Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
Serikali yatoa Update ya Corona Nchini .
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema kuwa wagonjwa wa corona nchini wamepungua katika vituo vya kutolea huduma za afya na kuwataka watoa huduma za afya kujitahidi kutoa huduma bora kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa mengine pia
VIDEO NI KWA HISANI ya Millard Ayo wa Ayo Media.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema kuwa wagonjwa wa corona nchini wamepungua katika vituo vya kutolea huduma za afya na kuwataka watoa huduma za afya kujitahidi kutoa huduma bora kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa mengine pia
VIDEO NI KWA HISANI ya Millard Ayo wa Ayo Media.