Serikali iachane na malipo kwa masikini wa TASAF bali ianze kuwalipa pesa walemavu wote wasio na ajira

Serikali iachane na malipo kwa masikini wa TASAF bali ianze kuwalipa pesa walemavu wote wasio na ajira

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Huu ni mtazamo wangu, hawa wazee wa TASAF wenye viungo na akili timamu wapambane kivyao. Pesa za mfuko wa TASAF zisaidie masikini wenye ulemavu tu, hapo tutakuwa tumetenda haki. Kuliko kumpa mtu elfu 80 mwenye viungo kamili, ni bora kumpatia laki 3 mlemavu akajipatia unafuu wa maisha.
 
Huu ni mtazamo wangu, hawa wazee wa TASAF wenye viungo na akili timamu wapambane kivyao. Pesa za mfuko wa TASAF zisaidie masikini wenye ulemavu tu, hapo tutakuwa tumetenda haki. Kuliko kumpa mtu elfu 80 mwenye viungo kamili, ni bora kumpatia laki 3 mlemavu akajipatia unafuu wa maisha.
 
jana nilishuhudia walengwa wa TASAF wakichukua pesa zao...baadhi ya walengwa wana vitambi, wamepaka cream maarufu kama calorite (usoni mweupe mikono na miguu mweusi) wana simu janja zaidi ya moja, wanaume wenye nguvu zao wamo....nimejiuliza maswali mengi kuhusu lengo hasa la TASAF ni nini?
 
jana nilishuhudia walengwa wa TASAF wakichukua pesa zao...baadhi ya walengwa wana vitambi, wamepaka cream maarufu kama calorite (usoni mweupe mikono na miguu mweusi) wana simu janja zaidi ya moja, wanaume wenye nguvu zao wamo....nimejiuliza maswali mengi kuhusu lengo hasa la TASAF ni nini?
Ishu ni kwamba hujajua kuwa kuna watu wanapitia shida sana na hizo fedha huwasaidia katika kukidhi mahitaji yao ya kila siku. Kama hujawahi kushuhudia hali za hawa watu wala hata huwezi kusema maneno unayoongea... mm nmeshashuhudia hali zao hawa watu, inauma ukiwaona katika hatua awali.

Lakini wanapoanza kuonyesha mafanikuo huwez kuwatupa lazima uhakikishe wanakuwana uwezo wa kusimama wemyewe kwanza kabla ya kuondolea kwenye mradi.... Na taratibu zao za kisheria zipo za kufuatwa sio kwamba mtu anahudumiwa milele.

Mwisho jua vijana wengi siku hizi wamekimbilia mjini. Wanawaacha wazee wao vijijini katika mazingira ambayo yanawafanya waishi katiki lindi kubwa la umasikini. Hivyo mradi kuwepo, ni nafuu kubwa sana kwao.

Vijana, tutimize wajibu wetu wa kuilea jamii
 
jana nilishuhudia walengwa wa TASAF wakichukua pesa zao...baadhi ya walengwa wana vitambi, wamepaka cream maarufu kama calorite (usoni mweupe mikono na miguu mweusi) wana simu janja zaidi ya moja, wanaume wenye nguvu zao wamo....nimejiuliza maswali mengi kuhusu lengo hasa la TASAF ni nini?
Makonda alikuwemo kwenye hilo kundi?
 
wote hawastahili,

Maskini ukimpa pesa hujamsaidia chochote..
 
Et mpaka makonda naye ni TASAF beneficiary
 
Kumpa mtu pesa ni kumfanya aendelee kuwa masikini.
 
Kumpa mtu pesa ni kumfanya aendelee kuwa masikini.
Sasa hawa wazee vikongwe kbs jmn... utawaps nini. Jembe wakalime.... vijanz wa Tanzania tuna matatzo gan hata kufiri kwny kama haya... toeni basi njia mbadala.... wapewe majembe wakalime...? Mnatia aibu vjna wenzangu. Tafuteni maarifa
 
Huu ni mtazamo wangu, hawa wazee wa TASAF wenye viungo na akili timamu wapambane kivyao. Pesa za mfuko wa TASAF zisaidie masikini wenye ulemavu tu, hapo tutakuwa tumetenda haki. Kuliko kumpa mtu elfu 80 mwenye viungo kamili, ni bora kumpatia laki 3 mlemavu akajipatia unafuu wa maisha.
Huu ni moja ya mradi wa kipuuzi Sana,tena ni mkopo wa world bank ,hauna tija ila ni muhimu sana kama silaha ya kisiasa kuvunia kura.
 
Sasa hawa wazee vikongwe kbs jmn... utawaps nini. Jembe wakalime.... vijanz wa Tanzania tuna matatzo gan hata kufiri kwny kama haya... toeni basi njia mbadala.... wapewe majembe wakalime...? Mnatia aibu vjna wenzangu. Tafuteni maarifa
Hizo fedha wafungulieni miradi vijaana wao wawatunze wazee mtawapa hela mpaka lini?
 
Waweke Sera zitakazoleta Ajira zenye Ujira kwa wengi wa Jamii..., Hio itaongeza mzunguko wa pesa na watu kuwa na pesa hata kupelekea kuwasaidia ndugu zao masikini na walemavu..., by the way wale wenye ulemavu wa viungo wapate kazi za kutumia akili zao....

Vikongwe na Wazee wasio na msaada wataongezeka zaidi, hizi nadharia za kila mtu ajiatafutie ajira siku hao wakizeeka hawana pa kukimbilia wala pension za kujikimu.... In short the future is Scary....
 
Nina wazo tofauti. Mfuko uelekezwe kuwasaidia wazee tu ambao wamefikia umri wa kustaafu lakini hawana cover ya social security.
 
Huu ni mtazamo wangu, hawa wazee wa TASAF wenye viungo na akili timamu wapambane kivyao. Pesa za mfuko wa TASAF zisaidie masikini wenye ulemavu tu, hapo tutakuwa tumetenda haki. Kuliko kumpa mtu elfu 80 mwenye viungo kamili, ni bora kumpatia laki 3 mlemavu akajipatia unafuu wa maisha.
Upo sahihi mkuu, kama walishindwa kupambana miaka yote hadi uzee ni vigumu sana kutoboa kwa pesa ya TASAF. wapewe walemavu ambao pengine wameshatengwa na familia zao.
 
Upo sahihi mkuu, kama walishindwa kupambana miaka yote hadi uzee ni vigumu sana kutoboa kwa pesa ya TASAF. wapewe walemavu ambao pengine wameshatengwa na familia zao.
Mkuu umemaliza, bora hii itaondoa unyanyapaa dhidi ya walemavu na kupelekea kuwapatia mahitaji yao ya elimu.
 
Wengi wao wakizipokea ni anasa tu, ni wachache sana walio nufaika na hizo pesa
 
Back
Top Bottom