Serikali: Idadi ya Wagonjwa wa COVID19 kwenye baadhi ya vituo yapungua

Serikali: Idadi ya Wagonjwa wa COVID19 kwenye baadhi ya vituo yapungua

Wabongo bana,

Wametaka takwimu nao wamepew kuwa Wagonjwa wa wamepungua sasa wanabisha tena
 
Waliolazwa ni 18 tu, waliosema Hospital za Dar zimejaa watuoneshe hizo hospital


Kuna wapuuzi walitaka tufunge jiji kwa sababu ya watu 18
Kwa hiyo ndo kusema dar es salaam ina jumla ya wagonjwa 18 tu kufikia leo!!!??basi sawa!
 
kwani si nimesikia kuna watu wanasema wagonjwa wako nyumbani[emoji16][emoji16].

ila hawajalala kitandani kama mnavyoombea,mbwa nyinyi.Mungu ibariki Tanzania.

Hivi wewe. Unamtukana tusi kakosea nini? Unajielewa lakini na unakijua hiki unachokifanya?
 
Usichojua ni kwamba umemuuliza kifaru porini.
 
Mimi sioni makali ya corona maana kama mpaka sasa hatujafa hata laki 5 hv sasa hii ndio mnaita janga la dunia?

yaani tasmini yangu nilijua ndani ya mwezi mmoja hapa kwetu tuko zaidi ya milioni 60 kwa haraka haraka mpaka sasa nilijua tungekua tumeshaondoka hata milioni 10 hivi ila mpaka sasa mimi katika ndugu...
Mwenyezi Mungu aendelee kuwalinda na kuwaepusha na hili janga, wewe, ndugu, jamaa na marafiki zako unaowajua.

Wengine tumeguswa na hata tusiowajua moja kwa moja, na ilitusikitisha.
 
Nimetafakari sana .Yaani kinachotokea sasa ni sawa na kupunguza mahindi shambani unaacha yale yenye afya .madhaifu yote unang'oa.

Ndiyo huu ugonjwa unvyotufanya unaua wale wadhaifu dhaifu tuu.wenye kinga za kutosha unawaingia lakini una dunda.mwisho taifa litabakia na watu wenye miili imara na hivyo in long run budget ya wizara itapata ahueni
 
kwani si nimesikia kuna watu wanasema wagonjwa wako nyumbani[emoji16][emoji16].

ila hawajalala kitandani kama mnavyoombea,mbwa nyinyi.Mungu ibariki Tanzania.
Unataja Muumba, hapo hapo unatukana hebu Edit umpe Mungu wetu heshima yake ndugu yangu
Sawa huenda wamekukwaza watu lakini ndo utafanyaje hii Dunia ina mambo mengi
 
Namba hazidanganyi...

Wagonjwa wamepungua? Sababu hawapimi au wamepona au hamna maambukizi mapya...?

Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
 
Usikute hapo watu wako wawili (2)tu, ila mapapai na mbuzi ndo zinatuongezea idadi ya wagonjwa!
 
Unataja Muumba, hapo hapo unatukana hebu Edit umpe Mungu wetu heshima yake ndugu yangu
Sawa huenda wamekukwaza watu lakini ndo utafanyaje hii Dunia ina mambo mengi
Mungu pia huchukizwa na wapumbavu,na amewataja akiwafananisha na hayawani katika maandiko kibao tu,binaadamu wenye roho za kinyama.
 
Ni dhahiri shahiri kwa sasa Corona Tanzania ni kama imeanza kupoteza kiki

Ukipita saivi huko mjini utaona ishara inayokuonesha Corona ipo ni uvaaji wa barakoa na cleansing facilities kwenye biashara za watu ila watanzania wa nazidi kuchapa kazi kama kawaida na kwa kasi maradufu

Katibu mkuu mpya anadhibitisha wagonjwa waliopo kwenye facilities za Corona wamepungua kwa kiasi kikubwa na wanaenda kuisha kabisa kabisa.

Heko JPM

nadokezwa siri ya mafanikio ni dawa zetu za ndani 😅

 
Mi nlishazoea kuvaa mask na miwani na imenisaidia kwa wanaonidai kutonitambua vyema! hakika nimeishi maisha ya amani mtaani kwa kipindi hiki

Via Wadaiwa Sugu
 
Back
Top Bottom