Astakhafirullah...!Lakini huko si sheria kali mpaka kipindi cha mfungo haturuhusiwi kula mchana na biashara za mitungi zinafungwa..[emoji3]
Btw, mara ya kwanza kufika Znz sikuamini kuona jumba limejaa magasho wanashindana kukata nyuno.
kule wanaita chuo cha mafunzoHao wanatakiwa wakamatwe waletwe mahabusu za bara, mahabusu za visiwani hakuna kash kash
Na wewe unasapoti?Wanatetewa kuhusu haki zao za kiafya...Angalau wanadugyana mikundu wasiambukizane magonjwa! Kumbuka hata wawe wabaya kiasi gani bado ni Binadamu!
Kwa hiyo huko kwenu( ambako Ndio wengi) hamuwaoi hata vilainishi!
Kama Binadamu licha ya kufuraba,bado wana haki za Msingi...hivi ikitokea mtoto wako ansgirwa utamkana! Haya mambo yanahitaji busara mkuu! Mungu arpushe mbali yasitukuteNa wewe unasapoti?
Hata afande rama alikutwa Hana hatiaNi sehemu pekee Tz ukiacha DSM unakutana na shoga mtaani hana wasiwasi.
Kiukeli nimesikitika sana,haiwezekani Mji wa maadili km huu unaharibiwa,vijana wa kizanzibari wanaharibika,wanajiuza kwenye mahotel kwa wazungu na waarabu.
Mbaya zaidi watu wengi wenyeji wanajua na wanachukulia kawaida.
SMZ naomba mchukue hatua Kali juu ya ufuska km huu.
Na haya mambo huwezi kuyakuta Pemba ni unguja ndio kuna upuuzi wa aina hii
Mambo yanafanyika adharani kwa anayeishi Zanzibar anaelewa ili haya mambo hayakubaliki.
Kuna MTU mzanzibar kaniambia watoto wao wa kiume kwa wale wanaojiweza wanakuja kulelewa bara kuwaepusha na tabia za kushoga.
Sio kumkana tu na KUMKATAA MAZIMA.hakuna busara kwenye USHETANI.Kama Binadamu licha ya kufuraba,bado wana haki za Msingi...hivi ikitokea mtoto wako ansgirwa utamkana! Haya mambo yanahitaji busara mkuu! Mungu arpushe mbali yasitukute
kwahiyo ushoga na kula hadharani kip cha muhimuAcha hisia mbaya kuna vitu lazima serikali isimamie
We umeskia nani amefungwa kwa kufanya ushoga hapa Tanzania? Labda tutajie mmojaHata afande rama alikutwa Hana hatia
Siku hizi tofauti na zaman unaweza usimtambue mtu wa hivyo, maana watu wanaficha sana hisia zao na hawavai ovyo labda wale wasiojitambua
Haujui?na vyama wanavyo unajitoa ufahamu?Kwamba israel kuna ushoga kama hapo kisiwani???
Wameingiaje! Ni lazima waingie, au wewe mkuu unawapenda?Alshababi hapa wameingiaje?
Ni nani alikutwa na ushahidi wa wazi kama poti rama?We umeskia nani amefungwa kwa kufanya ushoga hapa Tanzania? Labda tutajie mmoja
Haujui?na vyama wanavyo unajitoa ufahamu?
Gigy money alifungwa ?Ni nani alikutwa na ushahidi wa wazi kama poti rama?
Kati ya israel na uarabuni wapi kumeenea ushoga zaidi?Kukandwa sijasema sehemu nyingine hawakandwi.
Nazungumzia sababu.eneo lenye sheria kali kama hapo zenj na uarabuni hali ni mbaya zaidi sababu wanawake hawaonekani.
Kwani Gigi money ni shoga kama poti rama?Gigy money alifungwa ?
Si alijirekodi analiwa kwa nyuma. Au ushoga ni mpk aliwe kwa nyuma mwanaume ?Kwani Gigi money ni shoga kama poti rama?
Mimi sijaona ila nnachojua kina amber Ruth walifungwaSi alijirekodi analiwa kwa nyuma. Au ushoga ni mpk aliwe kwa nyuma mwanaume ?
Sasa kama uko agaist kwanini huko ndio ushoga umeshamiri? Sijawahi sikia ushoga mara,mwanza ,mbeya na mikoa mingine isiyo na waislam wengi , ila mikoa yenye uislam ndio yenye ushoga anzia Zanzibar, owani ,tanga , mtwara, dar es salaam nk kwanini?Braza don't connect dots with Muslim, coz uslamu uko against hayo mambo