Serikali fungeni shule na vyuo kuokoa maisha

Serikali fungeni shule na vyuo kuokoa maisha

Mkuu kwa upanda wangu shuluisho hapa siyo kufunga shule na vyuo,
Sema serikali iweke mikakati dhabiti ya kuandaa mazgr. kwa kila taasisi kuwa na tahadhiri effectively
Kwa maana wizara ya Afya watoe semina na mafunzo namna gani wanavyo weza kupamvana na viral disease
Wizara ya afya ipi?
 
Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!..
Tulipoambiwa kuwa tuna rais wa ajabu ajabu wengi hamkuelewa, sasa taratibu tunaelewa
 
Uganda.. Kenya... Rwanda....

Wote wamefungua we ndo ufunge.

Acha ujinga.
Madhara ni makubwa mnoo kufunga shule.

Kwani shule zikifungwa watoto ndo hawazuruli mtaani..mbona watawaletea wazee kama kawaida. Tena ndo itakuwa hatari zaidi.

Hoja ya kipuuzi kabisa.
 
6.jpg
 
tahadhari zichukuliwe tu na wizara ianze kampeni kama zamani watu wanawe sanitizer umbali etc
 
Kufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu! Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.
Kwakweli
 
Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!..
Wazo zuri Ila Nani aonekane ameshindwa?🤔🤔

Tanzania hakuna corona
 
Mkuu kwa upanda wangu shuluisho hapa siyo kufunga shule na vyuo,
Sema serikali iweke mikakati dhabiti ya kuandaa mazgr. kwa kila taasisi kuwa na tahadhiri effectively
Kwa maana wizara ya Afya watoe semina na mafunzo namna gani wanavyo weza kupamvana na viral disease
Kwani hujaona mpango mkakati wa wizara ya afya:
1. Kusaga pili pili kochaa,malimao,vitunguu maji na swaumu na kunywa.
2. Kujifukizisha.
Unategemea cha ziada ?
IMG_20210209_162802.jpg
 
Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!..
Hapana hii ya sasa imekuja kivingine haigusi wanafunzi imeelekezwa mle mle ngazi za juu juu huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!...
Hakuna kufunga mpaka wezi wote wa kura waishe.
 
Kufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu! Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.
Mkuu nadhani mnaongelea mambo mawili, yeye anazungumzia maambukizi na athari zake kiafya kwa watu wazima! Wewe unazungumzia athari za covid kiuchumi. Wote mko sawa katika mada zenu lakini huwezi kutumia yako kupinga yake.

Hata unaposema "endele kujikinga kivyako" hujamuelewa kuwa anaona watoto wake ndio hatari kwa maambukizi. Nadhani una point hapa lakini ulipaswa kumfahamishe ajikingeje yeye na watoto wake halafu yeye dhidi ya watoto wake!! Elimu Elimu Elimu!!
 
Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!..
Kwahiyo wanafunzi wakifunga shule hawatoenda mitaani!?
 
Back
Top Bottom