Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Dini zote ni cults. Ila ikiwa si yako ndiyo unapata urahisi wa kuiona cult.
Well said! Dini zote ni mifumo ya wajanja kutajirika kwa kuwauzia wengine (waumini) imani na mungu.
Dini ni dili kubwa pengine zaidi ya siasa ambako wajanja wanatajirika kwa kuuza ulaghai na ahadi hewa!
 
With written proof from its own sources it is a cult! What if am an atheist?
How would you allow marriage of a 6 years old girl and consummate the marriage at her 9 and claim that is a religion of righteousness!
Dini gani ina written proof gani? Kutoka sources gani?
 
Mtihani huu...
 

Badala ya kumkaribisha huyo Sultani Mwarabu kwanini tusijenge Sanamu la huyu Shujaa wa Kiafrika?

Hayati John Okello.
 
Muhammad anatikiwa afaninishwe na akina mtume Petro au Paulo

Muhammad siyo wa kumlinganisha na YESU KRISTO ni dhambi kubwa sana na mtakuja kuilipia
Hii ni kweli kabisa Muhammad ni mtume alizaliwa na baba na mama.
Yesu ni Mungu kamuumba mamake Kisha akazaliwa na mamake Kisha akauliwa msalabani na wanadamu aliowaumba ili hao hao wanadamu wapate kuondolewa dhambi.
 
Akili Kubwa sana wewe✔️
 
Porojo jf huwa watu wanaweka takwimu hizo tathmini yafaa ukazisema kwenye Gahwa.
 
Mnauhakika na hayo manayasema kua gaidi?india inamtafuta mtu ambae anajulikana yuko wapi hizo ni propaganda tu km huwezi au imani yako haikuruhusu pita kushoto endelea na safar
 
Naunga mkono hoja.
 
Kwa mara ya pili naungana nawe kabitka ili. Kama anataka kufanya mahubili ni bora kujikita kueneza Uislam nasio kuweka mijadala inayoweza kuleta chuki baina ya wananchi ambao wana imani tofauti. SERIKALI YETU NI BUSARA NA HEKIMA KUANGALIA ILI
 
Sijaona akina Issa wa kiarabu, wanakubali kuitwa Yesu. Huyo Issa wenu alishakufa, ila Yesu wa Nazareth Yu hai ni wawili tofauti.
Sasa wakiwa wawili tofauti tatizo nini!?..uhai wa yesu wa nazareth we unakusaidia nini!?
 
Nenda kampige maswali magumu
 
Vitabu gani vya kiarabu unazungumzia?
 
Hizo chuki zenu kwa waislamu ndio zimeanza leo tu? unataka kusema hizo chuki hazikuwepo ila zimekuwepo baada ya huyo muhubiri anayekuja? hao wachungaji wenu mbona waislamu hua hawalalamiki? TB Joshua alikuja,nani alilalamika?
Hakuna mtu anayekataa huyo muhubiri kuja,shida ipo anachokucha kukifanya huwezi kuja na mada ya Yesu Kristo na Pedophile mudi ulete ulinganifu ni kebehi na uharo mtupu.

Amjadili pedophile muddy bila kuleta habari za Kristo hatutaki.
 
Hawezi kukujibu,mana uislam hauna uvumilivu na dini nyingine hasa wakiwa majority.
 
Usilamu haujawahi kuwa mpango wa Mungu,bali ni mpango wa shetani kuingilia mpango halisi wa Mungu,kwa kuchanganya uongo na ukweli ili kuvuruga mpango wa wokovu wa Mung kwa wanadamu.

Uislam ni njia ya upotevuni.
 
Waislamu na wasabato hapo ndipo mnapofeli yani imani yenu haikamiliki mpaka mabishano na dini nyingine .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…