Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hehe kwakua nyinyi ni matajiri na mmepambana hadi sasa mmetokomeza corona kabisaWewe ndio una ufinyu wa akili, yani nyie watanzania dah wacha tu.... shule na zifungwe ili kudhibiti ugonjwa usije ukasambaa sana. lakini hata hivyo wakati nchi zote za africa mashariki zilikuwa za pambana kwa njia moja au nyingine nyie mlikuwa mkitukejeli tu.... watanzania aiseee... wacha tu.... najua sasa mbona nyinyi nchi maskini ingawa mna rasilimali chungu nzima....ni kwa sababu ya upumbavu umekithiri zaidi