Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

Lkn ukubali kuhudumia machizi muda ni hakimu mzuri
Kikubwa wazazi walee watoto wao kwenye maadili mazuri hii dunia ilipo ss ivi huwez kufungia kila kitu unachoona hakifai dunia iko mbele sn tofaut na unavo fikiri ww we unadhan unaweza kataza kampun za kubet kikubwa dili na family yako kama taifa linashindwa ku make sheria kali kuhusu mashoga linaweza kuzuia aviatar hebu funguka mzee dunia ilipo sivo unavofikiri
 
Imekuwa shida kubwa sana kwa vijana serikali iingilie kati iufungie tu vijana wanaumizwa sana wamekuwa watumwa hawawezi tena kutunza hela
Serikali inapambana kwanza na ukahaba na bangi nakwambia chochote kisicho ipa serikali mapato ni haramu ila kama kuna kodi hata kiwe na madhara kiasi gani hawataona hizi kamari ni mbaya kuliko ukahaba wanaopambana nao
 
Ila rubani wa aviator kusipokua na ukungu anatuneemesha kwa kumwaga vibunda.
 
Serikali haiwezi kufungia huo mchezo mkuu ingawaje sio mzuri kwa jamii..
 
acheni kucheza kamari mtaliwa sana
 
KINDEGE ni hatari Kwa Afya ya mtu anaye cheza Aviator...utaliwa na sio Kula
 
Uzuri wake hakuna anayeshikiwa fimbo acheze, ni uchizi tu wa mtu binafsi!
Hata madawa ya kulevya ni hivyo hivyo. Hakuna anayeshikiwa fimbo ili ayatumie. Ni uchizi wa mtu binafsi tu! 😳😳😳
 
sujui wana bet vipi uwa nawaangalia wanangu wanavyo bet wanajiona wajanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…