robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Italy hali ni mbaya kuzidi kitovuni China, tahadhari inatakiwa kama hatujachelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua mirembe nadhani. Good day.Wewe acha kuleta upumbavu kwenye uhai kila kitu kwao ni siasa mada inahusiana na siasa hii uko mirembe wodi namba ngapi shwaini zako
Labda ukienea zaid ndo wataufungia usitokeHakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Hakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Mkuu @Bulesi nadhani kwa kuanzia mahakama zote katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zingesimamisha shughuli zake kwa muda au kesi ziendeshwe kwa kutumia Video (IT isaidie) ili kupunguza wafungwa kukutana na watu ambao sio wafungwa. Pia serikali isitishe kwa muda wafungwa kutembelewa na jamaa zao au iruhusu wafungwa wawasiliane na jamaa zao kwa kutumia video (IT isaidie hilo)
Itasaidia kupunguza maambukizi. As long as wapo watatu, dawa ni kupunguza mikusanyiko tu watu wachache zaidi wakikutana pamoja ndiyo watakaoambukizwa watapungua, ndicho kinachofanyika Ulaya sasa.Hakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Wewe umewahi!
Corona haina dini hata ufunge siku 40 kama Yesu usitarajie miujiza km haufuati zile taratibu za kujikinga.Huko Saudia watu wamefunga misikiti ,nilikuwa nachata na Mdada yupo South Africa ibada za makanisa zimestopishwa wao sio wajinga .Nilitrgemea PM aseme kuhusu kufunga na kuomba nchi nzima !!!
Kwelii kabsaa mkuu Ni ugonjwa hatari ila wameukuza sana. Sijui Nini Kiko nyuma ya pazia.
Labda ukienea zaid ndo wataufungia usitoke
Corona my Boo. Mambo yamebadilika. Busy kweli kweli.Uko wapi wewe?
Corona inatisha acha mpenzi!Corona my Boo. Mambo yamebadilika. Busy kweli kweli.
Mimi ndo nakuambia inatakiwa mesures kali za kuzuia mikusanyiko zichukuliwe sasa hivi. And una uhahika upi mimi sio DR?Acha kujifanya daktari.Kwa hiyo unaombea idadi iongezeke au?
Hii ni sayansi ya wapi? Acheni hizi fake stories.
Hakuna uhusiano wowote kati ya maji ya moto na matibabu ya Corona. Kumbuka virus vinakuwa kwenye damu na vinashambulia respiratory system, sasa unavifikiaje kwa maji ya moto.
Wazuie ndege watoe hela wapi ya kuendeshea nchi ?, walishasema hawawezi kuzuia ndege kuingia hapa nchini kwa sababu uchumi wetu unawategemea wageni.