toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,139
- 2,223
Huyu dogo alinikera Sana ni sawa na yule wa kwenye EXTRACTIONView attachment 3215087
Dogo alizingua sana kwenye Night Agent, alipata alichostahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dogo alinikera Sana ni sawa na yule wa kwenye EXTRACTIONView attachment 3215087
Dogo alizingua sana kwenye Night Agent, alipata alichostahili
Movie gani hii?View attachment 3209774
Huyu mtoto anasumbua sana, hatulizi kabisa kitumbua chake. Bora wahuni walivyompelekea moto kwa nguvu🤕
Yeah sure full kuleta ujuajiHuyu dogo alinikera Sana ni sawa na yule wa kwenye EXTRACTION
Wrong side of the tracksMovie gani hii?
Mama yake nae alitaka kuzingua. Nayeye angewahishwa alipo mwanae laiti the jackal ndio alikuwa amepewa hilo jukumuView attachment 3215087
Dogo alizingua sana kwenye Night Agent, alipata alichostahili
Sio movie ni series mkuuMovie gani hii?
The Jackal hakuna kitu anachukia kama The loose ends😂😂.Mama yake nae alitaka kuzingua. Nayeye angewahishwa alipo mwanae laiti the jackal ndio alikuwa amepewa hilo jukumu
Jamaa achelewi kukupeleka motoni yuleThe Jackal hakuna kitu anachukia kama The loose ends😂😂.
Naunga mkono hojaSquid game season 2 ni ya moto saaana kama mtu umeielewa season 1.
Wanaosema season 2 ni ya hovyo siwaelewi sababu mimi nimeona season 2 kila kipande ni cha moto saana.Naunga mkono hoja
Labda ukiwa unacheki ukiwa umelewaWanaosema season 2 ni ya hovyo siwaelewi sababu mimi nimeona season 2 kila kipande ni cha moto saana.
Mimi nafikiri season1 ilikuwa ya moto. Kuna michezo mle ilikuwa bomba sana.Squid game season 2 ni ya moto saaana kama mtu umeielewa season 1.
Season 2 inapigwa mtama na michezo miwili tu ya season 1.Labda ukiwa unacheki ukiwa umelewa
Mkuu. Season ya 2 nzuri sana, tusubiri tuone mwisho wake. Mimi naona Lee season 2 amekichafua sana sana pia.Season 2 inapigwa mtama na michezo miwili tu ya season 1.
Red light green light
Na ule wa kuruka kwenye vioo
Hapo sijaunganisha visa vya matatizo ya kifamilia vinavyo wasibu washiriki wa michezo. N.k yule mama aliye achiwa mtoto kwenye season1 alitia fora sana
Westerners series zao huwa wana undermine uwezo wa warusi kimkakati ili kuleta propaganda kwamba wao ni bora zaidi na warusi hakuna kitu.Wakuu hii THE AGENCY,
Mbona wameharibu series kwa ku-undermine uwezo wa warusi kwenye medani za kivita na ujasusi na issue flani hivi za mapenzi sana ni kama series flani hivi ya kichawa haina uhalisia unaokidhi.
Ingekua series nzuri sana kama atleast wange-balance mzani kidogo
Yap hiyo nimeicheki kidogo na ninayo naivutia kasiWesterners series zao huwa wana undermine uwezo wa warusi kimkakati ili kuleta propaganda kwamba wao ni bora zaidi na warusi hakuna kitu.
Ila ukitaka uhalisia angalia series moja inaitwa American humo ndo utaelewa Russia habari nyingine
Wamelipa kisasi maana kwenye the Americans wameonewa sanaWakuu hii THE AGENCY,
Mbona wameharibu series kwa ku-undermine uwezo wa warusi kwenye medani za kivita na ujasusi na issue flani hivi za mapenzi sana ni kama series flani hivi ya kichawa haina uhalisia unaokidhi.
Ingekua series nzuri sana kama atleast wange-balance mzani kidogo
sawa mkuu ntazingatia BB ni series ganiBCS inaingia kwenye series zangu bora za muda wote, one of the best 🔥. Kuna siku ilinifanya nikeshe.
Actually ungeanza na BB kisha ukamaliza na BCS. Ila kama hukuangalia kabisa BB basi ukimaliza BCS pita na BB, utakuja kuleta mrejesho.
The rest, enjoy na show!