Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afaidike wapi wanao faidika wapo bizze hata kuingia jf kwa bahatiYaani unaona kuna fairness? wala sikulaumu, utakuwa unafaidika mahali na uchawa wako...
Comment yako imenichekesha kwa huzuniAwamu hii tumepigwa
Natamani ile april irudi nilie vya kutosha maana tulidhani kuna ka unafuu kumbe vya kurithi huwa haviumi tunatapanya tu
Budget ya serikali kungekuwa na hela surplus ya kupeleka ughaibuni?, watanzania sio wajinga yale maigizo yenu pale Bungeni pelekeni Kaole,,, shenzi nyinyi.Uliyekombolewa na elimu hujui hata maana ya bajeti ya serikali 😆😆😆😆
Wewe fukara na wenzako ndio serikali inawashughulikia maana nyie ni mizigo
Unaropoka vitu usivyovielewa,kwa hiyo ulitaka usilipe Kodi ila.udai huduma sio? Umejaza matope kichwani..Wewe jamaa huna akili na unakera kindezi sana. Bidhaa moja nilipie kodi na kukatwa tozo, hivi una akili kweli wewe? Au ndio tayari upo mezani unakula mkate wako hapo umevimbiwa unatukana kila anayekuja opposite na wewe?
Yaani ninunue bundle la king'amuzi, provider akatwe kodi kwa manunuzi yangu, then nikatwe tozo, umeme, mafuta, nk halafu nyie wapumbavu mnaweka pesa ughaibuni na kula jasho la mwananchi wa kawaida.
Imbecile!!
Amini kwamba it will be better kama wote tutakuwa kwenye suffering circle kuliko hali ya sasa ambapo majority tupo motoni halafu wachache wapo peponi wanatufanyia "mocking game" just making fun of us.Dah!..tusiombe kufika huko boss, maana wengine hatutapaweza
Kodi ni billions of money zinafanya nini chenye tija kwa wananchi?Watanzania hawataki kulipa kodi.
Wanatia hasira sana. Kila siku utasikia wamesain mikataba ya mikopo kibao!! lkn hio mikopo haionekani inafanya shughuli gani hasa. Hata mawaziri husika hawatu-update nini kinaendelea kwenye hayo mamikopo na miradi wanayosema!! watz tumekuwa wajinga sana!!Mzee jamaa wanachosha sana yani...Ukiwaza mabillion wanayogawana wao kwa wao yangefanya mangapi. Yani kila kitu kingeweza fanyika smoothly bila kukomoana na Tozo za ajabu
Tayari imekuaJamani sa itakuwaje?
Bandari inatosha kabisa kuleta maendeleo. Mpka leo toka uhuru tunakopa pesa kujenga matundu ya vyooOna hii dustbin, kwa hiyo Msingi wa kuendesha Nchi unataka uwe nini?
KweliHivi huwa mnafikilia kwa kutumia nini utafananiasha USA kimaendeleo na Tanzania yaani hii Nchi hata iwe na tozo 1000000 kamwe hakutokuwa na maendeleo.