Series (Special thread)

Series (Special thread)

Screenshot_20241229-212854_WhatsApp.jpg
 
Movie " whiteout" hii Kali sana itafuteni inahusiana na wakati wanafanyakazi wa kampuni fulani wanavamiwa na kundi la kigaidi na kutekwa wanapelekwa sehemu ya mafichoni huko wanapata mateso ya kufa mtu, kimbembe kinakuja namna ya kutoroka ili waokoe maisha yako.Nilichopendea kwenye hii movie main enemy Ni ngumu kumjua mpaka mwishoni mwishoni hivi ndio anajulikana hii Ni tofauti na movie nyingi
 
Movie " whiteout" hii Kali sana itafuteni inahusiana na wakati wanafanyakazi wa kampuni fulani wanavamiwa na kundi la kigaidi na kutekwa wanapelekwa sehemu ya mafichoni huko wanapata mateso ya kufa mtu, kimbembe kinakuja namna ya kutoroka ili waokoe maisha yako.Nilichopendea kwenye hii movie main enemy Ni ngumu kumjua mpaka mwishoni mwishoni hivi ndio anajulikana hii Ni tofauti na movie nyingi
Screenshot_20241229-231302_Video Player.jpg

Movie nzuri sanaa
 
Movie " whiteout" hii Kali sana itafuteni inahusiana na wakati wanafanyakazi wa kampuni fulani wanavamiwa na kundi la kigaidi na kutekwa wanapelekwa sehemu ya mafichoni huko wanapata mateso ya kufa mtu, kimbembe kinakuja namna ya kutoroka ili waokoe maisha yako.Nilichopendea kwenye hii movie main enemy Ni ngumu kumjua mpaka mwishoni mwishoni hivi ndio anajulikana hii Ni tofauti na movie nyingi
Ntaitafuta
 
Movie " whiteout" hii Kali sana itafuteni inahusiana na wakati wanafanyakazi wa kampuni fulani wanavamiwa na kundi la kigaidi na kutekwa wanapelekwa sehemu ya mafichoni huko wanapata mateso ya kufa mtu, kimbembe kinakuja namna ya kutoroka ili waokoe maisha yako.Nilichopendea kwenye hii movie main enemy Ni ngumu kumjua mpaka mwishoni mwishoni hivi ndio anajulikana hii Ni tofauti na movie nyingi
Mbona nikiangalia trailer na ulichokiandika hapo ni vitu viwili tofauti. Au unayoisemea ni ya mwaka gani?

View: https://youtu.be/p-lgpGM33wA?si=cbpwn4Hi4QK4Z2HJ
 
Movie " whiteout" hii Kali sana itafuteni inahusiana na wakati wanafanyakazi wa kampuni fulani wanavamiwa na kundi la kigaidi na kutekwa wanapelekwa sehemu ya mafichoni huko wanapata mateso ya kufa mtu, kimbembe kinakuja namna ya kutoroka ili waokoe maisha yako.Nilichopendea kwenye hii movie main enemy Ni ngumu kumjua mpaka mwishoni mwishoni hivi ndio anajulikana hii Ni tofauti na movie nyingi
Ngoja niidownload
 
Back
Top Bottom