Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika wa unayoyasema? Unadhani mzungu atakuwacha kwa chochote kukwepa kodi kiulaini laini kama katika nchi hii?Mbona mkoloni hakuendesha nchi kwa kodi na alifanya makubwa Sana ambayo ccm itawabidi miaka elf moja waweze yafikia
Maisha ni magumu dunia nzima mkuu, ni nyakati ambazo covid19 imetoka kusumbua kila kona ya ulimwengu usitegemee masuala kuwa mazuri kama tunavyodanganyana.Hivi huwa mnafikilia kwa kutumia nini utafananiasha USA kimaendeleo na Tanzania yaani hii Nchi hata iwe na tozo 1000000 kamwe hakutokuwa na maendeleo.
Tembea huko mikoani uone mahospitali na mashule yanavyojengwa kama uyoga. Toka hapo ulipo uyaone maisha halisi ili uondokane na dhana za kufikirika.US na UK wanalipa tozo ila kinachofanyika kinaonekana, sio Tanzania kuna tozo kinachofanyika kinaonekana na Mafisadi tu.
Sawa ngoja tuone kwa maana mda hutoa majibuMaisha ni magumu dunia nzima mkuu, ni nyakati ambazo covid19 imetoka kusumbua kila kona ya ulimwengu usitegemee masuala kuwa mazuri kama tunavyodanganyana.
Ile kodi ya kichwa ilikuwa ni kwa ajili ya kumkeep busy mwafrika awe na utamaduni wa kufanya Kazi.Una uhakika wa unayoyasema? Unadhani mzungu atakuwacha kwa chochote kukwepa kodi kiulaini laini kama katika nchi hii?
Na ile kodi maarufu ya kichwa ilikuwa kwa ajili ya nini?
Mnh shule, hospitali, hata awamu zilizopita zilijengwa....Tembea huko mikoani uone mahospitali na mashule yanavyojengwa kama uyoga. Toka hapo ulipo uyaone maisha halisi ili uondokane na dhana za kufikirika.
Bado Kikokotoo Cha Wastaafu Chaja. Watumishi wa Mifuko ya Jamii ili walipwe mishahara minono na Posho.Nchi yenye raia waoga wanaojifanya wapenda Amani.
Wametest mkajikabidhi Sasa NI mvua za tozo Hadi mpagawe.
Kwa wewe mtu na watu wako, the worst days are coming.Naona umechoka ku like na ku comment nyuzi za wenzako na wewe ukaona uandike Uzi japo umejaza pumba 😆😆😆😆
Ilikuwa ni kwa kumzoesha utamaduni wa kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo yake.Ile kodi ya kichwa ilikuwa ni kwa ajili ya kumkeep busy mwafrika awe na utamaduni wa kufanya Kazi.
Hili neno!!Mikopo ni karibia kila week sasa kuna mkopo mpya unatangazwa wa mabilioni kama si matrillion ya fedha ila bado wananchi tunakamuliwa vilivyo. Maendeleo yanayomgusa mwananchi yako wapi
Mmisionari aliyeanzisha Radio Tumaini wakati anaondoka Tanzania kurudi kwao, alisema ni vigumu sana kumpata mtanzania mwaminifu. Miaka ile niliona kama anatutusi watanzania, lakini baadaye nilikuja kukubaliana naye.Hii tabia ya wana siasa kusema uongo mfululizo ikiachwa iote mizizi bila kukemewa inaweza kuja kuleta maafa makubwa sana kwa taifa kwa kupandikiza chuki ndani ya jamii na kujikuta watanzania wazalendo wanawekwa pembeni na mafisadi ndiyo yanashika usukani wa kuongoza nchi yetu.
Na hela wanazochapisha huwa zinaishia wapi? Ukichanganya na hizo si ni hela nyingi?Wanatia hasira sana. Kila siku utasikia wamesain mikataba ya mikopo kibao!! lkn hio mikopo haionekani inafanya shughuli gani hasa. Hata mawaziri husika hawatu-update nini kinaendelea kwenye hayo mamikopo na miradi wanayosema!! watz tumekuwa wajinga sana!!
Ni kweli lakini angalau mambo yanafanyika unayaona. Siyo huku kwetu wengi mnakamuliwa halafu hela zinaliwa na wachache. Ripoti ya CAG inatoka watu wameiba waziwazi. Na wanajulikana lakini hawafanywi cho chote. Na hiyo ni just tip if the iceberg. Mkilalamika mnaambiwa eti hamieni Burundi. Kiburi na kutojali.Huko USA na UK nchi zinaendeshwa kwa tozo hizi hizi. Tulia tu kuwa mpole na kuwa raia mtiifu kwa serikali yake.
Umeandika kwa hisia sana mpendwa dah!Hivi huwa mnafikilia kwa kutumia nini utafananiasha USA kimaendeleo na Tanzania yaani hii Nchi hata iwe na tozo 1000000 kamwe hakutokuwa na maendeleo.
Hapo ni sawasawa na kuvimbiwa kiporo cha maharahe yaliyochacha harafu unapiga ramli usiharishe 😂😂😂😂Kwa wewe mtu na watu wako, the worst days are coming.
Watu kama wewe ni wakupiga chuma hadharani.