinajaa huko Instagram kutukana fans wa Aston villa na Genk mpaka aibuNikionaga kijana anajiita sijui Nani Nani boy aseee sijui imekaaje
It's OK to have an AKA but those boy boy
Are too Childish
It's for Sec school and primary
Wewe Mimi sio wa kwanza kukuita mtoto umeitwa mara nyingi..Sijui tangu lini wagonjwa wa milembe mmeanza kupewa smartphone.. ona madhara yake Sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ni tabu tupu.Sijui tangu lini wagonjwa wa milembe mmeanza kupewa smartphone.. ona madhara yake Sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliingiza hiyo hela mwaka huo..!!!??Ilikuwa ya mwaka 1994 na ilikuwa ni movie ambayo ni cartoon nafikiri utapata hata mda wa kuangalia (sio movie) ila hata maelezo tu
Ilikuwa ni movie walitoengeneza $968.5m
Duniani na wengi sana tuliangalia
Sikushangai lakini kama hukuiangalia View attachment 1327084
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ujuaji unapozidi....Unachekesha.MUfasa NI SIMBA BABA, THE KING LION Film wanaongea maneno mengi tu ya kiswahili.Hakuna matata linatumika sana.Ramos kalisikia humo nina uhakika asilimia 200.
Ni mtoto huyo... Keshaambiwa na watu wengi tuWewe Mimi sio wa kwanza kukuita mtoto umeitwa mara nyingi..
Sababu ni ujinga wako
Wewe mimi sio level yako , ukute unakaa kwa shemeji yako , uko Juu ya soka umeshika remote ya king'amuzi Cha Startimes na mkono mwingine umeshika glass ya ukwaju unasubiri uambiwe ukakojoe ulale.. unakuja kutupigia kelele hapa watu wazimaWewe Mimi sio wa kwanza kukuita mtoto umeitwa mara nyingi..
Sababu ni ujinga wako
Hamna exposure. Ndo kinachowasumbua nyinyi.
Otimbi na Otimbilio naona mnafarijiana. Mnazidi kupotezana ...Ni mtoto huyo... Keshaambiwa na watu wengi tu
Nimemwambia mkuu kaanza kunitukana na mwenzake
Waliingiza hiyo hela mwaka huo..!!!??
King Lion ilishawahi kutoka kabla ya hiyo ya mwaka jana. Na kama huwa unaangalia Disney channel huwa kuna series catoon za king lion nyingi tu. Sema film iliyotoka mwaka jana. Kuna film ilishatoka kabla long time tu.
Mbele Giza 😀😀