mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Wanasubiri hadi iwe janga Tz ndio wafunge mipaka, kuna uzembe sana kwenye maamuzi dhidi ya hili janga kwa TZ.Hakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasubiri hadi iwe janga Tz ndio wafunge mipaka, kuna uzembe sana kwenye maamuzi dhidi ya hili janga kwa TZ.Hakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Taarifa ya PM ni ya Leo na ya kukanusha ya ZNZ ni ya janaWaziri Mkuu aliwasiliana na waziri kiongozi wa Zanzibar kabla ya kutoa taarifa? Kwenye hili swala tuiache nchi ya Zanzibar ijitangazie mambo yake yenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msisahau kwamba watanzania ni wakarimu, tumefunga shule na kuzuia.mikusanyiko inatosha.Hakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Hivi huyo wa mwendokasi ilikuaje broHuyo wa Dar ikisememaka alipanda kwa kugombania "MWENDO KASI" ishakua balaa.
uongo hiyo taarifa ya ZNZ ni ya jana.Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekanusha muda huu kuwa huo ni uzushi hakuna jambo kama hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwelii kabsaa mkuu Ni ugonjwa hatari ila wameukuza sana. Sijui Nini Kiko nyuma ya pazia.
Wapuuzi Sana Jana wamesema wameleta sample Dar halafu wanakanusha?so PM Majaliwa kadanganya uma wa watanzania???
Tuu leitHakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Hivi jamani hawa viongozi wetu wanasubiri nini kupiga marufuku watu kuingia nchini?Huyo wa Dar ikisememaka alipanda kwa kugombania "MWENDO KASI" ishakua balaa.
Samahani mkuu, kwani Aga Khan hawakutoa taarifa? Majuzi tu Regency pia walitoa.Kuna watu walisema Corona ilishaingia Bongo kitambo ila serikali ikagoma kutangaza... Bado natafakari kauli hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app