Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.

Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?

View attachment 3187483
Punguza kiherehere wewe. Tanzania ni nchi huru na Ina kanuni zake na vigezo vya kumzuia mtu asiingie nchini.
 
Usipopigwa marufuku basi tutajua agenda hii imepangwa na uongozi uliopo.
 
Wasiwasi wa nini? Kwa nini tusimsikilize? Yeye ametembea ulimwengu mzima akihubiri - Tanzania tu iwe nongwa? Angalieni Peace TV mtamjua anasema nini
 
Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.

Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?

View attachment 3187483
Mbona wakristo mna hofu sana,acheni chuki za kipuuzi,wahubiri wangapi wa kikristo huwa wanakuja Tz
 
Huyo muhubiri apigwe marufuku,ni moja ya mawakala wa ugaidi,tuwe makini nae kukaribisha watu kama hawa nchini ni kuleta mtafaruku hasa ukizingatia mada yake imekaa kichochezi na leo ovu nyuma yake.
Ashawai kulipua wapi?
 
Hiyo mada yenyewe tayari imeonyesha kuwa ni kupandikiza chuki au kuleta taharuki za kidini nchini,huyo jamaa ni muslim unadhani ataongea jema gani dhidi ya upande mwingine,!?
Mbaya zaidi hii ishu inakuwa promoted all over the country kwa kupitia media maana yake watu wengi wataifuatilia matokeo yake ni nini,
Tutachukiana sana huku mtaani nani atakubali upande wake ufeli au uonekane inferior..
Acheni uoga wakristo,muende sasa mkapeleke ushaidi wa kimaandiko wa mabikira 72,na mtume kuoa binti mdogo
 
Mimi muislamu lakini mada za dizaini hii, sijui uislamu vs ukristo,muhamad vs Jesus sizifagilii kabisa,kila mmoja abaki na imani yake.

Waislamu kitu ambacho kinatusumbua ni ku resist CHANGE ulimwengu unabadilika bila kubadilisha mitazamo yetu na fikra zetu tutabaki nyuma na kulalamika kila siku. Maisha yamebadilika inabidi tujadili vitu vya maana.
Sheikh umepotea sheikh..!
 
Mbona wakristo mna hofu sana,acheni chuki za kipuuzi,wahubiri wangapi wa kikristo huwa wanakuja Tz
Wanakujaga na agenda kama hii ya yesu kristo na Muhammad??? Kwa nini asijikite kufundisha mafundisho ya dini yake pekee
 
Comment za humu zinaonyesha kwa kiasi gani wakristo wa TZ wanachuki na Waislam na kama chuki za kiwango hicho wangekuwa nazo Waislam wa TZ bac kingewaka
Ndio unajua leo,hao sio watu mkuu
 
Hiyo mada yenyewe tayari imeonyesha kuwa ni kupandikiza chuki au kuleta taharuki za kidini nchini,huyo jamaa ni muslim unadhani ataongea jema gani dhidi ya upande mwingine,!?
Mbaya zaidi hii ishu inakuwa promoted all over the country kwa kupitia media maana yake watu wengi wataifuatilia matokeo yake ni nini,
Tutachukiana sana huku mtaani nani atakubali upande wake ufeli au uonekane inferior..
Serikali yetu haihusiki katika mambo ya Imani. We ulitaka ibada Yako iende,jifungie ndani kwako umuabudu Mungu wako.
 
Wanakujaga na agenda kama hii ya yesu kristo na Muhammad??? Kwa nini asijikite kufundisha mafundisho ya dini yake pekee
Mtume mwamposa kongamano lake la kuhubiri ukristo liliua watu zaidi ya 20!! Mbona mlikaa kimiya!?au haikuwa kuvuruga amani? Na kiboko ya wachawi alikuwa Live redioni anagombanisha watu kwa kuwaambia kuwa huyo mama yako mzazi unaeishi nae hapo ndio anakuroga! Hamkuona kama pia nikuhatarisha amani?!

Acheni chuki za kipuuzi
 
Mtume mwamposa kongamano lake la kuhubiri ukristo liliua watu zaidi ya 20!! Mbona mlikaa kimiya!?au haikuwa kuvuruga amani? Na kiboko ya wachawi alikuwa Live redioni anagombanisha watu kwa kuwaambia kuwa huyo mama yako mzazi unaeishi nae hapo ndio anakuroga! Hamkuona kama pia nikuhatarisha amani?!

Acheni chuki za kipuuzi
Kwa hio ndio tuletet huyo gaidi kisa mtume mwamposa kongamano lake liliua watu 20???huyo mwamposa unayemsema ushaona anajadili wazi yesu na Muhammad??? Ni context tunaongelea hapa...hizi ni chuki baina ya makundi makubwa ya dini,is it necessary ndio ujiulize...hilo gaidi lenu lingekuja kumuongelea Muhammad hamna mtu angehangaika nalo
 
Ukiiona mijitu mikubwa na Akili zao inabishania Dini ujue ujue hapo hamna Kitu kichwani !!
Hizo Dini mbili zinazobishaniwa zote zimeanzia Uarabuni katika miji miwili tofauti katika Nchi mbili tofauti !
Tangu wakati ule mpaka hivi sasa miji hiyo inafahamika wakazi wake ni Waarabu !
Bethlehem na Makkah ! Na ndiko walikozaliwa hao tunaowaamini sana sisi waumini wa hizo Dini mbili tuliotapakaa Duniani kote !

Mimi huwa napata shida kufahamu hao watu wa hizo Dini mbili wanabishania nini hapa Duniani ilihali njia pekee inayoweza kumaliza huu ubishi wa nani yuko sahihi na yupi hayupo sahihi ni kwenda mbinguni tu tukajionee kwa macho yetu wala si kwa kusoma vitabu vitakatifu !

Maana kwa kusoma vitabu vitakatifu pekee imeshindikana kuelewa kwa miaka zaidi ya 2000 kwamba ni wepi walio sahihi katika kuabudu !

Cha ajabu ni kwamba katika hizo Dini mbili zinazo bishaniwa sana yapo madhehebu tofauti tofauti mengi tu ambayo hayaelewani pia !

Sasa ili umalizike huu ubishi ni lazima tufike huko mbinguni tukaone kwa macho yetu nini kinachoendelea huko na tufahamishwe ni wepi wako sahihi na wepi ambao hawako sahihi !

Na njia ya kufika mbinguni ni moja tu !
Na sote tunaifahamu ila tunaiogopa kweri kweri kuipitia !
EVERYONE WANTS TO GO TO HEAVEN BUT NOBODY WANTS TO DIE 😳🤣🤣🤣🤣 !

Tubishaneni mambo ya Ubaya Ubwela tu kwa maana yapo hapa mbele yetu tunayaona !
Japo na yenyewe siku zote tunabishana tu na tutaendelea kubishana tu kama ile penati ilikuwa ni halali au lile goli alilofunga Bakka ni la mkono au vipi ?????!!
😅😅😂😂🤣🤣😄😄😄😳🙌👍
 
Back
Top Bottom