Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yote makubwa waliyotufanyia wakoloni yangewezeka kwa kodi ya shilingi hizo mbili.Ilikuwa ni kwa kumzoesha utamaduni wa kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo yake.
Yaani wanafananisha na Nchi ambayo inaongozwa kwa sheria nzuri kiasi kwamba kiongozi hawezi kuiba mali ya Umma na maendeleo yanaonekana.Umeandika kwa hisia sana mpendwa dah!
Shida yetu ubinafsi. Watu wanakuwa mabilionea kwa kuiba hela za umma. Hata ubinadamu hakuna yaani. Shida yetu watu weusi masikini sijui ni nini yaani!
Heri kukosa wote mkuu.We mjinga sana. Heri hata upate Tozo Lakini sio kukaribisha machafuko. Hatutatoka huko. Nchi yetu bado maskini sana. Tukianza watatupa silaha. Then watavuna Mali zao na wewe na watoto wako hamtakuwa salama.
Tatizo ni Yule mchumi muumini wa toza anaamini KILA mtza anakula milo 7 kwa siku,Shida sio kodi, mbona tunalipa kodi tena vizuri tu. Tatizo ni TOZO! Unalipa kodi, kitu kile kile unapigwa tozo, that hurts.
Ni wakali sana kwa rushwa hizi za kinyama. Yaani ukigundulika ulichoiba utakirudisha, jela utaenda na baya zaidi ni aibu kwa jina lako na legacy yako na ukoo mzima. Na mambo yao kweli yanaenda tena kwa utaratibu mno.Yaani wanafananisha na Nchi ambayo inaongozwa kwa sheria nzuri kiasi kwamba kiongozi hawezi kuiba mali ya Umma na maendeleo yanaonekana.
Mkuu unataka wajenge maghorofa juu ya mawingu ndio uone kazi ikifanyika!!?.Mnh shule, hospitali, hata awamu zilizopita zilijengwa....
Naenda katazame huduma mahospitalini zinavyoboreshwa ndio utaiona kodi yako ikitumika.Ni kweli lakini angalau mambo yanafanyika unayaona. Siyo huku kwetu wengi mnakamuliwa halafu hela zinaliwa na wachache. Ripoti ya CAG inatoka watu wameiba waziwazi. Na wanajulikana lakini hawafanywi cho chote. Na hiyo ni just tip if the iceberg. Mkilalamika mnaambiwa eti hamieni Burundi. Kiburi na kutojali.
Shithole country [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Mkuu unataka wajenge maghorofa juu ya mawingu ndio uone kazi ikifanyika!!?.
Mwe hospital zipi hizo mkuu?Naenda katazame huduma mahospitalini zinavyoboreshwa ndio utaiona kodi yako ikitumika.
Tazama nchi inavyofikika kila mara kwa ujenzi wa barabara na madaraja, ni kodi yetu hiyo.
Mengi yanafanyika wakati huu tukiwa tunaongea, lakini hatuna utaratibu wa kupima kwa kuweka usawa kila tunachojadili.
Wewe najua uko huko juu unalamba asali. Hata hujui hali ilivyo huku vijijini Misungwi. Lamba sana tena sana angalia tu isikupalie maana kupaliwa na asali ni hatari!Naenda katazame huduma mahospitalini zinavyoboreshwa ndio utaiona kodi yako ikitumika.
Tazama nchi inavyofikika kila mara kwa ujenzi wa barabara na madaraja, ni kodi yetu hiyo.
Mengi yanafanyika wakati huu tukiwa tunaongea, lakini hatuna utaratibu wa kupima kwa kuweka usawa kila tunachojadili.
Siku hizi hata Mkuu wa Wilaya ni mwendo wa misafara.Mbona wameliongelea hilo la misafara