Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #201
Acha maneno ya uongo na uzushiCcm Huwa mnafirahi kuua wapinzani
Sasa mnaanza kuuana wenyewe kwa wenewe
Nchi ya ajabu hii eti ccm mnaua think tanks wenu mnabakiza manungayembe kama Kipara, goli la mkono na kifua kipana, hakika maendeleo tutayasikia china
Acha Mihemko hapa.Huyo TULIA WAKO wampe ulinzi mkali kama nani MUNGU AKIMTAKA HATA MUMUWEKEEE ULINZIBWA SHOT YA UMEME ATAKWENDA TU
NA WAHUNI WAKIMTAKA APATITIWA TU SO JIRINDE WW KAAAA AKIJUA ILINZI WA KWELI NI UNATOKA KWA MUNGU
Dogo maccm mnawapoteza watu muhimu mnawaacha wajingawajinga tuAcha maneno ya uongo na uzushi
Fikiria kabla ya kuongea na siyo kuongea vitu usivyo na ushahidi navyoDogo maccm mnawapoteza watu muhimu mnawaacha wajingawajinga tu
Vipi nyumbani kwenu kuko salama?Kuwa tu kwenye eneo fulani kuwazidi wenzako tayari unakuwa upo kwenye vita na baadhi ya watu ambao unakuta walikuwa wanatamani wao ndio wangekuwa hapo.ndio maana hata ungekuwa mwema vipi lakini bado huwezi kupendwa na kila mtu.
Haya leta taarifa yake. Wakifa wana CCM uchunguzi wao ndio watu, wengine akina Kibao hao sio watu. Wee bwege acha ujinga wakoRais wetu Mpendwa aliagiza uchunguzi ufanyike.
Mheshimiwa Rais aliagiza kufanyika kwa UchunguziHaya leta taarifa yake. Wakifa wana CCM uchunguzi wao ndio watu, wengine akina Kibao hao sio watu. Wee bwege acha ujinga wako
Hakuna mkulima mjinga mjinga kama wewe! Mkulima analisha familia yake kupitia kilimo na siyo kufanya upuuzi kama unaoufanya wewe ili uweze kupata riziki, sawa?Mimi ni mkulima.au unataka mtu awe na matope usoni ndio Ujuwe ni mkulima?
Unataka niweje na kufanya nini ndio uamini kuwa mimi ni mkulima.Hakuna mkulima mjinga mjinga kama wewe! Mkulima analisha familia yake kupitia kilimo na siyo kufanya upuuzi kama unaoufanya wewe ili uweze kupata riziki, sawa?
Yaani mwanaume mzima stable anaejiamini na anatumia kipato chake halali kuendesha familia yake, hata kama kipato chake ní kidogo hawezi kufanya upuuzi kama unaoufanya. Naamini hata madam president amesha tambua dhima yako ndo maana hakupi uteuzi.Unataka niweje na kufanya nini ndio uamini kuwa mimi ni mkulima.
Kwani wapi nimesema natafuta uteuzi hapa jukwaani.Yaani mwanaume mzima stable anaejiamini na anatumia kipato chake halali kuendesha familia yake, hata kama kipato chake ní kidogo hawezi kufanya upuuzi kama unaoufanya. Naamini hata madam president amesha tambua dhima yako ndo maana hakupi uteuzi.
Wewe mwanzoni kwenye maandiko yako ulikuwa unaweka namba ya simu mwishoni, nini ilikuwa maana ya kuweka namba ya simu?Kwani wapi nimesema natafuta uteuzi hapa jukwaani.
Hakukuwa na shidaWewe mwanzoni kwenye maandiko yako ulikuwa unaweka namba ya simu mwishoni, nini ilikuwa maana ya kuweka namba ya simu?
Tatizo la kuumwa ugonjwa unafanya siri siriMtu akiwa kiongozi anakuwa mali ya umma na siyo Familia
KIFO NI KIFO TU.Ndugu zangu Watanzania,
Ifike mahali kama Taifa tusikubali kila kifo kipite hivi hivi au kuacha mambo yaende hivihivi kana kwamba hakuna kilichotokea vile au kusema ni Mapenzi ya Mungu au kuona ni kawaida.Mungu ametupatia akili kwa ajili ya kufikiri na kufanya tafakari kwa msaada wake Mungu Mwenyewe.
Ikumbukwe hii ni Dunia yenye vita vya kila aina ikiwepo kuhujumiana,kudhoofishana na kumalizana kwa kila mbinu .ambavyo vinakuwa vinafanywa kwa akili na maarifa ya hali ya juu sana na kufanywa na watu wenye akili za hali ya juu sana na ambao wapo kwa ajili ya kazi hiyo tu na wamefundishwa na kuivishwa kisawasawa.
Ifahamike kuwa wakati Mwingine kama Taifa linaweza kumalizwa na kutafunwa kama ugonjwa wa kansa kwa kumalizwa viongozi wake hasa wale wenye maono,akili kubwa,upeo,maarifa na ufahamu mkubwa wa masuala mbalimbali.watu wanaweza wakawa wanamaliza viongozi na watu wako muhimu pasipo wewe kujua .unapokuja kushituka ni wakati huna uwezo wa kusimama tena kukabiliana na hujuma hizo kwa sababu unakuwa tayari umepoteza watu wote wale wa muhimu.
Hivyo ni muhimu sana tuanze utaratibu wa kufanya uchunguzi wa vifo vya watu wa muhimu au viongozi pale inapotokea vifo vya ghafla na vyenye kutatanisha ili kuweza kujua ni vifo vya Mungu au vyenye mikono ya Binadamu. Kumbukeni hapa Majuzi tu tumepoteza kiongozi mashuhuri na muhimu sana hapa Nchi ambaye ni Mafuru.na sasa tumempoteza mwingine mtu wa muhimu sana kwa Taifa letu Dkt Faustine Ndugulile.
Lakini tujiulize huko India tumepeleka viongozi wetu wangapi katika kumbukumbu zetu na wangapi wamepoteza Maisha. Ni wakati wa kufumbua macho sasa kama Taifa kwa idara zetu za Ujasusi ndani na nje ya Nchi katika ulinzi wa viongozi wetu muhimu na watu muhimu.maana kuhujumiwa unaweza kuhujumiwa kwa njia mbalimbali ikiwepo hata wafanyabiashara wako wakubwa na wenye mitaji mikubwa na wenye mchango mkubwa kwa Taifa kupotezwa.
Lakini ni wakati pia wa kumuangalia Dkt Tulia kwa jicho la kijasusi zaidi kwa kujua kuwa anawakilisha Taifa letu huko Nje ya Nchi.hivyo ni Muhimu kumuongezea ulinzi zaidi awapo ndani na nje ya Nchi.Maana ikumbukwe ya kuwa hata katika kugombea hakugombea peke yake na hivyo siyo kila mmoja anapenda kuona Taifa fulani likiwa linang'ara katika nafasi za kimataifa kama ambavyo ilikuwa tumepata kwa Dkt Faustine Ndugulile kuongoza WHO kanda ya Afrika pamoja na kuwa na Dkt Tulia upande wa IPU.
Kwa hiyo kwa nafasi ambazo watanzania wanapata kuongoza taasisi za kimataifa tuhakikishe tunaongeza ulinzi ikiwepo kwa yule ambaye yupo kwenye masuala ya Fedha. Tukilala unaweza shangaa unafanyiwa hujuma na kupigwa mapigo makubwa makubwa mahali panapouma na kuacha majeraha,mapengo na alama zisizofutika wala kuzibika.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sawa iwe siku ya haki maana kufa ni kufa tuHata wewe utafika siku yako.Maana Duniani sote ni wapitaji.
Kumbe kuna siku ambayo siyo ya haki na mtu akafa? Inakuwaje mkuuSawa iwe siku ya haki maana kufa ni kufa tu
Ni kilaza na porojo nyingithe suprime hospital yetu ni muhimbili, nategemea ndipo matibabu ya juu kabisa yapo pale. sasa siku za karibuni naona ile kasumba ya kutibiwa india inarudi kwa kasi.
lakini najiuliza huyu boss siku ya gorofa kariakoo alifika wa kwanza na cha ajabu hata ambilance ya ofosini kwake hakujanayo. nawasiwasi na ufanisi wa huyu bwana mkubwa ipo haja atupishe ofisi ya umma