Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Tatizo wanatuona sisi ni ng'ombe. Siku ya kuwatoa madarakani kwa njia yoyote ile, nadhani hawataamini.
Wanatufanya kama manamba kila siku kodi tozo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wanatuona sisi ni ng'ombe. Siku ya kuwatoa madarakani kwa njia yoyote ile, nadhani hawataamini.
Mwigulu na Dr. Phillipo Mpango, ni sawa na duniani na mbinguni!Wanatufanya kama manamba kila siku kodi tozo.....
Mods unganisha huu Uzi,tayari upo humu.Heshima sana wanajamvi,
Sote tumesikia hotuba ya Waziri wa Fedha. Kama kawaida ni mwendo wa kuturundikia kodi na tozo mbali mbali.
Hakuna serekali duniani inayoweza kujiendesha bila kodi.
Kwa upande wa Serekali yetu kuanzia Mkuu wa nchi, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi & Makamishna wamekuwa wakiishi maisha ya anasa ungedhani nchi ina maana uchumi mkubwa labda kama Canada au Germany.
Last time nilishuhudia msafara wa Rais ukiwa na magari ya fahari zaidi ya 30 huku angani helicopter ikizurura ungefikiri labda tuko Ukraine.
Juzi nilishangaa msafara wa Naibu Waziri sijui ni maji au nini ukiwaumeambatana na zaidi ya magari 13 na vimulimuli vya police 👮♀️.
Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma (Kodi)Kwahakika hata tulipe kodi kwa kiwango gani maendeleo ya nchi yataendelea kusua sua kwasababu fedha nyingi zinatumika kugharamia magari ya anasa, mishahara minono kwa viongozi wachache,posho ambazo haziendani na hali halisi ya maisha ya waTanzania, mifumo duni ya kuzuia matumizi mabaya ya fedha za umma.
Ni wakati muafaka serekali ikafikiria kuachana na matumizi mabaya ya kodi za wananchi. Badala ya kila mara kutubandikia kodi na tozo ambazo zingeweza kupungua kama matumizi mabaya, Wizi na ufisadi ingekuwa ni ajenda muhimu.
Matumizi mabaya yamekithiri wananchi tumechoka kulipishwa kodi kugharamia starehe za viongozi.
Huna akiliTembea huko mikoani uone mahospitali na mashule yanavyojengwa kama uyoga. Toka hapo ulipo uyaone maisha halisi ili uondokane na dhana za kufikirika.
Heri yako wewe mwenye akili nyingi.Huna akili
Wewe ni mcenge tu na akili yako fupi kama mkia wa mbuzi.
Ni lini huyo hawala yako alijenga hizo barabara!!?? acha uzwazwa kenge weweWewe umetafuta nini ambacho hukioni? Huwa ukitoka kwako una drive kwenye barabara alizojenga baba yako?
Ukiugua huwa unaenda kwenye hospital kutibiwa na madakatari ambao mama yako anawalipa au?
Nadhani akili yako inatosha kwenda na kurudi chooni tuu.
Mtaishia kuwa wajinga hivyo hivyo👇Ni lini huyo hawala yako alijenga hizo barabara!!?? acha uzwazwa kenge wewe
Ila tozo zao huko hakuna watu wanagawana kama peremende. Huku tozo zinakusanywa halafu zinadokolewa na wakurugenzi mpaka boss wao mkuu.Huko USA na UK nchi zinaendeshwa kwa tozo hizi hizi. Tulia tu kuwa mpole na kuwa raia mtiifu kwa serikali yake.
Jamaa kutwa wanalipana poshoHali tete wanatukamua sana hawa Watawala
Huku wizi unaanzia juu kushuka chiniIla tozo zao huko hakuna watu wanagawana kama peremende. Huku tozo zinakusanywa halafu zinadokolewa na wakurugenzi mpaka boss wao mkuu.
Ujinga kama huu huwezi kuusikia marekani. Mtu analipwa mshahara mzuri lakini bado mwizi. Halikubaliki
mkuu unaijua kafara ya twiga? Kama hauijui muulize Mshana Jr atakuambia vyema.Nchi yenye raia waoga wanaojifanya wapenda Amani.
Wametest mkajikabidhi Sasa NI mvua za tozo Hadi mpagawe.
Chawa at homeHuko USA na UK nchi zinaendeshwa kwa tozo hizi hizi. Tulia tu kuwa mpole na kuwa raia mtiifu kwa serikali yake.