Serikali ikemee kwa nguvu zote wanaodai Hayati Magufuli kauawa, iondoe video zote YouTube na kuwasaka wahusika

Serikali ikemee kwa nguvu zote wanaodai Hayati Magufuli kauawa, iondoe video zote YouTube na kuwasaka wahusika

Duniani Hakuna mwanadamu yeyeto aliyewahi pambana na watu na akawashinda.Pambana na maendeleo usipambane na watu.Ukitaka kufika salama tembea na watu
 
Kwa mtazamo wangu naona ni Bora serikali iendelee hivihivi kupuuza UJINGA wa watu wachache kwasabb kama itaanza operations za kuwasaka hawa wapuuzi itazidi kuleta taharuki kubwa.
ukweli huwa na tabia ya kujisimamia wenyewe ndiyo maana serikali imeona haina haja ya kusumbuka na wajinga wachache.

kama bado kuna watu wanabishana na MUNGU juu ya Kifo cha POMBE kuna haja gani ya kusumbuka? MUNGU amemchukua magufuli kwasabb zake
 
Alikuwa na ulinzi kama tupo Iraq hao maadui wangepenyea wapi.Huu ni uzushi tu wa watapaji.
 
This country will stay.People will come and go.Maisha yaendelee
 
Binafsi sipendi huu uzushi wa kila siku tunaambiwa JPM aliuawa na watu fulani kwa namna fulani lakini wakiambiwa wawasilishe ushahidi wao katika maeneo yanayohusika hawafanyi hivyo.
Hili watu wote hawafanani uelewa kwa hiyo Hawa wazushi wanapotoa hizi taarifa zao Kuna watu wanaamini na kubaki na msimamo huo kuwa JPM aliuawa.
Hata tunapenda uhuru wa vyombo vya Habari sio kwa kiasi cha kuzushia mambo ambayo hawayatolei ushahidi.
 
Huyu bwana alikufa kwa sababu ya uoga wake wa kwenda kutibiwa kwa mabeberu,sijui hofu yake ilikuwa mini,mbona Mugabe alikuwa hapatani na wazungu lakini alikuwa anaenda kutibiwa Singapore na hawakumdhuru
Point mkuu,,big point
 
Sie tumekubali kuwa alifariki na alikua kipenzi Chetu na bado tunampenda, lakini wao kutwa kila siku kugombana na marehemu!! Hiyo teyari ni laana washakua mazombie.
Nasikia amewahi kuhonga nyumba ya umma kwa kimada akiwa waziri?
 
Mada hapo juu inaeleweka vizuri.

Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.

Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.

You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.

Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.

Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
Mimi nadhani wana haki ya kitowa maoni yao kama wewe ulivyotoa ya kwako kwa mujibu wa sheria. Hakuna dhambi katika mtu kufikiria tofauti na mwingine. Wako sahihi kama wewe ulivyo sahihi. Na hata hivyo yote yanawezekana chini ya jua.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kashfa za kipuuzi sana hizo na wajinga wengi wanaziamini na wengi wao wanaamini Vasco pia ni muhusika.
mara oohhh wakora walitumwa ila mtt w town akasanda afu ndo aka retaliAte@@akaliwa timing safiiii
 
Ni bora walete huo ushahidi, maana mambo ya kuzusha siyo mazuri...
 
Mada hapo juu inaeleweka vizuri.

Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.

Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.

You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.

Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.

Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
Mkuu

Kwa hiyo wewe ni mmoja wa wahusika mbona unapiga kelele kuzuia wengine kupaza sauti zao?

Undeni tume huru ya uchunguzi kuhusu madai haya badala ya kutoa vitisho kwa wananchi wanaotoa hisia zao kutokana na kuumizwa.

Wewe ndio unajiona unahaki ya kusema chochote chenye majungu usikilizwe ila wenzio wanyamazishwe?

Kitu gani kinafichwa mpaka unadai video zoteyutube zifutwe?

Hapo hamuwezi kuwaziba midomo hao watu na wana ushahidi wa kutosha kwa mjibu wa maelezo yao hivyo kuwatisha ni kosa la jinai
 
Kuwaziba Watu Midomo ni kazi nzito sana kuwapuuza ni kazi rahisi sasa hapo unatakiwa uchague.
Naomba niongee hili toka rohoni na nitangulize kuomba radhi kwa watakaokwazika na hili andiko langu
Yeyote aliyehusika na kifo cha mwanakwenda awe pekeyake ama kikundi anastahili kupewa heshima kubwa na kutambuliwa kama shujaa wa Taifa...
 
Mkuu

Kwa hiyo wewe ni mmoja wa wahusika mbona unapiga kelele kuzuia wengine kupaza sauti zao?

Undeni tume huru ya uchunguzi kuhusu madai haya badala ya kutoa vitisho kwa wananchi wanaotoa hisia zao kutokana na kuumizwa.

Wewe ndio unajiona unahaki ya kusema chochote chenye majungu usikilizwe ila wenzio wanyamazishwe?

Kitu gani kinafichwa mpaka unadai video zoteyutube zifutwe?

Hapo hamuwezi kuwaziba midomo hao watu na wana ushahidi wa kutosha kwa mjibu wa maelezo yao hivyo kuwatisha ni kosa la jinai
Kama ushahidi wanao kwanini wasiupeleke kwa IGP au DPP au kwa Samia mwenyewe?
 
Back
Top Bottom