Uchaguzi 2020 Serikali Amkeni: Taarifa lukuki za kutekwa wagombea wa chama kimoja tu cha siasa zisizo na uthibitisho ni hatari kwa usalama wa taifa

Uchaguzi 2020 Serikali Amkeni: Taarifa lukuki za kutekwa wagombea wa chama kimoja tu cha siasa zisizo na uthibitisho ni hatari kwa usalama wa taifa

Wagombea wengi wa Chadema wameuza fomu wakaamua kujiteka ili wasilaumiwe na uongozi wa chama chao.

Angalau kwa ACT Wazalengo wagombea wao hawauzi fomu kwa fujo!! Kwa kweli ndg zangu CDM jitafakarini. Mmeweka wagombea bila kuwafanyia vetting!!

Najaribu kujiuliza, Watanzania wenzangu kweli hawa watu ndio wanaweza kushika dola? Si watauza nchi?

Mungu atuepushie mbali, wana tamaa hawa kubwa sana. Walifanya fomu ni dili la kupata fedha.

Queen Esther
Chadema kuna vituko vingi mpaka unaishia kucheeekaaaaaaa
 
Wagombea wengi wa Chadema wameuza fomu wakaamua kujiteka ili wasilaumiwe na uongozi wa chama chao.

Angalau kwa ACT Wazalengo wagombea wao hawauzi fomu kwa fujo!! Kwa kweli ndg zangu CDM jitafakarini. Mmeweka wagombea bila kuwafanyia vetting!!

Najaribu kujiuliza, Watanzania wenzangu kweli hawa watu ndio wanaweza kushika dola? Si watauza nchi?

Mungu atuepushie mbali, wana tamaa hawa kubwa sana. Walifanya fomu ni dili la kupata fedha.

Queen Esther
Mbona CCM mnaeneza propaganda ya kusema wameuza form? Nani aliyezinunua sasa hizo form? Toeni ushahidi basi ya mtu anayenunua hizo form. Na huyo anayezinunua anazifanyia nini? Toeni basi hata ushahidi wa kusema huyu anayesema katekwa yuko sehemu flani anakula bata. Au ndo ile stail ya mtuhumiwa mnaamua kujitetea hata kabla ya kusema ni nyinyi wahusika
 
Kumbe kuna watu wananunua hadi fomu na huku wameleta maendeleo makubwa ambayo nchi haijapata tangia uhuru ila sasa wanaogopa uchaguzi hadi wananunua fomu za wagombea, huo ni uthibisho tosha wa jinsi wanavyokubalika kwa wananchi
Wananunua kwa sababu zinauzwa. Ila Lissu hajauza ya kwake usiwe na wasiwasi atakuwa rais October atateuwa Wabunge 10 wataongezeka.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Mambo haya yanatakiwa kuundwa tume maalum kwa ajili ya uchunguzi wa haya yanayotokea, Ijapokua kuna visa vingi vinavyothibitisha wagombea kutekwa na kushambuliwa, Bado kuna haja ya kuchunguza haya yote ikiwa kweli hawa watu wanatekwa ama wanauza fomu na kuchukua ela.
 
Wagombea wengi wa Chadema wameuza fomu wakaamua kujiteka ili wasilaumiwe na uongozi wa chama chao.

Angalau kwa ACT Wazalengo wagombea wao hawauzi fomu kwa fujo!! Kwa kweli ndg zangu CDM jitafakarini. Mmeweka wagombea bila kuwafanyia vetting!!

Najaribu kujiuliza, Watanzania wenzangu kweli hawa watu ndio wanaweza kushika dola? Si watauza nchi?

Mungu atuepushie mbali, wana tamaa hawa kubwa sana. Walifanya fomu ni dili la kupata fedha.

Queen Esther
Hata mimi nakubaliana na wewe! Chadema hamko serious mnachezea hisia za wananchi.
 
Naishauri serikali wagombea wote wa ngazi zote ilikuepusha Mara katekwa Mara kavamiwa Mara sijui imekuwaje,wagombea Hawa wawekwe kitu kinaitwa LOCKDOWN eneo ambalo Ni salama wakae huko lockdown Hadi asubuhi siku ya uchaguzi ndo tuwatowe maana Kama Ni Sera kila mmoja anajua Hadi leo atachagua chama kipi ata aliambiwa Sasa hivi kapige kura ataenda bila ya kapeni na atachagua anayemtaka
 
Wagombea wengi wa Chadema wameuza fomu wakaamua kujiteka ili wasilaumiwe na uongozi wa chama chao.

Angalau kwa ACT Wazalengo wagombea wao hawauzi fomu kwa fujo!! Kwa kweli ndg zangu CDM jitafakarini. Mmeweka wagombea bila kuwafanyia vetting!!

Najaribu kujiuliza, Watanzania wenzangu kweli hawa watu ndio wanaweza kushika dola? Si watauza nchi?

Mungu atuepushie mbali, wana tamaa hawa kubwa sana. Walifanya fomu ni dili la kupata fedha.

Queen Esther
Wanaonunua hizo fomu ni nani na kwa makusudi au matumizi gani? Haingii akilini. Your argument is naive and babyish.
 
Kuna taarifa mpya ya kutekwa mgombea wa CHADEMA kwa ngazi ya UDIWANI na UBUNGE kila baada ya dakika chache ndani ya siku 5 za mwisho kuelekea siku ya leo tarehe 25/08/2020 ya kupitishwa majina ya wagombea na NEC.

Nyingi ya hizi taarifa hazina uthibitisho kiasi kwamba zinaleta hofu kuna watu wamepanga kuichafua nchi kwa makusudi na kutaka kupata uhalali wa kuja kufanya vurugu na kuomba jumuiya za kimataifa kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania.

Sasa ifike wakati Tanzania iwe mbele kuliko maslahi binafsi. Kuna uwezekano mkubwa huu ni ushauri hatari uliopendekezwa na watu wa ndani au wa nje ya nchi ambao wana maslahi binafsi. Ninacho kiona ni hatari ya vita kama nchi zingine zilizo ingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe au kuvamiwa na majeshi ya kigeni kwa mlango wa kukomesha vurugu, kulinda amani na kusimamia demokrasia.

Vita hivi havitachagua familia za wana CCM au wana CHADEMA, ACT, NCCR-Mageuzi, ADC, CHAUMA au CUF pekee.
Mnaofanya mambo haya na kushawishi vijana wasiojielewa kutumika katika mipango hovu, haya mambo yatatudhuru wote na biashara zetu wote.
Msitumike na nchi jirani au watu wa mabara mengine kama hamjitambui.

Napata shida kuishauri serikali hasa Idara ya Usalama wa Taifa, JWTZ, na jeshi la polisi kuanza kuchukua hatua ngumu zaidi kwa waeneza taarifa hizi. Lakini sina budi niwashauri ikiwalazimu fanyeni hivyo, kama media zikishindwa kuwadai uthibitisho zaidi basi ziwekeeni speed governor maana hakuna namna, hapo baadaye watanzania wema watawashukuru kwa kuwaokoa na mkono wa mtoa roho. Wanasema 'the end justifies the means'.

Jukwaa letu pendwa JF nawashauri mjisafishe mikono yenu na damu zinazokaribia kumwagika sababu ya habari hizi za propaganda, jifuteni mikono yenu machozi ya watoto yatima watakao telekezwa na familia zao wakati wa vurugu, picha maarufu ya mtoto wa Sudan aliyekaribia kuliwa na tai baada ya kukosa uangalizi wakati wa vita inatembea kwenye akili yangu na kunitia simanzi sana nikiwaza jambo kama lile linaweza kuwatokea maelfu ya watoto wa kitanzania.

Ile picha ni mbaya kiasi kwamba mpigaji alikufa kwa msongo wa mawazo na kujutia kuchukua picha kama ile ingawa ilimpa utajiri, fikiria wewe unaye leta taarifa za uzushi zikija kusababisha mambo kama yale unafikiri utaishi kwa amani ndani ya nafsi yako hata kama unayemtaka ataingia Ikulu na kukupa ulaji wa keki ya taifa?

Mambo yalianza kama hivi hivi propaganda kwenye media kule kwa wenzetu nchi za jirani maziwa makuu. Yale mafuvu yanatisha zaidi kama ukiona ulikuwa sehemu ya jambo ovu kama lile kutokea.

Yale magofu ya Libya na biashara ya utumwa inasikitisha zaidi kama wewe ni sehemu ya waliochangia kutokea jambo lile.

Mchana mwema.
Wewe uko tu apo ,Walioko kwenye Ground to wanakupa info af unaanza kusema.Jitasminini na mjue 2naIshi wote mitaan Kma mnataka THRUGANE na Amani kuipoteza ni rahisi sana.Namjue ulimwenguni wakati ni wakati wa madadiloko ie Belarus/Mali .Chant Down ccm_Babylon sytem
 
Kuna haja ya Jambo hili kufuatiliwa kwa ukaribu maana wataendelea kujiteka na kusingizia wametekwa .
Green guard mmoja wamemla kichwa huko Ukara,many more to go!
Dawa ndiyo hiyo,kuwachinja tu!
 
Uliwahi kusikia mwanachama au kiongozi wa upinzani wameuawa kule Rufiji na Kibiti?

Kinachotakiwa ni kushirikiana na dola kukomesha hii teka/tekwanyara.

Mnaichafua serikali ambayo mnapambania kuiongoza. Hili halitatokea kamwe kikundi chenye chembechembe za kigaidi kuongoza nchi hii[emoji28][emoji28]
 
Kuna wimbi limezuka yakwamba wagombea wa chadema wanatekwa na kunyang'anywa form za kugombea nafasi za ubunge na udiwani wanapoelekea kuzikabidhi kwa tume ya uchaguzi.

Kwanini ni chadema pekee na si vyama vingine?,jibu ni kwamba chadema inatafuta attention kwa nguvu, ndani ya nchi na nje katika jumuiya ya kimataifa kujionyesha wanaushawishi wakati si kweli hata kidogo .
Hili la kujiteka lipo ndani ya chadema wenyewe .

Chadema hakina fedha za uchaguzi kuweka wagombea na wasimamizi au mawakala nchi nzima ,hili liko wazi, wanachofanya ni kutaka kuvuruga uchaguzi huu tu.

Hawakufanya vetting ya kutosha kwa wateule wa nafasi za udiwani ,ubunge na hata urais,wamekurupuka na hilo liko wazi kabisa.

Utachukuaje wagombea bila mchakato makini?, haya ndio matokeo yake . Wagombea wao Wanatelekeza nafasi zao kwa ukata ,chama hakina fedha ya uchaguzi , wakijua hawatashinda.

Wakitumia njia ya kujitoa wataonekana wasaliti kwa wafuasi wao


Njia wanayoitumia kwa sasa ni kuingia mitini kwa kisingizio cha kujiteka na huu ni upumbavu wa hali ya juu sana.

Naviomba vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na TCRS kubaini mwenendo huu ambao unaharibu taswira ya nchi yetu kwa makusudi kabisa.

Hili likiendelea kuachwa madhara yake ni makubwa huko mbeleni
Wanajiteka na kujitekenya
 
Kuna taarifa mpya ya kutekwa mgombea wa CHADEMA kwa ngazi ya UDIWANI na UBUNGE kila baada ya dakika chache ndani ya siku 5 za mwisho kuelekea siku ya leo tarehe 25/08/2020 ya kupitishwa majina ya wagombea na NEC.

Nyingi ya hizi taarifa hazina uthibitisho kiasi kwamba zinaleta hofu kuna watu wamepanga kuichafua nchi kwa makusudi na kutaka kupata uhalali wa kuja kufanya vurugu na kuomba jumuiya za kimataifa kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania.

Sasa ifike wakati Tanzania iwe mbele kuliko maslahi binafsi. Kuna uwezekano mkubwa huu ni ushauri hatari uliopendekezwa na watu wa ndani au wa nje ya nchi ambao wana maslahi binafsi. Ninacho kiona ni hatari ya vita kama nchi zingine zilizo ingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe au kuvamiwa na majeshi ya kigeni kwa mlango wa kukomesha vurugu, kulinda amani na kusimamia demokrasia.

Vita hivi havitachagua familia za wana CCM au wana CHADEMA, ACT, NCCR-Mageuzi, ADC, CHAUMA au CUF pekee.
Mnaofanya mambo haya na kushawishi vijana wasiojielewa kutumika katika mipango hovu, haya mambo yatatudhuru wote na biashara zetu wote.
Msitumike na nchi jirani au watu wa mabara mengine kama hamjitambui.

Napata shida kuishauri serikali hasa Idara ya Usalama wa Taifa, JWTZ, na jeshi la polisi kuanza kuchukua hatua ngumu zaidi kwa waeneza taarifa hizi. Lakini sina budi niwashauri ikiwalazimu fanyeni hivyo, kama media zikishindwa kuwadai uthibitisho zaidi basi ziwekeeni speed governor maana hakuna namna, hapo baadaye watanzania wema watawashukuru kwa kuwaokoa na mkono wa mtoa roho. Wanasema 'the end justifies the means'.

Jukwaa letu pendwa JF nawashauri mjisafishe mikono yenu na damu zinazokaribia kumwagika sababu ya habari hizi za propaganda, jifuteni mikono yenu machozi ya watoto yatima watakao telekezwa na familia zao wakati wa vurugu, picha maarufu ya mtoto wa Sudan aliyekaribia kuliwa na tai baada ya kukosa uangalizi wakati wa vita inatembea kwenye akili yangu na kunitia simanzi sana nikiwaza jambo kama lile linaweza kuwatokea maelfu ya watoto wa kitanzania.

Ile picha ni mbaya kiasi kwamba mpigaji alikufa kwa msongo wa mawazo na kujutia kuchukua picha kama ile ingawa ilimpa utajiri, fikiria wewe unaye leta taarifa za uzushi zikija kusababisha mambo kama yale unafikiri utaishi kwa amani ndani ya nafsi yako hata kama unayemtaka ataingia Ikulu na kukupa ulaji wa keki ya taifa?

Mambo yalianza kama hivi hivi propaganda kwenye media kule kwa wenzetu nchi za jirani maziwa makuu. Yale mafuvu yanatisha zaidi kama ukiona ulikuwa sehemu ya jambo ovu kama lile kutokea.

Yale magofu ya Libya na biashara ya utumwa inasikitisha zaidi kama wewe ni sehemu ya waliochangia kutokea jambo lile.

Mchana mwema.
Nadhani umemlenga "Sabaya" na "jiwe" la toCha kwa uhuni uhuni wao! Si ndiyo?
 
Kuna wimbi limezuka yakwamba wagombea wa chadema wanatekwa na kunyang'anywa form za kugombea nafasi za ubunge na udiwani wanapoelekea kuzikabidhi kwa tume ya uchaguzi.

Kwanini ni chadema pekee na si vyama vingine?,jibu ni kwamba chadema inatafuta attention kwa nguvu, ndani ya nchi na nje katika jumuiya ya kimataifa kujionyesha wanaushawishi wakati si kweli hata kidogo .
Hili la kujiteka lipo ndani ya chadema wenyewe .

Chadema hakina fedha za uchaguzi kuweka wagombea na wasimamizi au mawakala nchi nzima ,hili liko wazi, wanachofanya ni kutaka kuvuruga uchaguzi huu tu.

Hawakufanya vetting ya kutosha kwa wateule wa nafasi za udiwani ,ubunge na hata urais,wamekurupuka na hilo liko wazi kabisa.

Utachukuaje wagombea bila mchakato makini?, haya ndio matokeo yake . Wagombea wao Wanatelekeza nafasi zao kwa ukata ,chama hakina fedha ya uchaguzi , wakijua hawatashinda.

Wakitumia njia ya kujitoa wataonekana wasaliti kwa wafuasi wao


Njia wanayoitumia kwa sasa ni kuingia mitini kwa kisingizio cha kujiteka na huu ni upumbavu wa hali ya juu sana.

Naviomba vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na TCRS kubaini mwenendo huu ambao unaharibu taswira ya nchi yetu kwa makusudi kabisa.

Hili likiendelea kuachwa madhara yake ni makubwa huko mbeleni
Umezungumzia mambo mengi saana Lakin nimegundua umejawa na uchama, upenzi na ushabiki kwa chama chako. Kumbuka hao ni watanzania wenzako wanahaki kama ulizonazo wewe kama raia, utofauti ni hitikadi tu. Let them challenge we may get a way forward for comprehensive plans in our land
 
Kuna taarifa mpya ya kutekwa mgombea wa CHADEMA kwa ngazi ya UDIWANI na UBUNGE kila baada ya dakika chache ndani ya siku 5 za mwisho kuelekea siku ya leo tarehe 25/08/2020 ya kupitishwa majina ya wagombea na NEC.

Nyingi ya hizi taarifa hazina uthibitisho kiasi kwamba zinaleta hofu kuna watu wamepanga kuichafua nchi kwa makusudi na kutaka kupata uhalali wa kuja kufanya vurugu na kuomba jumuiya za kimataifa kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania.

Sasa ifike wakati Tanzania iwe mbele kuliko maslahi binafsi. Kuna uwezekano mkubwa huu ni ushauri hatari uliopendekezwa na watu wa ndani au wa nje ya nchi ambao wana maslahi binafsi. Ninacho kiona ni hatari ya vita kama nchi zingine zilizo ingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe au kuvamiwa na majeshi ya kigeni kwa mlango wa kukomesha vurugu, kulinda amani na kusimamia demokrasia.

Vita hivi havitachagua familia za wana CCM au wana CHADEMA, ACT, NCCR-Mageuzi, ADC, CHAUMA au CUF pekee.
Mnaofanya mambo haya na kushawishi vijana wasiojielewa kutumika katika mipango hovu, haya mambo yatatudhuru wote na biashara zetu wote.
Msitumike na nchi jirani au watu wa mabara mengine kama hamjitambui.

Napata shida kuishauri serikali hasa Idara ya Usalama wa Taifa, JWTZ, na jeshi la polisi kuanza kuchukua hatua ngumu zaidi kwa waeneza taarifa hizi. Lakini sina budi niwashauri ikiwalazimu fanyeni hivyo, kama media zikishindwa kuwadai uthibitisho zaidi basi ziwekeeni speed governor maana hakuna namna, hapo baadaye watanzania wema watawashukuru kwa kuwaokoa na mkono wa mtoa roho. Wanasema 'the end justifies the means'.

Jukwaa letu pendwa JF nawashauri mjisafishe mikono yenu na damu zinazokaribia kumwagika sababu ya habari hizi za propaganda, jifuteni mikono yenu machozi ya watoto yatima watakao telekezwa na familia zao wakati wa vurugu, picha maarufu ya mtoto wa Sudan aliyekaribia kuliwa na tai baada ya kukosa uangalizi wakati wa vita inatembea kwenye akili yangu na kunitia simanzi sana nikiwaza jambo kama lile linaweza kuwatokea maelfu ya watoto wa kitanzania.

Ile picha ni mbaya kiasi kwamba mpigaji alikufa kwa msongo wa mawazo na kujutia kuchukua picha kama ile ingawa ilimpa utajiri, fikiria wewe unaye leta taarifa za uzushi zikija kusababisha mambo kama yale unafikiri utaishi kwa amani ndani ya nafsi yako hata kama unayemtaka ataingia Ikulu na kukupa ulaji wa keki ya taifa?

Mambo yalianza kama hivi hivi propaganda kwenye media kule kwa wenzetu nchi za jirani maziwa makuu. Yale mafuvu yanatisha zaidi kama ukiona ulikuwa sehemu ya jambo ovu kama lile kutokea.

Yale magofu ya Libya na biashara ya utumwa inasikitisha zaidi kama wewe ni sehemu ya waliochangia kutokea jambo lile.

Mchana mwema.
Naona kwa mbali unaanza kurudisha mawazo ya utu ila tatizo n moja kwamba unapenda Aman lakin hutambui haki kuwa ndio msingi wa Aman. Hapo umekuwa Kama mzani ulioelemewa na jiwe. Hawa wanaotekwa au kupigwa mapanga umethibitsha wanajteka na kujikata? Hao usalama wakowapi kuthibitisha acha kuwa na ngoz ya kondoo angal u chui
Un
 
Back
Top Bottom