Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,310
Na walistahili piawametishaa sana
Biashara nzuri sana hiyo
Kama hiziView attachment 1979021Mm nauliza kwavile tunaishi hii Social media era au ni kitu gani? Maana mm mpaka sasa sion kitu special kwenye ile Series, don’t get me wrong.. sisemi kuwa ile ni mbaya ila naona kilichochangia itazamwe sana ni Memes na social media trending watu walikuwa wanaifanyia marketing indirectly bila kujua... still wanafanya mpaka sasa.
Mfano kuna watu wanakuuliza what’s up with this Squid game...hata yule mtu ambae haangaliagi movie, ukimtajia anaenda kuangalia ili aelewe ile pop culture reference kwenye post alioiona[emoji848]
Sema above all series kaliExactly... sasa mtu akiona hivi haelewi reference na watu wanacheka nini inabid akaangalie ili apatae kujua nini kinaendelea.
sasa hiv watu tunaangalia media inasema nn utakuta mtu huyo huyo akisifiwa na media anakubalika kesho akibadilikiwa na media watu wanamchukia it’s like hatuwez kufikiria kwa vichwa vyetu aisee
Sema above all series kali
Watching it now on Netflix with my girls, but I see it to childish
Hii series imeshangaza ilivyo hit..
Naona Instagram imechangia sana kufanya i hit...
Kuna Hadi fashion za nguo zinakuwa linked na hii series...
Ni part ya scene inogeSijapenda yale mauaji