Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
wanaona aibu ya kuudanganya ulimwengu mchana kweupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wanafunzi wanazalisha nini?Kivipi,maana Tz ni nchi tajiri sasa iweje tuogope kufunga shule na vyuo?
Kwa shule za boarding. Shuleni ni sehemu salama zaidi kwa watoto na wazazi kuliko nyumbani. Kwa mazingira ya sasa wazazi wengi hawako makini sana kwenye kudhibiti watoto wao. Ndiyo maana shule zilipofungwa kipindi kile cha COVID 19 walirudi shule na mimba. Wenye akili wanaelewa ninachosemaTunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Wewe ndiyo hujielewiHajielewi huyu
Unaweza mrudisha mwanao. Kama unaona shule ni hatarishi kwakeHajielewi huyu
Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Watoto hawavai barakoa. Watoto hawathiriki na huu ugonjwa, wao wabeba virusi lakini hawaumwi, kinga yao ya mwili ipo juu, ndivyo inavyosemwa. Lakini haina maana tuwaache wazurure.
Walimu pia wafanyabiashara jirani na mashule na pia wafanyakazi wa school bus, mwendo kasi nao wapo hatarini kwenye mnyororo wa maambukizi kupelekea mautiTunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Chochote kilichopo Tz mabeberu wakikitaka hatuwezi kuwazua na hakuna wakuwazuia, nchi ambao 100% ya dawa wanaagiza nje, huwezi kujilinda. Acheni porojo za vita ya kiuchumi wakati huna chamaana cha ku offer kwa wamiliki wa Dunia.kwa nini unaamini kila kifo ni Corona? hii Corona inatuacha walala hoi sokoni inaondoa viongozi inawezekana?
sometimes watu wana magonjwa yao isipokua vifo vimetokea kipindi cha story ya Covid-19.
Au kwa sababu ya vita vya kiuchumi labda uniambie walikaa kwenye vikao huko na watu wabaya wakarusha virus wa magonjwa ntakuelewa.
Bado naamini vita dhidi ya Corona ina mikono ya wabaya japo tutashinda tu.
Rais wetu na jopo lake naamini wana akili na wanapokataa hizi chanjo watakua wanajua undani wa madhara yake.
Libya ilikua ni nchi ya kula maziwa na asali muda wote, ilikuaje ghafla wamkatae Ghadaffi bila sababu? jibu ni moja tu kwamba yamkini watu hao walipewa kitu pasi wao kujua na wakaamua tu kumkataa na leo wanamlilia Ghadaffi ambaye hawezi kurudi tena.
VITA VYA KIUCHUMI VINAENDELEA.
Ugonjwa ungekuwa siasa katibu mkuu ofisi ya Rais asingekufa na ungekuwa unachochewa na wapinzani ndugu zako wabunge wakurugenziccm na wengineo wasingekufa, usije na mifano ya marekani kwenye idadi kubwa ya watu kuliko Tanzania ambayo idadi siyo kubwa wanatakiwa walindwe, acheni kujitoa fahamu kusaka uteuzi kutetea uovu wa kuua wata kishamba shamba kwa njia haramu za kishetanisasa dogo marekani wamefunga mpaka nchi sio shule tu ila mpaka sasa wamepoteza zaidi ya watu 800K, ugonjwa huu unahitaji personal and self awareness zaidi ya kusubirii matamko, ugonjwa wenyewe ushakua siasa na upinzani ndo wanauchochoea
Walimu wanakata moto aisee nimesha pata taarifa ya vifo vya walimu vinavyo husishwa na corona vifo 7 hadi sasaTunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Walimu madereva wafanyakazi wa mashule wapo Hatarini mno vifo vipo nje nje , mfano wa wazi school bus hubeba watoto wa darasa la kwanza na wa darasa la saba humo humo sanjari na kondakita baadhi ya walimu, mtoto wa darasa la kwanza, pili, tatu hawajui kujikinga pindi wakubwa wakikohoa au hata kupiga chafya ndani ya hizo Gari.Leo tunamzika jirani yetu miaka 55 aliyekuwa anauguza mwanae 11 years. Ameambukizwa na mwanae, mama wa mtoto yuko hoi pia anakula mtungi ya oxy. Toto linadunda imara na kikohozi kikavu bila shida.
Wanasema biashara ya majeneza kwa sasa inatajirisha watu,ni speed yako tu kutengenezaWatu wasipojiongeza watavuta kama mende vilee
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kinashusha nondo + kupiga spans,awamu hii mpaka Chato watasema hiiiiiiNaona kidume kinamwaga lecture [emoji16][emoji16]View attachment 1705478
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini cha ajabu hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu wa CCM ndipo hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jikeHaahaa utakuwa umetumwa na mabeberu wewe.
Mpumbavu kiwango cha PhD.Kufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu!
Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.