Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Dini zote ni cults. Ila ikiwa si yako ndiyo unapata urahisi wa kuiona cult.
Well said! Dini zote ni mifumo ya wajanja kutajirika kwa kuwauzia wengine (waumini) imani na mungu.
Dini ni dili kubwa pengine zaidi ya siasa ambako wajanja wanatajirika kwa kuuza ulaghai na ahadi hewa!
 
With written proof from its own sources it is a cult! What if am an atheist?
How would you allow marriage of a 6 years old girl and consummate the marriage at her 9 and claim that is a religion of righteousness!
Dini gani ina written proof gani? Kutoka sources gani?
 
Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.

Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?

View attachment 3187483
Mtihani huu...
 
Do0afLBX0AIXdZ0.jpg

Badala ya kumkaribisha huyo Sultani Mwarabu kwanini tusijenge Sanamu la huyu Shujaa wa Kiafrika?

Hayati John Okello.
 
Muhammad anatikiwa afaninishwe na akina mtume Petro au Paulo

Muhammad siyo wa kumlinganisha na YESU KRISTO ni dhambi kubwa sana na mtakuja kuilipia
Hii ni kweli kabisa Muhammad ni mtume alizaliwa na baba na mama.
Yesu ni Mungu kamuumba mamake Kisha akazaliwa na mamake Kisha akauliwa msalabani na wanadamu aliowaumba ili hao hao wanadamu wapate kuondolewa dhambi.
 
Mimi muislamu lakini mada za dizaini hii, sijui uislamu vs ukristo,muhamad vs Jesus sizifagilii kabisa,kila mmoja abaki na imani yake.

Waislamu kitu ambacho kinatusumbua ni ku resist CHANGE ulimwengu unabadilika bila kubadilisha mitazamo yetu na fikra zetu tutabaki nyuma na kulalamika kila siku. Maisha yamebadilika inabidi tujadili vitu vya maana.
Akili Kubwa sana wewe✔️
 
Twende taratibu bwana mkubwa;

Tanganyika uislam ule uliokomaa kabisa Upo mikoa hii;
Lindi,Mtwara,Pwani,Tanga na Dar japo kwa mbali sana……..Maana kwa sasa Dar Wakristo ni wengi sana kuliko Waislam kutoka na uvamizi mkubwa sana wa wageni toka mikoa mingine

Kanda ya Ziwa yote ni ukristo umeenea Tena kuna sehemu ukienda unaweza usikute msikiti ata mmoja

Kanda ya Magharibi pia hali ni hiyo hiyo,Ukristo ni mkubwa sana kuliko ata Uislam

Kanda ya kaskazini ukiiondoa Tanga ukristo umetamalaki kila sehemu na kuna sehemu ukifka ukasema wewe Muislam wataanza kujitenga na wewe kuwa una majini

Kanda ya Nyanda za Juu kusini,huku ndipo Ukristo umepanda juu sana………huku ukiwa Muislam wanakuona wewe kama gaidi tu
Porojo jf huwa watu wanaweka takwimu hizo tathmini yafaa ukazisema kwenye Gahwa.
 
Mnauhakika na hayo manayasema kua gaidi?india inamtafuta mtu ambae anajulikana yuko wapi hizo ni propaganda tu km huwezi au imani yako haikuruhusu pita kushoto endelea na safar
 
Vitu vingine vya kipumbavu kabisa sasa huo mdahalo una faida gani kwa taifa hadi uruhusiwe kufanyika tena kwenye uwanja wa mpira ambao unapaswa kua kwenye hali nzuri kwa ajili ya mashindano yajayo 🤔🤔 mijadala kama hiyo haipaswi kuruhusiwa inaletaga chuki tuu kati ya watu na ukitegemea mtu mwenyewe huyo aliealikwa ni gaidi lenye misimamo mikali serikali ingepiga marufuku tuu huo upuuzi
Naunga mkono hoja.
 
Kwa mara ya pili naungana nawe kabitka ili. Kama anataka kufanya mahubili ni bora kujikita kueneza Uislam nasio kuweka mijadala inayoweza kuleta chuki baina ya wananchi ambao wana imani tofauti. SERIKALI YETU NI BUSARA NA HEKIMA KUANGALIA ILI
 
Sijaona akina Issa wa kiarabu, wanakubali kuitwa Yesu. Huyo Issa wenu alishakufa, ila Yesu wa Nazareth Yu hai ni wawili tofauti.
Sasa wakiwa wawili tofauti tatizo nini!?..uhai wa yesu wa nazareth we unakusaidia nini!?
 
Dr. Zakir Naik ni muhubiri muoga sana akipigwa maswali magumu kama alivyopigwa maswali hapo Nairobi.
Na kizuri nchini Kenya lugha waliyotumia katika mdahalo ni kiingereza na hadhira inafahamu kiingereza pia jukwaa walilotumia ni la eneo local siyo kitaifa kupitia kituo cha televisheni cha kitaifa kama Azam TV.

Lakini kwa Tanzania kuna ajenda maalum kuzidi zile za Sheikh Mazige, Sheikh Mwaipopo n.k sasa kundi la Dr. Zakir Naik badala ya kutumia jukwaa online TV au ukumbi wa Diamond Jubilee au uwanja wa Benjamin Mkapa huyu muhubiri anataka kwa udi na uvumba kutumia jukwaa la kitaifa la Kituo tajwa cha televisheni kuingia katika kila sebule ya nyumba ya raia mtanzania kupitia kituo kikubwa kabisa cha kurushia matangazo ya televisheni cha Azam TV.

Nadhani haijawahi kutokea Tanzania kituo kikubwa kabisa cha Televisheni nchini ngazi ya taifa kikatumika ku test ukweli ya mitume, imani, biblia, Quran, Hadithi n.k kwa upande mmoja wa imani kujikita kusema kuwa kuna mapungufu kati imani inayotumika msikitini, kanisani, hekaluni au katika kusanyiko lao.

Siku zote katika jukwaa la kitaifa kupitia chombo cha umma kikubwa kama Azam TV, ITV n.k hutumika kuswalia, kusali, kuhubiri yale ya imani zao na siyo mashambulizi kuelekezwa imani nyingine.

Hii ni historia au precedent mpya inajaribu ku najengwa kwa chombo umma cha kitaifa kutumika kushambulia imani ya dini, dhehebu na mitume yao pia vitabu vya imani nyingine.

Kufanyika mdahalo Diamond Jubilee, online TV isiyo ya kitaifa, uwanja wa wazi Benjamin Mkapa hiyo siyo shida ila serikali kuruhusu vyombo vikubwa vya umma vya kitaifa kama Azam TV kuwa jukwaa la imani mmoja kushambulia imani nyingine siyo sawa.

Hii ya chombo cha mawasiliano cha kitaifa Tanzania kutumika kushambulia imani nyingine, ni sawa na Radio ile ya Rwanda radio RTLM ilipotumika vibaya WaTutsi kushambuliwa kwa propaganda na Wahutu au wengine kisha historia ikatuambia 1994 ilifikia hitimisho jamii hizi za Rwanda kupata mihemuko na kuleta Maafa ya 'vita ya makundi' ikaishia Mauaji ya Kimbari.

Radio Télévision Libre des Mille Collines (RTLM) nicknamed "Radio Genocide" or "Hutu Power Radio", was a Rwandan radio station



26 December 2024
AZAM MEDIA LTD PAMOJA NA THE ISLAMIC FOUNDATION …


UJIO WA DR ZAKIR NAIK TANZANIA - RATIBA YAKE YOTE

View: https://m.youtube.com/watch?v=PLO0zcQm7ok

KWA MARA YA KWANZA TANZANIA WANAKULETEA MHADHIRI MASHUHURI WA KIMATAIFA , DKT ZAKIR NAIK AKIAMBATANA NA MWANAE SHEIKH FARIQ NAIK KATIKA MDAHALO WA MASWALI NA MAJIBU :

TAREHE 31/12/2024 MSIKITI ZINJIBAR, UNGUJA ZANZIBAR KUANZIA SAA 2 ASUBUHI HADI SAA 7 MCHANA


TAREHE 2/01/2025 DIAMOND JUBILEE DAM KUANZIA SAA 1 USIKU HADI SAA 6 USIKU

TAREHE 5/01/2025 BENJAMIN MKAPA STADIUM UWANJA WA TAIFA KUANZIA SAA 2 ASUBUHI HADI SAA 7 MCHANA


MATANGAZO HAYA YATAKUJIA LIVE - MUBASHARA KUPITIA CHANEL YA ZBC2 WEMA UNAOENDELEA


PIA TUTAKUWA MUBASHARA KATIKA DUA TV AOMBWAE NI MOLA PEKEE JESUS AND MUHAMMAD PEACE BE UPON THEM BROTHERS IN FAITH

View attachment 3187702
View attachment 3187703
View attachment 3187705

Nenda kampige maswali magumu
 
Acha kudanganya. Hakuna kiarabu kinachosema Issa bi Yesu mkuu. Ukiacha Quran vitabu vyote vya kiarabu hakuna Issa badala ya Yesu.

Kimsingi sijui watu wanahofu ya nini humu JF japo mleta mada hajasema hayo unayoyaleta wewe na wengine, yeye ameongelea kwenye angle ya Diplomasia
Vitabu gani vya kiarabu unazungumzia?
 
Hizo chuki zenu kwa waislamu ndio zimeanza leo tu? unataka kusema hizo chuki hazikuwepo ila zimekuwepo baada ya huyo muhubiri anayekuja? hao wachungaji wenu mbona waislamu hua hawalalamiki? TB Joshua alikuja,nani alilalamika?
Hakuna mtu anayekataa huyo muhubiri kuja,shida ipo anachokucha kukifanya huwezi kuja na mada ya Yesu Kristo na Pedophile mudi ulete ulinganifu ni kebehi na uharo mtupu.

Amjadili pedophile muddy bila kuleta habari za Kristo hatutaki.
 
Asante kwa matusi. Hebu kanusha kuwa Boko Haram (waislam) hawachinji WAKRISTO na kubaka wanawake Nigeria na kwingineko. Nihakikishie mimi mkristo naweza kupata kibali Uarabuni kumhuburi Mohamed vibaya na kumuinua Yesu. Nihakikishie kama naweza kufungua Kanisa Somalia sawa na wewe unavyoweza kuanzisha msikiti hapa. Hapo kati yetu nani ana chuki ?
Hawezi kukujibu,mana uislam hauna uvumilivu na dini nyingine hasa wakiwa majority.
 
Yeye natumaini dini nyingine. Waislamu pia wanaomwamini Yesu kubwa mtumishi wa Mungu/mtume wa Mungu. Hivyo si shida kumuweka hapa. Tatizo wengi wetu tunaogopa uislamu na kuuwazia mabaya. Dini hiyo ni ibrahamic religion. Ni mpango wa Mungu kama ilivyo kwa uyahudi na ukristo. Hakuna awezaye kuifuta au kuipunguza. Usipambane na kitu ambacho utakufa na utakircha kikiendelea kustawi. Uislrmu hsuhubiri chuki, achilia mbali waislamu wachache wakihubiri chuki, ni wao na siyo imani nzima.
Usilamu haujawahi kuwa mpango wa Mungu,bali ni mpango wa shetani kuingilia mpango halisi wa Mungu,kwa kuchanganya uongo na ukweli ili kuvuruga mpango wa wokovu wa Mung kwa wanadamu.

Uislam ni njia ya upotevuni.
 
Waislamu na wasabato hapo ndipo mnapofeli yani imani yenu haikamiliki mpaka mabishano na dini nyingine .
 
Back
Top Bottom