Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magu alibana mianya mingi sana ya kupiga hela sasa mama kawafungulia wanaanza kupiga hela tena kwa fujo, Tunaambiwa kila mwenye miaka 18 na kuendelea atalipa kodi aiseeeeh
We mjinga sana. Heri hata upate Tozo Lakini sio kukaribisha machafuko. Hatutatoka huko. Nchi yetu bado maskini sana. Tukianza watatupa silaha. Then watavuna Mali zao na wewe na watoto wako hamtakuwa salama.
Dah!..tusiombe kufika huko boss, maana wengine hatutapawezaHii nchi ilipofikia nafikiri kilichobaki ni watu waamue kujitoa akili tu utaratibu uvurugike mazima hata nusu mwaka hivi then kitakachofuata baada ya hapo tutakaa kamati ya maridhiano maana dunia nzima itakuwa inaelewa hasa kinachoendelea ni nini!
Yalianza tangu awamu ya JK na yanaendelea kama kawaida.Licha ya Matanuzi, pia wanatuibia kodi zetu na kuzificha ughaibuni. Just imagine msafara wa rais wa nchi maskini inasindikizwa na magari ya kifahari zaidi ya 70! Tunahitaji mapinduzi
Wewe mwenye ndugu zako walio km 2 kutoka kwetu umetusaidia nini zaidi ya kujamba na kutuachia ushuzi tuu? 😄😄... Wazungu wajanja Sana kujikata, unaongozwa na mtu ambaye ndugu zake wapo 4000 km away ,mpak uarabuni huko , hawezi tambua taabu unayopitia wewe uliyepo namtumbo , ndongobeshi , huko unyamboni au huko newala
Ona hii dustbin, kwa hiyo Msingi wa kuendesha Nchi unataka uwe nini?Kwann kodi ndio iwe msingi wa kuendesha nchi, kodi inatakiwa iwe ni ziada na sio kuwabebesha wananchi mikodi tu
Kwa hiyo Bunge la Chadomo na Sukuma gang litakuwa halitozi Kodi si ndio? 😆😆Tatizo sio serkali ni Bunge butu amabalo lipo pia kupata kitu. Ajira ni ngumu kwahiyo wabunge nao ni waajiriwa ambao mwisho wa siku wategwa kwa kulipwa mamilioni baada ya miaka 5. Usitegemee chochote
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
US na UK wanalipa tozo ila kinachofanyika kinaonekana, sio Tanzania kuna tozo kinachofanyika kinaonekana na Mafisadi tu.Huko USA na UK nchi zinaendeshwa kwa tozo hizi hizi. Tulia tu kuwa mpole na kuwa raia mtiifu kwa serikali yake.
Wewe kaanze upya chekechea..Tatizo hakuna Transparency...
Tungekua tunajua kiasi fulani kimetozwa na kimefanya hiki na hiki.
Hakuna Transparency sababu yote ni Mafisadi
Yameoza!
Wewe umetafuta nini ambacho hukioni? Huwa ukitoka kwako una drive kwenye barabara alizojenga baba yako?US na UK wanalipa tozo ila kinachofanyika kinaonekana, sio Tanzania kuna tozo kinachofanyika kinaonekana na Mafisadi tu.
Chukua time, kama kweli kungekua na Transparency hizo hela wanazo invest nje wanazitoa wapi???Wewe kaanze upya chekechea..
Nini maana ya budget plan sasa? Yaani unakauta na wewe ni graduate na ndio think tank huko Chadomo 😁😁😆😆..
Eti na wewe unajiita ni msomi,kama mambo madogo kama haya huelewi hicho kichwa utakuwa umejaza mausaha..👇Chukua time, kama kweli kungekua na Transparency hizo hela wanazo invest nje wanazitoa wapi, kama watanzania wenzio...
Me being think tank wa Chadema hayakuhusu mtoto wa kiume acha ukuda
Hivi huwa mnafikilia kwa kutumia nini utafananiasha USA kimaendeleo na Tanzania yaani hii Nchi hata iwe na tozo 1000000 kamwe hakutokuwa na maendeleo.Huko USA na UK nchi zinaendeshwa kwa tozo hizi hizi. Tulia tu kuwa mpole na kuwa raia mtiifu kwa serikali yake.
Sasa hivi wako salama?!Nchi yetu bado maskini sana. Tukianza watatupa silaha. Then watavuna Mali zao na wewe na watoto wako hamtakuwa salama.
Wamekutana pipa na mfuniko. Lameck mwenyewe kichwa box na hiyo PhD yake ya michongo, Royal Tour naye kichwa ni empty setKiukweli huyu mama hamna kitu! Yeye anajua kuzurura tu kwa hao wajomba zake! Yaani ameshikiliwa masikio na jamaa yetu Lameck mpaka inatia huruma!
Kila anacho muambia, yeye anakubali tu! Hata kama kina madhara makubwa kwa raia wa kawaida!