The Most Winner
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 733
- 960
Umetukana mbwa sio pumbavu,ungesema pumbavu nisinge kuquote.Mungu pia huchukizwa na wapumbavu,na amewataja akiwafananisha na hayawani katika maandiko kibao tu,binaadamu wenye roho za kinyama.
Kumbuka Mungu amemuumba Mwanadamu kwa sura na mfano wake Wewe ni nani umwite Mwanadamu mbwa,hata kama amekuudhi ,Muumba hajawai Mwita !Mwanadamu wake mbwa hata Kama amemkosea vip,wewe ni nani umwite Mwanadamu unavyojisikia?