Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

@WIZARA YA AFYA-TANZANIA jamani kwa wale waliopo CHUNYA MBEYA Tupeni neno nimesikia kuwa kuna mchna sijui kadanja na mmoja kapelekwa hospital kwa kuhofia kuwa huenda ni COVID-19 hivyo hatutaki kuwachanganya watu tupeni ukweli TAFADHALI AU WASILISHA TAARIFA KAMILI KWA WIZARA HUSIKA
 
BREAKING NEWS: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa wa Virusi vya Corona nchini imeongezeka na kufikia watatu, ambapo mmoja amepatikana Zanzibar ambaye ni raia wa Ujerumani na mwingine Jijini Dar es Salaam ambaye ni raia wa Marekani.
Hao wote hawahesabiki, tunataka ngozi nyeusi waliopata wakiwa hapa nchini, so far count yetu ni zero. Hakuna mtu mweusi alioupata huo ugonjwa akiwa hapa bongo, hao wote ni either kaupata nje ya nchi kaja nao au ni ngozi nyeupe.
 
Raia wa kigeni na watz walioko nje wazuiwe kuingia hao ndio wanatuletea hili janga! Kwani ni nini bhana....
Tatizo hao wakuu wanaleta sana siasa kwenye majanga kama haya, bila kuwaachia wataalum kufanya kazi zao!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukimwi, Malaria, TB, STDs, wanashangaa kaja Corona wao wako kama wamesahaulika kama vile hawapo.
 
Hao Wagonjwa wageni Mmarekani na Mjerumani wameingiaje Tanzania?
Jibu Ni UZEMBE na UDHAIFU wa Serikali kusimamia CORONA VIRUS...!!
Tangu gonjwa hili liingie Serikali ya Magufuli ilikuwa inahangaika na Kesi ya kina Mbowe na CHADEMA badala ya KUPAMBANA na Corona.

Kipindi chote tumeshuhudia Ndege za abiria toka nje zikiingia na kutoka na mbaya zaidi ATCL wameendelea na Safari za CHINA bila kujali madhara ambayo sasa yameanza kuonekana dhahiri.....!!
Magufuli na CCM yake lazima wabebe hi dhambi ya kuruhusu gonjwa hili kuingia Tanzania kwa kutokuwa na mikakati ya uhakika..!

CCM na WATAWALA ni tatizo kubwa Sana katika nji hii..!
 
Nimeanza kuhisi maumivu ya kichwa na kweny pua

Kwa muendelezo huu, ntajitahid nijipeleke mapema hospital, maana km sielewi vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi ukienda hospitali ukiwa na mafua unaambiwa uende muhimbili, ila Ummy mwalimu anasema hata ukiwa na hivyo virusi unaweza kukaa nyumbani hadi hali ikiwa critical.
 
Huu ugonjwa umetukuzwa mno.
Kabisa mkuu
IMG_20200318_093618_882.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom