Serikali iangalie uwezekano wa kutoa mikopo kupitia halmashauri kwa mtu hata mmoja mmoja badala ya kulazimishwa kuwa katika kikundi

Nenda kakope benki siasa nyingi zinakupotezea muda na malengo yako. Unaomba mkopo leo zamu yako inakuwa miaka miwili au mitatu mbele
 
Kakope benki, hata ya mikopo ya Halmashauri inatakiwa ifutwe kabisa.
 
Ndio imeisha hiyo. Mradi yeye aningiza mshahara na anapiga madili ya upigaji basi hawezi kuwazia faida ya wanajamii wengine.
 
Ndio imeisha hiyo. Mradi yeye aningiza mshahara na anapiga madili ya upigaji basi hawezi kuwazia faida ya wanajamii wengine.
Na ripoti ya CAG, imebaini ufisadi wa hali ya juu kwenye hizo halmshauri
 
Zile pesa zipo kisiasa sio kusaidia watu, ndiomaana CAG kasema zimetafunwa na hakuna aliyeguswa
 
Huu utaratibu umetangazwa lini!?..maana juzi tu Waziri mkuu kasema hiyo mikopo isimamishwe
Mh Rais alisema juu ya suala Hilo baada ya kugundua kuwa pesa zinaliwa Sana na watumishi wasiowaaminifu katika halmashauri kwa kushirikiana na madiwani,ndipo akasema kuwa kwa Sasa pesa hizo zitakuwa zinapelekwa benki na huko ndiko zitakakochukuliwa ili iwe Rahisi hata katika urejeshaji wa mikopo kwa ajili ya kuwanufaisha wengine
 
Zile pesa zipo kisiasa sio kusaidia watu, ndiomaana CAG kasema zimetafunwa na hakuna aliyeguswa
Kwa Sasa utatumika utaratibu mpya juu ya pesa hizo ,ambapo kwa Sasa watu wata kopa kupitia benki ambako halmashauri itaingia makubaliano na benki moja wapo juu ya pesa hizo za vijana,akina mama na watu wenye ulemavu
 
Miradi ya vikundi ni upuuzi mtupu....
 
Miradi ya vikundi ni upuuzi mtupu....
Kwa Sasa walengwa watanufaika nazo kwa kuwa Nafikiri hata wewe unafahamu kuwa kuchukua pesa benki hakuwezi kukawa na janja janja Kama zilizokuwepo halmashauri ambapo watu wengine walikuwa wananufaika na pesa hizi pasipo kustahili
 
Haimaanishi kasema itolewe kwa mtu mmoja mmoja
 
We si huko jikoni kwanini usiwabane
Viongozi wako huko

Ova
 
Hujasoma report ya CAG... Pesa zilizotengwa kwa ajili ya kukopesha zimepigwa zote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…