SGR Dar Es Salaam ~Morogoro Inademka Tu Muda Ukiongezwa Kila MudaVilivyobakia kumalizwa sasa hivi vinadema dema. Kuisha haviishi.
Sasa hivi tuna kazi ya kukopa lakini kinachofanyiwa mikopo hiyo hatukioni, baraka ya makongamano ya kusifiana na kuvalishana uchifu hewa.
Hata maeinchi bado hawajamaliza kuyatoa. Hata kulifanyia stress testing bado.Mzigo ulikua uende hewani 27.12
Huu uzi ulipoletwa nilijipa degree ya Highway Engineering kabla sija comment.Tangulini ukawa engineer bro
NakubaliHuu uzi ulipoletwa nilijipa degree ya Highway Engineering kabla sija comment.
Daraja la kigamboni kamalizia Magufuli.Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.
Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
R.ip Magufuli.
R.i.p mzalendo wa kweli.
Legacy sio mzimu bali kadri muda unavyo enda ndivyo muda nao unaongea,Rip Magu.
Kwani hilo deni linalipwa na hela za nje au za ndani. Kukopa sio kitu kibaya as long unacho kifanya kina onekana.Alisema kajenga kwa hela za ndani kumbe wamekopa bilion 58
Ww mbona unatesekaTayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.
Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Hahaa fly over ya k/koo mataa to tazara imefikia wap ?
Sipajui km usivyopajuaK/koo mataa ndio wapi?
Mnaacha kulaumu wanaokopa ili wapige ela mifukon , mnakomalia walisimamia ela ziende sehemu husika, hapa napata jibu kwnn SSH hana huruma na nyny mbuz , bei zipande hajisumbui , Tozo pia hajisumbui , masoko yaungue hajisumbui , polisi wawaue hajisumbui na muitwe magaidi hajisumbui hata ela za miradi zikipigwa hajisumbui , maana hamuna fadhila mbw nyny , mzee wa wat hata alikubal wanawe wasome shule za maskin kuonesha usawa ila mmekosa point mmeamia kwny airport ya Chato , shubamittttAlisema kajenga kwa hela za ndani kumbe wamekopa bilion 58
Nchi ngumu sana hii mkuu.Mnaacha kulaumu wanaokopa ili wapige ela mifukon , mnakomalia walisimamia ela ziende sehemu husika, hapa napata jibu kwnn SSH hana huruma na nyny mbuz , bei zipande hajisumbui , Tozo pia hajisumbui , masoko yaungue hajisumbui , polisi wawaue hajisumbui na muitwe magaidi hajisumbui hata ela za miradi zikipigwa hajisumbui , maana hamuna fadhila mbw nyny , mzee wa wat hata alikubal wanawe wasome shule za maskin kuonesha usawa ila mmekosa point mmeamia kwny airport ya Chato , shubamitttt
Hakuna kitu kibaya kama chuki ukijaza sana chuki moyoni utakuja kuwa mchawi siku Moja.Mkuu pole sana yani unaonesha una matatizo mengi sana ya kisaikolojia na ya kifamilia....Mbona unateswa sana na maiti? Mkuu una shida ya akili sio bure nimenotice
Mama angeliwekea Tozo pia maana Pesa iliyotumika pale ni ndefu sanaSerikali kupitia kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Mbarawa leo Jan. 30 imetangaza kukamilika kwa 100% kwa daraja la Tanzanite lililojengwa juu ya bahari kutoka Aga khan hadi Osterbay Jijini Dar Es Salaam na sasa magari yataanza kupita bure kuanzia Feb. Mosi mwaka huu.
Corticopontine na Nigrastarata wamepatwa na severe form of Depresssion.Baada ya millardayo na Msigwa na mitandao mbalimbali kupost kukamilika daraja za surrender 100% ya comment zinampongeza kumlilia na kumkumbuka Mwana mwema wa Afrika mkombozi wa kweli aliyepata kuishi R.I.P J.P.M