chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Kwa kauli iliyotolewa na katibu wa afya.... Wakati akipokea msaada toka serikali ya China.
Kupungua huko ni matokeo ya kupona? Au kutodhuria/kuripoti vituo vya afya?
Kwa taarifa za madereva toka Tanzania wanaopatikana na maambukizi huko nje, ni ishara maambukizi nchini ni makubwa na hakuna jambo lolote linaloonyesha limechukuliwa kudhibiti zaidi ya kunawa mikono na kushona barakoa.
Je, bado serikali haioni ni muhimu kuchunguza ni kwa nini wagonjwa wanapungua hospital badala ya kuongezeka? Na kama ni matokeo ya uhamasishaji wa matumizi ya limau, tangawizi n.k. ndio inapelekea watu kuungulia majumbani, mie napenda kupata taarifa sahihi za maendeleo ya janga hili nchini.
Kupungua huko ni matokeo ya kupona? Au kutodhuria/kuripoti vituo vya afya?
Kwa taarifa za madereva toka Tanzania wanaopatikana na maambukizi huko nje, ni ishara maambukizi nchini ni makubwa na hakuna jambo lolote linaloonyesha limechukuliwa kudhibiti zaidi ya kunawa mikono na kushona barakoa.
Je, bado serikali haioni ni muhimu kuchunguza ni kwa nini wagonjwa wanapungua hospital badala ya kuongezeka? Na kama ni matokeo ya uhamasishaji wa matumizi ya limau, tangawizi n.k. ndio inapelekea watu kuungulia majumbani, mie napenda kupata taarifa sahihi za maendeleo ya janga hili nchini.