DOKEZO Serikali Ifanye Uchunguzi Wa Kifo Cha Dkt Faustine Ndugulile Na Kuongeza Ulinzi Mzito Kwa Dkt Tulia Ackson

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ccm Huwa mnafirahi kuua wapinzani

Sasa mnaanza kuuana wenyewe kwa wenewe

Nchi ya ajabu hii eti ccm mnaua think tanks wenu mnabakiza manungayembe kama Kipara, goli la mkono na kifua kipana, hakika maendeleo tutayasikia china
Acha maneno ya uongo na uzushi
 
Huyo TULIA WAKO wampe ulinzi mkali kama nani MUNGU AKIMTAKA HATA MUMUWEKEEE ULINZIBWA SHOT YA UMEME ATAKWENDA TU
NA WAHUNI WAKIMTAKA APATITIWA TU SO JIRINDE WW KAAAA AKIJUA ILINZI WA KWELI NI UNATOKA KWA MUNGU
 
Tulia hana madhara kwa ccm
Ametusaidia Kuuza bandari
Alitusaidia kudhibiti hunge
Ametusaidia kumfukuza dungai
Anasaidia kutoiwajibisha serekali

Si Dhani kama Kuna anayefikiria kumdhuru
 
Kuwa tu kwenye eneo fulani kuwazidi wenzako tayari unakuwa upo kwenye vita na baadhi ya watu ambao unakuta walikuwa wanatamani wao ndio wangekuwa hapo.ndio maana hata ungekuwa mwema vipi lakini bado huwezi kupendwa na kila mtu.
Vipi nyumbani kwenu kuko salama?
 
Unataka niweje na kufanya nini ndio uamini kuwa mimi ni mkulima.
Yaani mwanaume mzima stable anaejiamini na anatumia kipato chake halali kuendesha familia yake, hata kama kipato chake ní kidogo hawezi kufanya upuuzi kama unaoufanya. Naamini hata madam president amesha tambua dhima yako ndo maana hakupi uteuzi.
 
Yaani mwanaume mzima stable anaejiamini na anatumia kipato chake halali kuendesha familia yake, hata kama kipato chake ní kidogo hawezi kufanya upuuzi kama unaoufanya. Naamini hata madam president amesha tambua dhima yako ndo maana hakupi uteuzi.
Kwani wapi nimesema natafuta uteuzi hapa jukwaani.
 
KIFO NI KIFO TU.
 
Ni kilaza na porojo nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…