thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Kwenye hao elfu kumi utakosa kweli?
Inaanzaga hivi hivi mwisho inafikia elfu 10.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaanzaga hivi hivi mwisho inafikia elfu 10.
Ila inasemekana hapo Rejensi na muhitatu wapo wakutosha tuu ila inafanywa sirii
Sent using Jamii Forums mobile app
China plaza kariakoo kuna mchina inasemakan ana dalili za corona, amekuja kama wiki mbili zilizopitaView attachment 1391643
Hahaha!
Ubaya wa Corona, leo mkigundua 1, kesho 10, keshokutwa 439, mtondogoo 3290, mtondo 8439.
Unforgetable
Tayal an daaaa!China plaza kariakoo kuna mchina inasemakan ana dalili za corona, amekuja kama wiki mbili zilizopitaView attachment 1391643
Screenshot hii comment harafu uisave,utakuja niambia kuna viongozi wa mikoa wamekaa kimya km hawajui kinachoendelea ndani ya nchi.
Una komwe?Kuna wanadamu ambao hawayumbishwi na siasa endelea kuwa kibaraka wa wanasiasa.
geniousChina iliweza kuthibiti kusambaa zaidi kwa Corona kwa kuufunga mji wa Wuhan kuingilika na kutoka kwa watu.
Ndiyo maana hatusikii wachina kusambaza kwenye mataifa mengine tofauti na hao wapuuzi waliofuata raia wao Wuhan ili wanaonekane wanajali sana watu wao.
Ikiwa mama yako analo na nimezaliwa naye mimi nani nisiwe nalo.Una komwe?
Sure..Huu ugonjwa umetukuzwa mno.
"lamli" mkuu hata kujiunga jf uliungwa na wauza simu wa kariakoo na hata pasword walikuandikia.
Umeandika kwa huruma sana..kama unataka kulia hiv!
ndo alikudanganya hivyo?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekanusha muda huu kuwa huo ni uzushi hakuna jambo kama hilo
Sent using Jamii Forums mobile app