Serikali fungeni shule na vyuo kuokoa maisha

Serikali fungeni shule na vyuo kuokoa maisha

Corona ina deal na sisi wazee...hapa ndipo uzuri wenyewe ulipo.

Hawa malaika wetu wapo salama!! Sisi wa 60+ ni balaa!! Sijui kwa nini tulizaliwa mapema!!
 
Ushauri mzuri kabisa aproach hii ilisaidia sana mwaka jana,pamoja na kuomba Mungu sana,sanitezer kila mahali,nyimbo na elimu kwenye vyombo vya habari na tahadhari zingine.
 
Mleta mada acha uoga, hakuna atakayeishi milele aliyepangiwa kufa na covid-19 atakufa tu hata kama vyuo vikifungwa. Chukua tahadhari, vyuo na shule zikifungwa ni majanga Bw. Mkubwa. Mimi nauza mihogo karibu na shule fulani, unataka nikauze nini na niwauzie akina nani kama sio wanafunzi na wanavyuo. Kama kinga ipo turuhusu tupigwe chanjo tutulie kwani hata kama kuzaa sasa hivi watu hawazai kama zamani, familia nyingi sasa hivi hazina watoto zaidi ya watatu. TUPIGE CHANJO TU KWANI URODA TUTATENDELEA KUFURAHIA 😉😛😛
 
Kufunga shule haitasaidia kitu, maana bado mishe mishe za maisha zitabaki vile vile. Napendekeza, barakoa kila mahali, kusiwe na mikusanyiko yoyote, daladala hakuna kusimamisha abiria, watu wapeane distance wanapopata huduma kama za kibenki

We mpuuzi unataka walimu wafe siyo?hujui kuwa Kuna walimu wenye miaka 50+ na wanaingia darasa la wanafunzi 50+ waliotoka nyumbani kwenye wazaz waliojuu ya umri wa 50?!!afu daladala na darasa wap Kuna vichwa?
 
We mpuuzi unataka walimu wafe siyo?hujui kuwa Kuna walimu wenye miaka 50+ na wanaingia darasa la wanafunzi 50+ waliotoka nyumbani kwenye wazaz waliojuu ya umri wa 50?!!afu daladala na darasa wap Kuna vichwa?
We jamaa unashida gani inayokusumbua? Kutofautiana mtazamo ndio unakuwa na hasira hivyo. Hebu jaribu kutembelea kituo cha Afya, ukacheki afya yako.
 
Kitu cha msingi aruhusu chanjo zilizopo ziingie na zitumike
 
Tanzania ni Taifa mahili,lenye viongozi intelligent na genius,viongozi makini na wasio waoga.hata Babu yenu Kenyatta Ana appreciate Hilo.Tanzania sio manyumbu like Kenyans,ambao wazungu wakisema Jambo hakuna anayethubutu ku argue.kamwe hatuwez kufunga shule kwa vimafua hivi.Na siku zote ukiwa very intelligent tegemea maadui wengi,iko hivo ,thus why mabeberu wanatusakama weee,bt still we are so tough.Uliza SADEC,watakwambia how Tanzania tough is.
Your toughness ni kama ule wa IDI AMIN yaani being tough in a foolish way...Ni sawa kuwa tough lakini iambatane na hekima...sio kwenda kinyume na kila jambo muhimu...halafu kuja Ku gundua baadaye mmekosea baada ya kuumia
 
Your toughness ni kama ule wa IDI AMIN yaani being tough in a foolish way...Ni sawa kuwa tough lakini iambatane na hekima...sio kwenda kinyume na kila jambo muhimu...halafu kuja Ku gundua baadaye mmekosea baada ya kuumia
Sahii kila kiongozi mtanzania anadai ya kwamba hakuna kuchanjwa....wakati ulimwengu wote Una chanja watu wao.....hivi mtakuja kugundua baadaye kwa heri mngechanja kitamboa..hiyo basi ni baada ya kuumia ki chi
 
utajiri wa nchi ndo utajiri wa watu 90%, zinazobaki ni natural resources hauna maamuzi nayo! utajiri wenu sasa ni upi kati ya huo? tunajua kabisa ksh is 30% over valued, in terms of land we have almost double land than yours, hata ukisema tourism tanzania earns whats kenya and uganda earns combined, kuhusu viongozi wenu wala usianzishe story mob maaana hakuna asiejua mna viongozi wanapiga shisha akianza na yule jamaa mkubwa pale, ivi nyie ndo mlikua mnapata mabavu ya kusema mlima kilimanjaro ni wenu pamoja na diamond ni kenyan ndo mnaamisha utajiri huu?

- hio covid yenyewe na kutumia hao specialists wenu what is still happening? so whats left? kufeed tu wananchi wenu imekua tabu mpaka dunia nzima ianze donation aljazeera wakishatangaza
For your information our budget is bigger than Tz ug and Rwanda combined.
Kwenda sahii kwenye goodle and write there richest country in east Africa, yaani kenya INA inaipiku tz kwa kila jambo muhimu...Yaani Kenya ninkama baba yetu...huwa twa anza mna fata nyuma....si sgr, si sky scrappers...Halafu hapa Kwa sky scrappers...Mlituiga nanyi mkaanza kujenga Ila hazina wateja zipo wazi...Kwa sababu mnafanya sababu kenya wanafanya....hamjui sisi twajenga sky scrappers because the demand for space is too high...sasa nyie wa tz Na mihogo za kukaanga kando mwa barabara saa ngapi mkajua naana ya maghorofa...aisee kaka mambo haya tuachieni sisi kenya tulioona mbele
 
Mnataka shule zifungwe na kuwe na lock down na jeshi liwe mtaani mpigwe virungu mlete siasa na blahblah za human rights.
 
Ndugu yangu hii nchi kubwa kuna mijitu ni mipumbavu kupita kiasi huwezi kuamini tunaishi nao kila siku.
Mkuu ina maana mtu kuwa na mawazo tofauti na yako ndio mjinga na mpimbavu.....??
Ni uhuru gani wa kujieleza na demokrasia vinavyopiganiwa na wanaharakati hapa nchini ikiwa nyie hamtambui mawazo mbadala ya wenzenu.....??

Demokrasia ni kuvumilia mawazo ya wengine hata kama yanakinzana na utashi wako.....
 
1. Waanze kutangaza cases daily na wapi zimepatikana. Wataalamu wa kupambana na magonjwa ya milipuko wapewe confidence na uhuru wa kufanya kazi zao bila kusubiri ruhusa kutoka kwa wanasiasa

2. Weka bylaws kila mtu avae barakoa kwenye public. Mkaidi akamatwe na kulipa faini

3. Wageni kutoka nje wote waje na negative certificate za COVID with immediate effect. Ambae hana arudishwe na ndege aliyokuja nayo

4. Wafanyakazi waanze kuingia ofisini kwa shift na wengine wafanyie home ili kupunguza mikusanyiko. Hakuna haja ya kujazana ofisini

5. Public transport zianze kubeba watu nusu ya uwezo wake

6. Funga clubs kwa mwezi mmoja

Kuna mengi ya kufanya ila kiburi cha Magufuli ni tatizo. Sasa katwaliwa Eng. Kijazi. Who next?
Ukute unatype haya ukiwa kwa mtogole unategemea kila siku utoke uhangaike ndo watoto wale af unasema nyoronyoro.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
For your information our budget is bigger than Tz ug and Rwanda combined.
Kwenda sahii kwenye goodle and write there richest country in east Africa, yaani kenya INA inaipiku tz kwa kila jambo muhimu...Yaani Kenya ninkama baba yetu...huwa twa anza mna fata nyuma....si sgr, si sky scrappers...Halafu hapa Kwa sky scrappers...Mlituiga nanyi mkaanza kujenga Ila hazina wateja zipo wazi...Kwa sababu mnafanya sababu kenya wanafanya....hamjui sisi twajenga sky scrappers because the demand for space is too high...sasa nyie wa tz Na mihogo za kukaanga kando mwa barabara saa ngapi mkajua naana ya maghorofa...aisee kaka mambo haya tuachieni sisi kenya tulioona mbele

you have nice sky scrappers hamna aliebisha! kwa infrastructure wala sio ubishi, then baada ya hapo whats next? what makes kenya famous ni ivo scrappers mtu akiona anweza dhan ni mji wa maaana but else imebaki kenya??? nothing!!! ksh ndo hio IMF hawataki kuiskia , ukitoka tu hapo town mbele kidogo znafuata biggest slums in africa ni juzi tu apa aljazeera walipublish report za njaa turkana dunia nzima ikasmama kuwasaidia, yaaani kenya ndo imeisha ivo after izo scrappers , ooh without forgeting na english yenu mnaojisifia nayo! what else? pesa hamna, foreign income hamna! tourism hamna! sasa nyie mnasifika kwa nn cha zaidi?


-saaahv naskia raisi wenu anaskiliza sjui watalaaam wa afya, vp mnaweza kutoa report mmefika vp 100K patients?

your whole country is a scam
 
Mkuu ina maana mtu kuwa na mawazo tofauti na yako ndio mjinga na mpimbavu.....??
Ni uhuru gani wa kujieleza na demokrasia vinavyopiganiwa na wanaharakati hapa nchini ikiwa nyie hamtambui mawazo mbadala ya wenzenu.....??

Demokrasia ni kuvumilia mawazo ya wengine hata kama yanakinzana na utashi wako.....
Hapana kuwa na mawazo mbadala ni jambo zuri tatizo linakuja hata wanaopinga kinachofanywa na serikali hawaruhusiwi kuongea hadharani. Katika hili jambo la corona wakati watu wanakufa na wanakufa sana mitaani anakuja mtu anafanya utani na maisha ya watu kwa kuwa tu labda yeye hayajamkuta. Kuna mambo hatuhitaji kuambiwa tunayaona daily na mengine tunasikia. kweli dunia nzima inasema njia hii ni sawa halafu sisi nchi moja tunasema hapana huku ndio sawa. hapa kuna mawili either wote ni wajinga au sisi ni wajinga, labda nimetamka vile kwa hasira kuona watu wanakufa na hawa ninao wajuwa tu kuna mamia siwajui wala hawatangazwi halafu anakuja mtu analeta maneno ya kukebehi inakera.
 
Hili neno SERIKALI linavyotumika linanichanganya.. Wakati tupo shuleni tulifundishwa eti SERIALI ni watu(wote), lakini mbona nionavyo ni kama Watu fulani wenye nguvu ya maamuzi na sio watu wote kama
tunavyofundishwa.
kwani SERIKALI ni nini? Muda mwingine utasikia "Tunaiomba serikali"
 
Back
Top Bottom