Serikali ifungie tovuti zote za pichani za ngono ili kuokoa vijana wetu

Serikali ifungie tovuti zote za pichani za ngono ili kuokoa vijana wetu

Waungwana hizi ni biashara za watu na inawezekana kabisa hao watu wakawa ni vigogo wakubwa ambao hawagusiki kirahis.

Acha tuenjoy mana kuna wadada wanaringaga sana mwisho wa siku tunawaona kwa Porn Video local blogs au channels.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usiseme vijana tu mbona hata sisi wazee tunapitapita kutazama.

Ifunge kwa faida ya watu wote.
Huyu mzee mwenzenu anazeeka na upumbavu wake wakati hapa Mimi kitaani naingiza pesa ya kuwa download picha hizo wazee wa huku tena wananiita power bank


Kweli nimeamini ukiwa mnafki wakati was ujana ukizeeka unakuwa mchawi
 
Brother,
All of these evils are associated with A New World Order.
The best way is to start with a man in the mirror.
Keep faithful, keep praying.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hebu weka hizo websites hapa tuone kama kweli zinaharibu vijana wetu.
 
Wakuu.

Nimependa leo tujadili suala hili, mitandao ya ngono inaharibu vijana wetu pamoja na utamaduni wetu kama waafrika. Ilikuwa siyo kawaida kuona picha za faragha kwani ilifahamika ni jambo la aibu kuona na pia kulikuwa na hofu fulani.

Zamani kidogo kuona picha hizi ilikuwa lazima ulipie unaenda jumba la sinema unaangalia. Kutokana mabadiliko ya sayansi na teknolojia leo picha hizi zipo bure kabisa mtandaoni, watu wakisuuza macho na kufurahia kutazama picha chafu hizo.

Kutokana vijana kushindwa kuchuja wanavoviona wao wanaamua kuiga mambo yote na matokeo yake ufirauni umekithiri katika jamii na maadili yanaporomoka kwa kasi.

Tuungane kukemeea huu ujinga, yule anayeangalia anashusha utu wake, wale wacheza filamu hizo wengi wapo katika stress kubwa huishia kutumia madawa ya kulevya hata kujiua.Nashauri serikali ifungie tovuti hizi za ngono ili kunusuru kizazi hiki.

Mwisho
Dah kweli Tena sasahivi wote wako kitaa kwa likizo ya corona ni mwendo wa ponypony
 
Wakuu.

Nimependa leo tujadili suala hili, mitandao ya ngono inaharibu vijana wetu pamoja na utamaduni wetu kama waafrika. Ilikuwa siyo kawaida kuona picha za faragha kwani ilifahamika ni jambo la aibu kuona na pia kulikuwa na hofu fulani.

Zamani kidogo kuona picha hizi ilikuwa lazima ulipie unaenda jumba la sinema unaangalia. Kutokana mabadiliko ya sayansi na teknolojia leo picha hizi zipo bure kabisa mtandaoni, watu wakisuuza macho na kufurahia kutazama picha chafu hizo.

Kutokana vijana kushindwa kuchuja wanavoviona wao wanaamua kuiga mambo yote na matokeo yake ufirauni umekithiri katika jamii na maadili yanaporomoka kwa kasi.

Tuungane kukemeea huu ujinga, yule anayeangalia anashusha utu wake, wale wacheza filamu hizo wengi wapo katika stress kubwa huishia kutumia madawa ya kulevya hata kujiua.Nashauri serikali ifungie tovuti hizi za ngono ili kunusuru kizazi hiki.

Mwisho
Wafungie na miziki ya bongo fleva inayo hubiri ngono. La sivyo kujisumbua tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom