Sergio Ramos katumia Kiswahili katika akaunti yake

Sergio Ramos katumia Kiswahili katika akaunti yake

Ilikuwa ya mwaka 1994 na ilikuwa ni movie ambayo ni cartoon nafikiri utapata hata mda wa kuangalia (sio movie) ila hata maelezo tu
Ilikuwa ni movie walitoengeneza $968.5m
Duniani na wengi sana tuliangalia
Sikushangai lakini kama hukuiangalia View attachment 1327084


Sent from my iPhone using Tapatalk
Waliingiza hiyo hela mwaka huo..!!!??
 
Wewe Mimi sio wa kwanza kukuita mtoto umeitwa mara nyingi..

Sababu ni ujinga wako
Wewe mimi sio level yako , ukute unakaa kwa shemeji yako , uko Juu ya soka umeshika remote ya king'amuzi Cha Startimes na mkono mwingine umeshika glass ya ukwaju unasubiri uambiwe ukakojoe ulale.. unakuja kutupigia kelele hapa watu wazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuwashika kwa uongo na ujuaji wao Victoire na Daud1990 ..toka mwanzo, akaanza daud kunitukana baada ya kumwambia ukweli.. Kibaya zaidi alitoka nje Mada.

Swala sio kubisha kuwa hiyo movie hawatumii huo msemo..
Ila ni victoire kujifanya mjuaji.. Kwamba anajua mpaka yaliyo moyoni mwa mtu 😀😀

All in all wakaanza kunitukana lakini @reyzap akwaambia mwenzao anamaanisha anashukuru kwa kumaliza mwaka bila kadi nyekundu ila wao wamekazana yao..

Ubao ukageuzwa kuanza kunishambulia Mimi binafsi badala ya kujikita kwenye Mada. Kama Mimi.. 😀😀😀

Nashukuru Sana acha nikaangalie isidingo sasa..
😀😀
🚶🚶🚶🚶
 
King Lion ilishawahi kutoka kabla ya hiyo ya mwaka jana. Na kama huwa unaangalia Disney channel huwa kuna series catoon za king lion nyingi tu. Sema film iliyotoka mwaka jana. Kuna film ilishatoka kabla long time tu.

Ki uhalisia msemo wa 'hakuna matata' upo toka zamani sana haujaanzishwa na hizo animation za lion king. Labda zimesaidia ku upush!
 
Back
Top Bottom