Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Serekali inapanga Bei kwa kukuzuia isipande ndo maana kipindi Cha magufuli Ali ban export Bei ikawa stable na ikawa haipandiHakuna Bei elekezi kwenye chakula.
Serikali inacho weza kufanya nikuingiza mzigo sokoni kutoka kwenye akiba yake.
Na hii mara nyingi inahusu mahindi.
Wafanyabiashara/cartels ndo watu hatari kwenye hili swala lazima ufahamu hilo