Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa usiowajua una uhakika gani kama wanachokuambia ni kweli ?Mwenyezi Mungu aendelee kuwalinda na kuwaepusha na hili janga, wewe, ndugu, jamaa na marafiki zako unaowajua.
Wengine tumeguswa na hata tusiowajua moja kwa moja, na ilitusikitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli, mshindi wa kudanganya takwimuRais Magufuli ameibuka mshindi
hiyo barakoa kama mdomo wa bata 🦢Kauli Kama hizi wakati mashine ilipigwa stop. Hao waliopungua Ni wale waligundulika wiki mbili zilizopita ?View attachment 1451442
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mafua virus wake anaitwa corana ila huyu virus mpaya ni covid-19Wangeachana tu na hizi habari za corona, wanatuchanganya tu, kwani bado corona ipo Tanzania?
Kwa hiyo mtu atatoka huko aje kuripoti uongo? Na inapotokea mpaka maiti yanamkuta bado watakuwa ananiambia uongo? Ukiwa unafanyakazi sekta ya afya, haina maana unamjua kila mgonjwa na pia sio kwamba hautaguswa na ukweli wa yanayowasibu.sasa usiowajua una uhakika gani kama wanachokuambia ni kweli ?
Unaujua uhalisia wa aliyefia hospitali kwa korona au unaishi wapi? Hujui kuwa ndugu hamtamzika ndugu yenu? Kuna wanaoiba maiti za ndugu yao mara tu anapofariki kuepuka hilo, sasa nani atapeleka kuhifadhi mwili hospitali ilhali anajua atapokonywa na kuna uwezekano asiruhusiwe kumzika?Wakifa wanazikana wao kwa wao ina maana hata mortuary wanaogopa kupeleka maiti zao zitapata Corona?
Kwa theory hii maana yake mortuary zingefurika na misiba huko mitaani ingekuwa kila kona.