Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,593
- 8,595
Cha kusikitisha ni kwamba serikali yetu ipo nyuma kiteknolojia yaani raia wapo mbele kushinda serikali yao hahahaha...ndio maana hata mama samia aliiambia benk kuu ianze kukuweka sawa juu ya sarafu ya mtandaon. Inamaana watendaji wa benk walijua hawajui maswala ya sarafu ya mtandaoni lkn raia wake walianza kitambo tu kucheza na sarafu hiyo.
Hata hili la kufungia mitandao ya ngono ni kujifurahisha tu maana watu bado wanaendelea kutazama Kama kawaida [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] yaani unawafungia panya na mahindi kwenye ghala lafu unatoka unadunda eti mahindi Sasa yapo salama .
Poor tz
Hata hili la kufungia mitandao ya ngono ni kujifurahisha tu maana watu bado wanaendelea kutazama Kama kawaida [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] yaani unawafungia panya na mahindi kwenye ghala lafu unatoka unadunda eti mahindi Sasa yapo salama .
Poor tz