bakar shomar
Member
- Dec 6, 2013
- 53
- 54
WaziPornography ndiyo chanzo kokuu cha Punyeto, na kuishiwa nguvu za kiume! Tuachane nazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifaVideo ngono, ni mpango mahususi wa shetani kwa ajili ya wengi kuingia motoni.
Imeandikwa, Usizini... Ikaandikwa ukimtamani tu mwanamke umezini naye...
Video ngono, ni mpango mahususi wa shetani kwa ajili ya wengi kuingia motoni.
Imeandikwa, Usizini... Ikaandikwa ukimtamani tu mwanamke umezini naye...
Naam!!Pornography ndiyo chanzo kokuu cha Punyeto, na kuishiwa nguvu za kiume! Tuachane nazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mzee mwenzenu anazeeka na upumbavu wake wakati hapa Mimi kitaani naingiza pesa ya kuwa download picha hizo wazee wa huku tena wananiita power bankMkuu usiseme vijana tu mbona hata sisi wazee tunapitapita kutazama.
Ifunge kwa faida ya watu wote.
Kichwa kichafu[emoji23][emoji23]Mkuu usiseme vijana tu mbona hata sisi wazee tunapitapita kutazama.
Ifunge kwa faida ya watu wote.
www.backdoorbrazil.comDaa mwenye link yoyote ya haya mambo afanye kutupia basi nijionee mautundu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah kweli Tena sasahivi wote wako kitaa kwa likizo ya corona ni mwendo wa ponyponyWakuu.
Nimependa leo tujadili suala hili, mitandao ya ngono inaharibu vijana wetu pamoja na utamaduni wetu kama waafrika. Ilikuwa siyo kawaida kuona picha za faragha kwani ilifahamika ni jambo la aibu kuona na pia kulikuwa na hofu fulani.
Zamani kidogo kuona picha hizi ilikuwa lazima ulipie unaenda jumba la sinema unaangalia. Kutokana mabadiliko ya sayansi na teknolojia leo picha hizi zipo bure kabisa mtandaoni, watu wakisuuza macho na kufurahia kutazama picha chafu hizo.
Kutokana vijana kushindwa kuchuja wanavoviona wao wanaamua kuiga mambo yote na matokeo yake ufirauni umekithiri katika jamii na maadili yanaporomoka kwa kasi.
Tuungane kukemeea huu ujinga, yule anayeangalia anashusha utu wake, wale wacheza filamu hizo wengi wapo katika stress kubwa huishia kutumia madawa ya kulevya hata kujiua.Nashauri serikali ifungie tovuti hizi za ngono ili kunusuru kizazi hiki.
Mwisho
ndo maana covid-19 inatembeza kichapo kila kona ya duniaVideo ngono, ni mpango mahususi wa shetani kwa ajili ya wengi kuingia motoni.
Imeandikwa, Usizini... Ikaandikwa ukimtamani tu mwanamke umezini naye...
Wafungie na miziki ya bongo fleva inayo hubiri ngono. La sivyo kujisumbua tuWakuu.
Nimependa leo tujadili suala hili, mitandao ya ngono inaharibu vijana wetu pamoja na utamaduni wetu kama waafrika. Ilikuwa siyo kawaida kuona picha za faragha kwani ilifahamika ni jambo la aibu kuona na pia kulikuwa na hofu fulani.
Zamani kidogo kuona picha hizi ilikuwa lazima ulipie unaenda jumba la sinema unaangalia. Kutokana mabadiliko ya sayansi na teknolojia leo picha hizi zipo bure kabisa mtandaoni, watu wakisuuza macho na kufurahia kutazama picha chafu hizo.
Kutokana vijana kushindwa kuchuja wanavoviona wao wanaamua kuiga mambo yote na matokeo yake ufirauni umekithiri katika jamii na maadili yanaporomoka kwa kasi.
Tuungane kukemeea huu ujinga, yule anayeangalia anashusha utu wake, wale wacheza filamu hizo wengi wapo katika stress kubwa huishia kutumia madawa ya kulevya hata kujiua.Nashauri serikali ifungie tovuti hizi za ngono ili kunusuru kizazi hiki.
Mwisho