Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

Fompi

Member
Joined
Oct 7, 2021
Posts
17
Reaction score
37
Huu mchezo kwa Jina 'Aviator' maarufu kindege umekuwa shida kubwa sana kwa vijana hasa watafutaji. Ukiingia kucheza au kuchunguza upande wa charting utaona vijana wanavyoliwa na kulaani huu mchezo ambao umewarudisha nyuma sana kimaendeleo na hata nimesikia kuna jamaa amejiua kwa kuliwa kiasi cha Tsh. Milioni 2,000,000.

Shida yangu kubwa huu mchezo ni wa kitapeli, huwezi kupata hela kamwe, mara nyingi wao (wamiliki) ndio wananufaika.

Sasa kwa kuwa inaingiza vijana kwenye lindi la umaskini ni bora ufutwe watu wabeti kawaida tu kama zamani.

Nawahakikishia baada ya miaka 5 mbele nchi itakuwa na machizi wengi sana waliotokana na kuliwa na huu mchezo ambao upo masaa yote 24, kila dakika, kila sekunde, inashawishi sana halafu hupati kitu. [emoji20] Angalia picha hapo.


Screenshot_20240616-124347.jpg
 
Meridian ndio wamekuwa wezi kabisa
Serikali imelala na wizara zake kuna sehemu hela ipo waziwazi za faini hii kampuni unafanya kazi kinyume na taratibu na imevunja baadhi ya mikataba ifwatilieni. Kukiwa na mpira wao nawazuia network mpira ukikaribia kuisha network inarudi wameyumba hawana mtaji kwa sasa
 
Meridian ndio wamekuwa wezi kabisa
Serikali umelala na wizara take kuna sehemu hela ipo waziwazi za faini hii kampuni unafanya kazi kinyume na taratibu na imevunja baadhi ya mikataba ifwatilieni. Kukiwa na mpira wao nawazuia network mpira ukikaribia kuisha network inarudi wameyumba hawana mtaji kwa sasa
😂😂😂 Makasiriko
 
Huu mchezo kwa Jina 'Aviator' maarufu kindege umekuwa shida kubwa sana kwa vijana hasa watafutaji ukiingia kucheza au kuchunguza upande wa charting utaona vijana wanavyoliwa na kulaani huu mchezo ambao umewarudisha nyuma sana kimaendeleo na hata nimesikia kuna jamaa amejiua kwa kuliwa kiasi cha tsh/ 2,000,000. Shida yangu kubwa huu mchezo ni wa kitapeli huwezi kupata hela kamwe mara nyingi wao(wamiliki) ndio wananufaika sasa kwa kuwa inaingiza vijana kwenye lindi la umaskini ni bora ufutwe watu wabeti kawaida tu kama zamani .... Nawahakikishia baada ya miaka 5 mbele nchi itakuwa na machizi wengi sana waliotokana na kuliwa na huu mchezo ambao upo masaa yote 24 kila dakika kila sekunde inashawishi sana halafu hupati kitu[emoji20] angalia picha hapoView attachment 3018590
betting yote ni utapeli na hata Mungu anakataza.
 
Huu mchezo kwa Jina 'Aviator' maarufu kindege umekuwa shida kubwa sana kwa vijana hasa watafutaji ukiingia kucheza au kuchunguza upande wa charting utaona vijana wanavyoliwa na kulaani huu mchezo ambao umewarudisha nyuma sana kimaendeleo na hata nimesikia kuna jamaa amejiua kwa kuliwa kiasi cha tsh/ 2,000,000. Shida yangu kubwa huu mchezo ni wa kitapeli huwezi kupata hela kamwe mara nyingi wao(wamiliki) ndio wananufaika sasa kwa kuwa inaingiza vijana kwenye lindi la umaskini ni bora ufutwe watu wabeti kawaida tu kama zamani .... Nawahakikishia baada ya miaka 5 mbele nchi itakuwa na machizi wengi sana waliotokana na kuliwa na huu mchezo ambao upo masaa yote 24 kila dakika kila sekunde inashawishi sana halafu hupati kitu[emoji20] angalia picha hapoView attachment 3018590
ALafu sasa unakuta hari watumishi wapo bize na aviator unabaki kuwaonea huruma tu..
 
Back
Top Bottom