Serikali ikemee kwa nguvu zote wanaodai Hayati Magufuli kauawa, iondoe video zote YouTube na kuwasaka wahusika

Serikali ikemee kwa nguvu zote wanaodai Hayati Magufuli kauawa, iondoe video zote YouTube na kuwasaka wahusika

Mada hapo juu inaeleweka vizuri.

Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.

Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.

You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.

Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.

Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
Mliwaamini vipi wale wageni kuwakabidhi wawalindie ndugu yenu? Kwani hamjui alikuwa akilindwa na raia wa wapi?
 
Mada hapo juu inaeleweka vizuri.

Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.

Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.

You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.

Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.

Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.

Haya ndiyo malipo kuficha ugonjwa na hatimaye maradhi yaondoayo wapendwa wetu.
 
Naona watu wapo busy kutaka file la namna JPM alivyokufa lifutwe. Sasa litafutwaje kwa mfano.

Rais kututangazia kwamba kilichomuua JPM ni tatizo la mfumo wa moyo lilomsumbua kwa zaidi ya miaka 10, haiondoi nadharia kwamba inawezekana kuna mkono wa mtu/watu waliotumia hilo tatizo la moyo kuharakisha kifo chake. Yote katika yote ni kwamba lazima udadisi ufanyike, za kuambiwa changanya na za kwetu.

Huyu hakuwa tu JPM, huyu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyeifanyia makubwa nchi yetu. Kuzika tu na kusahau ni hatari kwa usalama wa viongozi wetu wajao, iwapo kifo cha JPM kitaachwa juu juu tu.
Yaani pamoja kuwa na ulinzi mzito namna ile halafu jamaa awe aliuawa kwa sumu kirahisi hivyo?
 
Yaani pamoja kuwa na ulinzi mzito namna ile halafu jamaa awe aliuawa kwa sumu kirahisi hivyo?
Tatizo ukijiwekea ulinzi mzito na kukataa barakoa, unaweza kuuawa na kirusi kidogo sana.

Halafu washabiki zako wasikubali matokeo waanze uzushi wa kuuawa kwa hujuma.

Ujanja mwingi, mbele kiza.

Magufuli kafa kijinga sana.

Kwa ubishi wake mwenyewe.

Msisingizie kauawa.
 
Mada hapo juu inaeleweka vizuri.

Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.

Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.

You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.

Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.

Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
Kwani Sukuma Gang wenyewe wanasemaje?
 
Tatizo Magufuli amejitoa sadaka kwa ajili ya wasojitambua na wapumbavu
INANIUMA SANA, ila tungepata miamba 10 kama Magufuli barani afrika kwa wakati mmoja,wazungu wangetuheshimu

ki ukweli mimi ni timu Magufuli
we jamaa wewe magu kafa kwa upumbavu wake. Tulimuonya mienendo yake Mungu asingemwacha Covid imekuwa kijisababu tu
 
Nasikitika sana kuzuka kwa ugonjwa huu, Lakini nikiwaza ilivyotusaidia kumngóa yule Nduli narudi nyuma.
Covidi ilikuja na mazuri na mabaya yake. Ilitupasa watu wengi wafe kwa corona akiwemo Yeye Nduli wa chattle
 
Mliwaamini vipi wale wageni kuwakabidhi wawalindie ndugu yenu? Kwani hamjui alikuwa akilindwa na raia wa wapi?
Hili nilisikia kuwa Wanyarwanda walimlinda. Nikafuatilia kiundani nikakuta ni uwongo. Je wanaoneza uvumi huu, Rais Magufuli alindwa na watu hawa ofisini, safarini, Chato au kotekote?
 
Mada hapo juu inaeleweka vizuri.

Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.

Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.

You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.

Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.

Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
Vyovyote vile kama aliuawa na hao watu au alikufa kwa COVID 19, yote ni kwa faida ya nchi yetu Tanzania.

Mwendazake alikuwa siyo mtu sahihi kwa nchi yetu. Hiyo miaka 5 aliyotawala ameturudisha nyuma kimaendeleo kwa kiasi kikubwa.

Mimi nawashukuru tu waliotuondolea huyo Ibilisi wa Chato
 
Roho mbaya,chuki, visasi, kiburi, hasira,epuka hivi unauweka rehani moyo wako na unafupisha siku zako za kuishi.Tabia uathiri moyo wa mtu uua
 
Tatizo ukijiwekea ulinzi mzito na kukataa barakoa, unaweza kuuawa na kirusi kidogo sana.

Halafu washabiki zako wasikubali matokeo waanze uzushi wa kuuawa kwa hujuma.

Ujanja mwingi, mbele kiza.

Magufuli kafa kijinga sana.

Kwa ubishi wake mwenyewe.

Msisingizie kauawa.
Exactly,hizi za kupewa sumu naona uzushi tu ila huenda kuna uzembe tu kwenye mambo ya kitabibu,huenda hakupata tiba sahihi kwa wakati Sahihi kwa tatizo lake la umeme,au Covid ilipita naye maana alikuwa anajichanganya tu bila tahadhari yeyote
 
Back
Top Bottom