Serikali ijenge kaburi "fake" la Hayati Magufuli pale Nyerere Square Dodoma sehemu ya wazi ili kila mtu apate kulitembelea

Serikali ijenge kaburi "fake" la Hayati Magufuli pale Nyerere Square Dodoma sehemu ya wazi ili kila mtu apate kulitembelea

Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost


Kaburi fake??!! Ewe mdukuzi bila shaka akili yako imedukuliwa.
 
Yaan nyie mnaomchukia Marehemu Dr Magufuli ,Rais aliyefanya mengi kuliko Rais yeyote Tanzani(Nukuu ya Rais mstaafu Mwinyi) ni wachache sana.Watanzania wengi sana ,wanamkubali sana yule mwamba.Nyie wachache ,ambao mlikuwa mafisadi ,mkiongozwa na timu Msoga et al,na wenye vyeti feki,majambazi ndio mnaomtukana mwamba.Kama mnabisha tukio la kujazwa maji ya bwawa la umeme timu Msoga et al,waliaibika sana.Magufuli alishangiliwa sana sana ,Mara baada ya mwakirishi wa familia kuchukua Zawadi.Uzinduz wa MV Mwanza naona mama na timu Msoga waliingia mitini.Kwa hiyo mtatukana sana hapa jamvini lakin wananchi hawawataki.Wanataka mtu Kama JPM.Tusuburi na tupewe uhai tutaona mengi.Regards.

Kafanya mengi yepi? Watu wamepambambania Uhuru, wameleta muungano ambayo ni legacy isiyofutika Tena ndani miaka miwili ya Uhuru, na pia kujenga taifa lisilo la ukabila ambalo Magufuli alitaka kutupeleka huko, watu wamepigana Vita vya Kagera. Punguza ujinga wako Hapa. Mengi yepi kafanya?.
 
Kwa hiyo maendeleo tunayoyaona yote,yalifanywa na baba yako au mama yako?JPM alikuwa mtu kazi kila mtu anajua.Sio mtu wa maneno mengi.Na kwa kumshambulia kila siku ,inaonyesha mlimuua.

JPM alikuwa siyo mtu wa maneno mengi? Be serious. Kila siku vyombo vya habari ni yeye tu mwaka mzima, unadai alikuwa haongei? Mtu anatukana watu hadharani warudi na mavi yao nyumbani, mjinga Sana yule.
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost

Serikali ina mambo mengi muhimu ya kufanya.
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost
Peleka ujinga wako huko! angekuwa ameishi vizuri na Samia ungeona hayo ila kama mtu aliweza zaa na shemej yake na kutwa kumpiga mke wake yaan mama wa watu alikondaaa! sahiv kanenepaaaaa!
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost
Kaburi la huyo mwehu dodoma likafanye nini?Unataka lilete mkosi dodoma ikumbwe na majanga hebu likae huko huko chato kwa lipi haswaa
 
JPM alikuwa siyo mtu wa maneno mengi? Be serious. Kila siku vyombo vya habari ni yeye tu mwaka mzima, unadai alikuwa haongei? Mtu anatukana watu hadharani warudi na mavi yao nyumbani, mjinga Sana yule.
Ww ndio mjinga sana.Umeshaifanyia nn Tanzania?Unakesha mitandaoni unamsema vibaya mtu ambaye hayupo.Mtu ambaye ameshaondoka duniani na ameshamaliza kaz yake na kuweka viwango vikubwa.Mbona Kuna Marais wahuni waliokaa nje ya nchi muda mrefu kuliko ndani ya nchi wakati wa utawala wao.Mbona hamuwasemi vibaya?Wapumbavu sana nyie.
 
Kafanya mengi yepi? Watu wamepambambania Uhuru, wameleta muungano ambayo ni legacy isiyofutika Tena ndani miaka miwili ya Uhuru, na pia kujenga taifa lisilo la ukabila ambalo Magufuli alitaka kutupeleka huko, watu wamepigana Vita vya Kagera. Punguza ujinga wako Hapa. Mengi yepi kafanya?.
Ww ndio mjinga sana .Haujitambui .Huo Muungano unawasaidia nyie wa Zanzibar sio sisi watanganyika.Vita ya Kagera vilisababisha hasara kwa Taifa .Na mpaka nchi ni masikini.Vilisababishwa na mtu mmoja.Ww unaona ni credit.Kumbe Ilikuwa upumbafu mkubwa.Tanzania hatukupambania uhuru.Bali tulipewa tu na wazungu.Yapo mataifa yaliyopambania uhuru sio sisi.Mpumbafu sana ww.
 
Taifa linatakiwa liwe na sehemu maalumu Dodoma ya kuzikia viongozi wa juu wa nchi kama wakuu wa majeshi, majaji wakuu na majaji viongozi, makamu wa rais na rais. Kuweka kaburi la kiongozi kila sehemu ni kupoteza kumbukumbu ya taifa letu.. Maana huko vijijini hawakai kugeuza kaburi kilinge cha kutambika
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost
Duh....maziko ya mtu yageuzwe kivutio!!!.
Na Nyerere ajengewe wapi sasa??...

!!!!
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost
Acha mawazo yakindezi likae hukohuko kama ma Lupaso na Monduli Juu na Butiama. Ukishasema FEKI ni kumdhalilisha aliyelala kule CHATO
 
Back
Top Bottom