Serikali fungeni shule na vyuo kuokoa maisha

Serikali fungeni shule na vyuo kuokoa maisha

My brother you cannot compare tz and kenya ....we are so intelligent and richer than you....Saa hii ndio mnakimbizana na mambo tulio pambana nayo 2020. yaani mna akili ndogo....serikali yenu ilificha mambo hadi sasa mmeanza kujionea vifo kwa macho ndio mnashtuka... yani mna akili ndogo sana
Tunakimbizana? Kwani watu walikua hawafi?matajiri nyie njaaa kibao na wezi tu tena mkadandia corona ili muweze kula vizuri mikopo ya mabeberu.......bora masikini anaejielewa kuliko tajiri wa kuungaunga
 
Tatizo ni jiwe ambalo halioni, kusikia, kunusa, wala ku-test chochote.
Jiwe anahusikaje sasa jamani yani tamko la jiwe ndio litakimbiza corona au mi naona bora mambo yabaki hivi hivi akitoa tamko atazua taaruki ambayo haitasaidia chochote zaidi zaidi watu watakua wanaanguka hovyo kwa hofu. Hofu ni ugonjwa mbaya kuliko corona itakua chaos
 
Jela haitoshi kufunga shule, wacha wasome , wasomi ni wengi mtaani, lazima tutafanya replacement
 
Haya yote hayasaidii kwani nchi za wenzetu hawakufanya haya??? Korona imepungua??? Tuache kutishana bure kama ni kufa utakufa tu sio kwa korona hata malaria yatakuua tu! Tuache kujitoa ufahamu
Tuko vizuri au nasema uongo ndugu zanguuuuu
 
Wewe ndio una ufinyu wa akili, yani nyie watanzania dah wacha tu.... shule na zifungwe ili kudhibiti ugonjwa usije ukasambaa sana. lakini hata hivyo wakati nchi zote za africa mashariki zilikuwa za pambana kwa njia moja au nyingine nyie mlikuwa mkitukejeli tu.... watanzania aiseee... wacha tu.... najua sasa mbona nyinyi nchi maskini ingawa mna rasilimali chungu nzima....ni kwa sababu ya upumbavu umekithiri zaidi
Tanzania ni Taifa mahili,lenye viongozi intelligent na genius,viongozi makini na wasio waoga.hata Babu yenu Kenyatta Ana appreciate Hilo.Tanzania sio manyumbu like Kenyans,ambao wazungu wakisema Jambo hakuna anayethubutu ku argue.kamwe hatuwez kufunga shule kwa vimafua hivi.Na siku zote ukiwa very intelligent tegemea maadui wengi,iko hivo ,thus why mabeberu wanatusakama weee,bt still we are so tough.Uliza SADEC,watakwambia how Tanzania tough is.
 
Lockdown is not practical.

Kwanini wazee ndo wasijifungie na kuacha watoto na vijana waendelee na shughuli zao.
 
Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!

Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.

Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Utakuwa imetumwa na makaburu wewe siyo bure!! Usilikuze tatizo kuliko lilivyo!!
 
nashauri tahadhari iongezwe mashuleni kuwalinda wanafunzi wetu.
wizara ya elimu ifuatilie maelekezo ya wizara ya elimu kama yanazingatiwa na kama hakuna tishio lolote la afya kwa wanafunzi wetu haswa watoto wa shule za misingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Waanze kutangaza cases daily na wapi zimepatikana. Wataalamu wa kupambana na magonjwa ya milipuko wapewe confidence na uhuru wa kufanya kazi zao bila kusubiri ruhusa kutoka kwa wanasiasa

2. Weka bylaws kila mtu avae barakoa kwenye public. Mkaidi akamatwe na kulipa faini

3. Wageni kutoka nje wote waje na negative certificate za COVID with immediate effect. Ambae hana arudishwe na ndege aliyokuja nayo

4. Wafanyakazi waanze kuingia ofisini kwa shift na wengine wafanyie home ili kupunguza mikusanyiko. Hakuna haja ya kujazana ofisini

5. Public transport zianze kubeba watu nusu ya uwezo wake

6. Funga clubs kwa mwezi mmoja

Kuna mengi ya kufanya ila kiburi cha Magufuli ni tatizo. Sasa katwaliwa Eng. Kijazi. Who next?
Wewe ni dikiteta asiye na faida. Yaani unazuia wangu wasipate fresh air oksijeni ya Mungu. Kisa unauza barakoa?. To prevent me get fresh by mask your need to have heart of satan and devil
 
Wewe ni dikiteta asiye na faida. Yaani unazuia wangu wasipate fresh air oksijeni ya Mungu. Kisa unauza barakoa?. To prevent me get fresh by mask your need to have heart of satan and devil
You are very ignorant.
 
Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!

Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.

Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Imeshachelewa dawa sasa ni chanjo tu
 
Dunia nzima watu wanafungua mashule sababu wameona hakuna chochote kilichoabdirika kwa kufunga shule wewe unakuja tena hapa unasema wafunge?
Hata hao waliokuwa wanalockdown wameanza kuzifungua wenyewe japo bado Wana maambukizi mapya Killa siku! wameamua kufanya lockdown ya kichina!! Eti lockdown ya kuanzia saa tatu za usiku mpaka saa kumi za alfajiri kana kwamba kukicha corona inalala!
 
Back
Top Bottom