Serikali imehamishiwa Dodoma kwa gharama kubwa, kwanini bado mnatutesa kwa misafara isiyoisha huku Dar? Hamna huruma?

Serikali imehamishiwa Dodoma kwa gharama kubwa, kwanini bado mnatutesa kwa misafara isiyoisha huku Dar? Hamna huruma?

Watanzania bhana!"Eti hamna huruma"?

Yaani CCM washindwe kukuonea huruma ndani ya miaka 60 ya uhuru kwenye suala la huduma ya msingi kabisa ya maji na umeme waje kukuonea huruma kwenye ishu za misafara?

Halafu huenda Mtanzania ndiye binadamu mjinga kuliko wanadamu wote duniani.Serikali ni mtumwa wa wananchi kwa sababu imeajiriwa na wenye nchi ambao ni wananchi.

Sisi ndiyo boss na wao ndiyo waajiriwa kwa sababu sisi ndiyo tunawatuma serikali watufanyie kazi na kisha tunawalipa ujira.

Sasa kati ya boss na mwajiriwa ni nani anapaswa kumuonea mwenzake huruma?Boss anaemtumikisha mwajiri wake au mwajiri anaetumikishwa na boss?Anaepaswa kuonewa huruma ni anaetumikishwa au anaetumikisha?

Wewe kwa akili zako unataka mtumwa amuonee huruma boss.Yaani anaepigwa mijeledi na kulishwa uji(Serikali) ndiye amuonee huruma anaetandika mijeledi(boss).Ni akili za wapi hizi?!
 
Fikiria hili

Mtu kazaliwa anaiona Bahari, leo hii umpeleke Jangwani pasipo na bahari hata ziwa. Mtaelewana kweli!?
 
images (4).jpeg

Kuwa siriazi basi mkuu
images - 2021-12-09T085849.082.jpeg
 
Ukiwa kiongozi mkuu wa nchi hutakiwi kufanya mambo kihuni huni, kama Samia ameamua kurudisha serikali Dsm anatakiwa kuujulisha umma na kutoa sababu zenye mashiko, sio kufanya vitu kienyeji kienyeji

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu, ningekuja na sababu zangu zenye mashiko za kwanini narudi Dar. Tuseme tu ukweli kwenda Dodoma halikuwa jambo lenye tija
 
Hizi sherehe na misafara zinakwamisha uchumi wa nchi, hali imekuwa mbaya sasa
 
Kwaiyo ikulu ya DSM tuivunje au sio!! mnahangaika sana roho zenu wazee kwa jambo lisilo na maana kwako..

Fanya kinachokuhusu, Usimpangie Rais cha kufanya
Nani kasema ivunjwe? Wafanye shughuli za kiserikali Dodoma, huku waache biashara zipumue
 
Kwaiyo ikulu ya DSM tuivunje au sio!! mnahangaika sana roho zenu wazee kwa jambo lisilo na maana kwako..

Fanya kinachokuhusu, Usimpangie Rais cha kufanya
Nimemwajiri na namlipa mshahara kwa kodi yangu, hivyo nina haki ya kutoa maoni yangu
 
Back
Top Bottom