Serikali iache kutujazia tozo kufidia matanuzi yao

Mimi napendekeza Posho za wafanyalkazi zijumlishwe kwenye Mishahara; ili mishahara iwe na uhalisia. Hakuna haja ya kumlipa mfanyakazi wa umma mshahara wa 1.2m wakati mwisho wa mwezi anakuwa amejipatia 3 to 5M kupitia Posho. Hapa tunapoteza Billions.
 
Wanatufanya kama manamba kila siku kodi tozo.....
Mwigulu na Dr. Phillipo Mpango, ni sawa na duniani na mbinguni!
Mwenzake alikuwa na ubunifu! Na hakuumiza kabisa wananchi wa kipato cha chini! Yeye hamna kitu!

Bora hata angehudumu kwenye Wizara ya Mazingira na Muungano huko. Ila siyo kwenye hii Wizara nyeti ya Fedha na Mipango.
 
Mods unganisha huu Uzi,tayari upo humu.
 
Ni lini huyo hawala yako alijenga hizo barabara!!?? acha uzwazwa kenge wewe
 
Huko USA na UK nchi zinaendeshwa kwa tozo hizi hizi. Tulia tu kuwa mpole na kuwa raia mtiifu kwa serikali yake.
Ila tozo zao huko hakuna watu wanagawana kama peremende. Huku tozo zinakusanywa halafu zinadokolewa na wakurugenzi mpaka boss wao mkuu.

Ujinga kama huu huwezi kuusikia marekani. Mtu analipwa mshahara mzuri lakini bado mwizi. Halikubaliki
 
Ila tozo zao huko hakuna watu wanagawana kama peremende. Huku tozo zinakusanywa halafu zinadokolewa na wakurugenzi mpaka boss wao mkuu.

Ujinga kama huu huwezi kuusikia marekani. Mtu analipwa mshahara mzuri lakini bado mwizi. Halikubaliki
Huku wizi unaanzia juu kushuka chini
 
Tatizo tulipe kodi, tulipe tozo kila aina, then hela zetu ziibwe, zitumiwe hovyo. Tatizo ndiyo hapo.
Unaskia jamaa wanajenga ma Apartments ulaya huko kwa kupitia hela wanazodokoa huku kwetu ambazo ndio hizo tozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…