johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe umewahi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umewahi!
Then inafika 7854677 mwishowe 52,000,000Ubaya wa Corona, leo mkigundua 1, kesho 10, keshokutwa 439, mtondogoo 3290, mtondo 8439.
Unforgetable
Kwani kuleta sampuli ndio kuthibitisha au kutaka kujua? Kwani we ukiambiwa na daktari upeleke sampuli ya makohozi ndio una TB??Wao ndio wameleta sampuri Dsm......wanakanusha nini?!
Shiii! Wataalamu wetu waliosambazwa nchi mzima kuidhibiti Corona hawakumuona kwa kuwa huenda hakuingilia mpakani.maelezo hayajitoshelezi huyo wa dsm ametokea wapi na nchini ameingia lini
Weka source mkuuSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekanusha muda huu kuwa huo ni uzushi hakuna jambo kama hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao wameleta sampuli hawana vipimo bado wanadai kuwa hawana mgonjwa kama walijua afya yake kwanini wavushe hizo sampuli kuja Dar.Kwani kuleta sampuli ndio kuthibitisha au kutaka kujua? Kwani we ukiambiwa na daktari upeleke sampuli ya makohozi ndio una TB??
ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
Inamaana PM Majaliwa kaongopa??Lugha gongana, Sarakasi zinaanza.
Kwelii kabsaa mkuu Ni ugonjwa hatari ila wameukuza sana. Sijui Nini Kiko nyuma ya pazia.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekanusha muda huu kuwa huo ni uzushi hakuna jambo kama hilo
Huyo Mpumbavu anayepingana na taarifa ya Waziri Mkuu huko Zanzibar NI NANI?