Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mpuuzi tu , kati ya watu wenye akili, heri kanywe kahawa kijiweni kwa faida yako.Hyo masomo umewekewa wewe ? Mwanaume kufuatulia mambo yasiyokuhus ni red flag.
Kama mambo hayakuhusu kaa kimya ,fuata yako..
Dahh, umeongea pumba za kutosha.. Mpaka unaboa.We ndio haujui kitu. Kabla ya kupoteza, muda na kuandika magazeti yasiyo na faida ulizia kwanza kwa, walio karibu yako. Lakin unakurupuka kutoka shimoni kama panya, aliyeona nyoka.
U
Unajua usichanganye vitu na kuvifanya vya kisiasa ili muanze kuongea na kujadili uongo. Kwa kawaida, combination ni masomo matatu Ila masomo ya kukupeleka chuo Kikuyu ni mawali tu. Kwa hiyo mfano mtu anasoma Economic, Business studies na Islamic. Economic na, Business studies ndio zitampeleka chuo kikuu kwan university wanaesabu point nne za masomo mawili. Islamic knowledge itamsaidia kuwa na ufahamu wa neno la mungu na kuwa, na Imani na pia kuwa na uoga, na mwenyez mungu. Ili nchi iendelee tunahitaji wazalendo na wenye Imani na Mungu.
Mjinga hujielewi ,sema kama una dini yako somo liongeze ,wewe unataka yafutwe kama sio wivu wa kikeWe ni mpuuzi tu , kati ya watu wenye akili, heri kanywe kahawa kijiweni kwa faida yako.
Sio pumba, ww ndio pumba kabisa. Kila kitu , Malalamiko. Mm naishukuru serikali kwa kuweka wigo mpana kwa wananchi wake. Mfano mtu amesoma Economic, Business studies na Islamic. Kwenda chuo unahitaji point 4 tu minimum. So mtu akifaulu economics na Business studies anakwenda chuo. Mtu akifaulu economic na islamic , anakwenda kusomea dini. Religion studies. Sasa udini upo wapi hapo?Midomo tu.Dahh, umeongea pumba za kutosha.. Mpaka unaboa.
Naanza ku doubt uwezo wa kiakili wa viongozi wetu.Tunaelekea kutengeneza wasomi wenye misimamo mikali ya kidini. Tutarajie machafuko mbeleni huko
Divinity ni masomo juu ya dini.Hebu nitajie combination yenye Divinity kwanza!
CDF anajutia alichokikataaCCM huwa hawashindi kupitia sanduku la kura, wanashinda kimafia.
Mama hata apate 2% na Lissu apate 98% ya kura, mshindi ni mama.
Ukosefu wa akili tu.Siyo siri, wengi tumeshtushwa na msimamo wa sera za elimu kuanza kukumbatia udini.
Waziri Mchengerwa katoa taarifa ya masomo yanayofadiliwa KISERIKALI, masomo au Combination(Tahsusi) ambazo nyingine ni za dini. Katika hizo combination, kuna Divinity vile vile.
Sera hizi zinataka na vikao vipi vya Chama CCM, Wadau wa Elimu, au wananchi kushirikishwa, mabadiliko katika elimu yametokana na nini na kwa ridhaa ya nani?
🙏🏼🙏🏼👊👊👏Dini hizo ni mzigo mzito afrika,Wztu wanafikilia namna ya kuzikacha kwani zimetusababishia matatizo mengi sana afrika yasiyo elezeka .
Imekuwaje tena serikali ianze kukumbatia hiyo???
Ndugu umeziona hizo tahsusi zenyewe zilizowekwa? Kama bado,zitafute kwanza ujionee ndio useme kitu. We zitafute kwanzaWe ndio haujui kitu. Kabla ya kupoteza, muda na kuandika magazeti yasiyo na faida ulizia kwanza kwa, walio karibu yako. Lakin unakurupuka kutoka shimoni kama panya, aliyeona nyoka.
U
Unajua usichanganye vitu na kuvifanya vya kisiasa ili muanze kuongea na kujadili uongo. Kwa kawaida, combination ni masomo matatu Ila masomo ya kukupeleka chuo Kikuyu ni mawali tu. Kwa hiyo mfano mtu anasoma Economic, Business studies na Islamic. Economic na, Business studies ndio zitampeleka chuo kikuu kwan university wanaesabu point nne za masomo mawili. Islamic knowledge itamsaidia kuwa na ufahamu wa neno la mungu na kuwa, na Imani na pia kuwa na uoga, na mwenyez mungu. Ili nchi iendelee tunahitaji wazalendo na wenye Imani na Mungu.
Siyo kweli, mayai ya MKIRU(Mkuranga, Kibiti, Rufiji) yalitagwa wakati wake.
Mwendazake ndiye aliyasafisha.
Watu tunasahau haraka.
Mkuu huyo inaelekea hajui hata anachoongea!Ndugu umeziona hizo tahsusi zenyewe zilizowekwa? Kama bado,zitafute kwanza ujionee ndio useme kitu. We zitafute kwanza
Mkuu wewe ni idiotHyo masomo umewekewa wewe ? Mwanaume kufuatulia mambo yasiyokuhus ni red flag.
Kama mambo hayakuhusu kaa kimya ,fuata yako..
Nchi ina wajinga wengiHyo masomo umewekewa wewe ? Mwanaume kufuatulia mambo yasiyokuhus ni red flag.
Kama mambo hayakuhusu kaa kimya ,fuata yako..