Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Pole sanaMmh hii avart imefanya Hadi Leo naongeaga peke yangu njiani
Acha utapeli kijanaAviator na michezo yote ni rahisi sana kupoteza hela yako. Inabidi utumie Formula ambayo itakufanya lazima upate faida. Kama una mtaji wa atleast laki 5, naweza kukufundisha formula ambayo utakuwa unapata faida at least 50% kwa siku. Nicheki WhatsApp 0788893364
Naskia harufu ya kupigwa hapa 👆🏻Aviator na michezo yote ni rahisi sana kupoteza hela yako. Inabidi utumie Formula ambayo itakufanya lazima upate faida. Kama una mtaji wa atleast laki 5, naweza kukufundisha formula ambayo utakuwa unapata faida at least 50% kwa siku. Nicheki WhatsApp 0788893364
Acha kuropokaMbona nchi zingine zimefanikiwa kupiga marufuku kamari mfano China Iran Korea kaskazoni UAE United Arab Emirates kwani sisi tunashindwa nini binafsi naichukia kamari kupita maele ni ujangili mbaya sana hasa hii walioleta saizi inaitwa aviator ni mbaya sana