Serikali imeanza kuingiza udini katika sera zake? Suala la masomo ya kiislamu na Divinity yanatoka wapi?

Serikali imeanza kuingiza udini katika sera zake? Suala la masomo ya kiislamu na Divinity yanatoka wapi?

We ndio haujui kitu. Kabla ya kupoteza, muda na kuandika magazeti yasiyo na faida ulizia kwanza kwa, walio karibu yako. Lakin unakurupuka kutoka shimoni kama panya, aliyeona nyoka.

U

Unajua usichanganye vitu na kuvifanya vya kisiasa ili muanze kuongea na kujadili uongo. Kwa kawaida, combination ni masomo matatu Ila masomo ya kukupeleka chuo Kikuyu ni mawali tu. Kwa hiyo mfano mtu anasoma Economic, Business studies na Islamic. Economic na, Business studies ndio zitampeleka chuo kikuu kwan university wanaesabu point nne za masomo mawili. Islamic knowledge itamsaidia kuwa na ufahamu wa neno la mungu na kuwa, na Imani na pia kuwa na uoga, na mwenyez mungu. Ili nchi iendelee tunahitaji wazalendo na wenye Imani na Mungu.
Dahh, umeongea pumba za kutosha.. Mpaka unaboa.
 
Dahh, umeongea pumba za kutosha.. Mpaka unaboa.
Sio pumba, ww ndio pumba kabisa. Kila kitu , Malalamiko. Mm naishukuru serikali kwa kuweka wigo mpana kwa wananchi wake. Mfano mtu amesoma Economic, Business studies na Islamic. Kwenda chuo unahitaji point 4 tu minimum. So mtu akifaulu economics na Business studies anakwenda chuo. Mtu akifaulu economic na islamic , anakwenda kusomea dini. Religion studies. Sasa udini upo wapi hapo?Midomo tu.
 
Hebu nitajie combination yenye Divinity kwanza!
Divinity ni masomo juu ya dini.

Definition
divinity is a religious being, like a god or angel. It's also a word for the study of religion, which is studied at divinity school.

If you know the word divine means holy or sacred, then you have a clue to the meaning of divinity, which can be a god or other religious being. Anything very holy is full of divinity. Divinity is also the subject of religion itself

Sasa enter udini kwa spidi ya SGR!
Sera zipi za CCM ziliamua hili?
 
Siyo siri, wengi tumeshtushwa na msimamo wa sera za elimu kuanza kukumbatia udini.

Waziri Mchengerwa katoa taarifa ya masomo yanayofadiliwa KISERIKALI, masomo au Combination(Tahsusi) ambazo nyingine ni za dini. Katika hizo combination, kuna Divinity vile vile.

Sera hizi zinataka na vikao vipi vya Chama CCM, Wadau wa Elimu, au wananchi kushirikishwa, mabadiliko katika elimu yametokana na nini na kwa ridhaa ya nani?
Ukosefu wa akili tu.
 
Dini hizo ni mzigo mzito afrika,Wztu wanafikilia namna ya kuzikacha kwani zimetusababishia matatizo mengi sana afrika yasiyo elezeka .

Imekuwaje tena serikali ianze kukumbatia hiyo???
🙏🏼🙏🏼👊👊👏
 
We ndio haujui kitu. Kabla ya kupoteza, muda na kuandika magazeti yasiyo na faida ulizia kwanza kwa, walio karibu yako. Lakin unakurupuka kutoka shimoni kama panya, aliyeona nyoka.

U

Unajua usichanganye vitu na kuvifanya vya kisiasa ili muanze kuongea na kujadili uongo. Kwa kawaida, combination ni masomo matatu Ila masomo ya kukupeleka chuo Kikuyu ni mawali tu. Kwa hiyo mfano mtu anasoma Economic, Business studies na Islamic. Economic na, Business studies ndio zitampeleka chuo kikuu kwan university wanaesabu point nne za masomo mawili. Islamic knowledge itamsaidia kuwa na ufahamu wa neno la mungu na kuwa, na Imani na pia kuwa na uoga, na mwenyez mungu. Ili nchi iendelee tunahitaji wazalendo na wenye Imani na Mungu.
Ndugu umeziona hizo tahsusi zenyewe zilizowekwa? Kama bado,zitafute kwanza ujionee ndio useme kitu. We zitafute kwanza
 
Kila akitawala rais muislamu lazima ishu za kidini ziibuke!

Ukute hapo rais ndio katoa hilo wazo akiamini mafisadi wataisha kwa kusoma dini!
 
Back
Top Bottom