minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kufa kufaana yupo dalali wa majeneza mpigie namba 0787132277 sele atakupa taarifa zoteeWanasema biashara ya majeneza kwa sasa inatajirisha watu,ni speed yako tu kutengeneza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufa kufaana yupo dalali wa majeneza mpigie namba 0787132277 sele atakupa taarifa zoteeWanasema biashara ya majeneza kwa sasa inatajirisha watu,ni speed yako tu kutengeneza
acha ujingasababu ya kufunga ni nn.tanzania ipo salama.ndo nchi pekee Africa na duniani kote yenye usalama kwa sasa.Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Hawataki kuhimiza watu wavae barakoa wanawe mikono kwa bidii wamekalia kutegea wafe kwa wingi wapate fedha tokea WHOUnazungumzia wizara ya afya ipi hiyo? Tanzania imejaa wapumbavu ndiyo maana Taifa limefika hapa lilipo sasa hivi,ina maana huna habari kuwa Tanzania inaongozwa na mtu mmoja? Yaani unahitaji kuwa na PhD kujua kuwa wizara zote Tanzania zinaongozwa na mtu mmoja?
Mbona shule zilipofungwa kwa mara ya kwanza hawakupoteza ajila? Zifungwe hata week mbili kupisha Elimu ya usafi tahadhari ipite sawasawa kisha zifunguliweKufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu!
Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.
Huko kote walipofanya hayo ,hawajafa saaana kivile na sasa hivi hawana corona kabisa....1. Waanze kutangaza cases daily na wapi zimepatikana. Wataalamu wa kupambana na magonjwa ya milipuko wapewe confidence na uhuru wa kufanya kazi zao bila kusubiri ruhusa kutoka kwa wanasiasa
2. Weka bylaws kila mtu avae barakoa kwenye public. Mkaidi akamatwe na kulipa faini
3. Wageni kutoka nje wote waje na negative certificate za COVID with immediate effect. Ambae hana arudishwe na ndege aliyokuja nayo
4. Wafanyakazi waanze kuingia ofisini kwa shift na wengine wafanyie home ili kupunguza mikusanyiko. Hakuna haja ya kujazana ofisini
5. Public transport zianze kubeba watu nusu ya uwezo wake
6. Funga clubs kwa mwezi mmoja
Kuna mengi ya kufanya ila kiburi cha Magufuli ni tatizo. Sasa katwaliwa Eng. Kijazi. Who next?
Shuleni walimu wafanyakazi madereva wa school bus wapo hatarini hutaki walindwe?We jamaa inaonekana hupendi Shule.
Unatamani ubaki Nyumbani unaangalia Seasons za Kihindi tu[emoji23][emoji23][emoji16][emoji38]
Mfumo wa shule za Tanzania ni wa hovyo hususani shule za Serikali ambazo wanafunzi hubanana sana darasani idadi kubwa ya wanafunzi kwenye darasa mojaHuko kote walipofanya hayo ,hawajafa saaana kivile na sasa hivi hawana corona kabisa....
Hii ni mentality ya kushindwa kabla hujajaribu..Huko kote walipofanya hayo ,hawajafa saaana kivile na sasa hivi hawana corona kabisa....
Huko mitaani stand za mabasi kwenye pool Table kuna mikusanyiko mingi inayoeneza maambukizi hususani wamasai walinzi ambao hulala chini ya miti wakiwa wamerundikana kwa wingiNa mikusanyiko yote isiyo na ulazima ipigwe stop
Ukimwi na magonjwa mengine huchukua mda mrefu kuua kuliko corona ambayo ndani ya kipindi kifupi imeua maelifu ya watuKorona pekee ndo inayoua?
Ukifunga shule mitoto mitaani nayo inazurula
Kama kumbikumbi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Huko kote itembee Elimu kuwa mwanafunzi ukiwa nyumbani uache uzurulaji wa hovyoKwahiyo wanafunzi wakifunga shule hawatoenda mitaani!?
Mzee acheni maswali ya kishetani Yaani kila anayekufa wakuletee list nyumbani kwako? Hata maambukizi ya walimu wafanyakazi wa mashule uletewe list hapo nyumbani kwako?Wanafunzi wangapi wamefariki kwa corona?
Yah sababu walioweza wakashindaHii ni mentality ya kushindwa kabla hujajaribu..
Wewe ndio una ufinyu wa akili, yani nyie watanzania dah wacha tu.... shule na zifungwe ili kudhibiti ugonjwa usije ukasambaa sana. lakini hata hivyo wakati nchi zote za africa mashariki zilikuwa za pambana kwa njia moja au nyingine nyie mlikuwa mkitukejeli tu.... watanzania aiseee... wacha tu.... najua sasa mbona nyinyi nchi maskini ingawa mna rasilimali chungu nzima....ni kwa sababu ya upumbavu umekithiri zaidiKufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu!
Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.
Tulijionea mwaka jana haohao watoto shule zilipofungwa ndo wakawa wanazagaa mitaani kama vile hawana wazazi,,,,,....acha tubetMfumo wa shule za Tanzania ni wa hovyo hususani shule za Serikali ambazo wanafunzi hubanana sana darasani idadi kubwa ya wanafunzi kwenye darasa moja
Ukifa wewe ndiyo utaenda kumwambia kijazi kuwa corona mbayaNi upambuvu kufunga shule na vyuo kwa Sababu ya vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku!!